Kodi ya internet yapingwa Hungary
Maelfu ya waandamanaji wametaka kusitishwa kwa sheria iliyopendekezwa ya kutoza kodi matumizi ya internet nchini Hungary.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziPresident Kikwete has sent a congratulatory message to His Excellency János Ãder, President of Hungary on the occasion of the National Day of Hungary
“H.E. János Áder,President of HungaryBudapestHUNGARY
Excellency and Dear Colleague,
On behalf of the people and Government of the United Republic of Tanzania and on my own behalf, I take this opportunity to convey my sincere...
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Mipaka mipya ya majimbo yapingwa
Chama cha NCCR Mageuzi Zanzibar kimetangaza mpango wa kufungua kesi Mahakama Kuu kupinga kazi ya kurekebisha mipaka ya majimbo inayofanywa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC).
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Makundi kushawishi wagombea yapingwa
Matukio ya kuibuka makundi ya kijamii kuwashawishi makada wa CCM watangaze nia ya kuwania urais Oktoba mwaka huu, yameibua mjadala miongoni mwa wasomi na wanasiasa wengi wakipinga mbinu hiyo na kushauri wagombea waachwe waamue bila kushinikizwa.
11 years ago
BBCSwahili30 Mar
Biashara ya Taiwan na Uchina yapingwa
Makumi ya maelfu ya raia wa Taiwan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Taipei ili kupinga makubaliano ya kibiashara na Uchina.
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Urusi yapingwa dhidi ya Ukraine
Viongozi wa kundi la G7 wamefungua mkutano wao wa mwaka nchini Ujerumani kusini,wakipinga vitendo vya Urusi kwa nchi ya Ukraine.
11 years ago
Habarileo17 May
500/- kwa milo 3 ya wafungwa yapingwa
BAJETI ndogo ya chakula cha wafungwa ya Sh 500 kwa siku, maslahi madogo pamoja na makazi duni kwa askari walio chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, vimevaliwa njuga na wabunge ambao wametaka Serikali iiongezee wizara fedha katika bajeti ijayo.
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Sherehe ya nyama ya mbwa Uchina yapingwa
Sherehe ya kula nyama ya mbwa kusini magharibi mwa China imeanza huku kukiwa na pingamizi miongoni mwa wanaharakati wa haki za wanyama.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Haki-za-Binadamu-620x308.jpg)
SHERIA YA MAKOSA YA MITANDAO YAPINGWA MAHAKAMANI
Mkurugenzi wa THRDC, Onesmo Olengurumwa. MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) kwa kushirikiana na mashirika mengine ya kutetea haki za binadamu leo wamefungua kesi ya Kikatiba kupinga baadhi ya vipengele katika Sheria ya Makosa ya Mitandao. Vipengele vinavyopigwa ni kifungu cha 4, 5 na 45 (4) cha Sheria ya Makosa ya Mitandaoni ambacho kinazuia haki ya kupata na kutoa taarifa ambacho kinakinzana na Ibara ya 18 ya Katiba...
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Hungary
Bunge la Hungary limepitisha sheria ambayo itaipa nguvu serikali yake kufunga mipaka yake yote kwa ajili ya wakimbizi wote
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania