KIJANA AJICHOMA CHUPA, KISA... MAISHA MAGUMU
![](http://api.ning.com:80/files/Ho7RWhwBiVci2xh-RbVZdmsCtZdlDZXt*Scu6AJQ3BiRI38OkVee44RS-*FbHSNKd2ipa34c3PhbV4EoUGGIfz40L9XosjlC/kijana2.jpg?width=650)
Na Makongoro Oging’ NI kweli ugumu wa maisha unaweza kumfanya mtu achanganyikiwe na kutamani kujiua ili aondokane na maisha ya duniani?! Fuatilia mkasa wa kijana huyu, Anord au baba Anjela, mkazi wa Tandika jijini Dar es Salaam ambaye wiki iliyopita aliwashangaza watu waliokuwa katika baa moja iliyopo Davis Corner jijini Dar baada ya kununua bia na kujipiga nayo kichwani, si kwa kufurahisha watu bali kutaka kujiua. Tukio...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBAADA YA KUPIGWA CHUPA, KAJALA ASEMA MAISHA YANAENDELEA
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Tanga walalamika maisha magumu
11 years ago
Michuzi10 Jun
10 years ago
GPL17 Dec
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Mbezi kwa Msuguri maisha ni magumu kuliko kijijini
UMUHIMU wa barabara na njia za kupita katika sehemu yoyote anayoishi binadamu ndiyo msingi wa maendeleo yake yeye binafsi na viumbe vyote hai vinavyomzunguka. Hata mimea kama hakuna barabara ya...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Fawopa-Tanzania: Tuwajali watoto wenye maisha magumu
UMASKINI uliokithiri nchini hasa katika ngazi ya familia ndio chanzo cha kuwepo watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi. Tanzania ni moja kati ya nchi nyingi barani Afrika zinazokabiliwa na wimbi kubwa...
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Aishi maisha magumu na wanaye, vitu vyote vyauzwa
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/2QnKqCSHrMo/default.jpg)
KIJANA ANUSURIKA KUUAWA KISA WIZI MAMA AINGILIA KATI KUMUOKOA KIFO
Kijana mmoja mkazi wa Kigogo Sukita jijini Dar es Salam ameambulia kipigo kizito kutoka kwa wananchi wenye hasira kali na kufikia hatua ya kutaka kumchoma moto kutokana na kitendo cha kumuibia simu na shilingi elfu therasini mwanadada ambaye naye ni mkazi wa eneo hilo.
Kutokana na kipondo cha aina yake alichokuwa akipewa na wananchi hao wenye hasira kali walionekana kumpania kutokana na vitendo vyake vya wizi wa mara kwa mara na kutokana na kipigi hicho kilichomfanya atapakae damu mwilimzima,...
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Maisha bora ni yale unayopanga ungali kijana