Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndoto za Sharifu zaonesha misukosuko na utulivu 2015

Shehe Sharifu Matongo akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana kuhusu ndoto yake ambayo ameoteshwa kuelekea mwaka 2015. (Na Mpigapicha Wetu).SHEHE Sharifu Mikidadi Matongo maarufu kama Shehe Sharifu amesema kwamba ameoteshwa kuwa kuna mambo makubwa manane yatatokea katika taifa la Tanzania kwa kipindi cha mwaka huu, 2015.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

VIDEO Sheikh Sharifu: Kiongozi Fisadi, Mla Rushwa na atakaetumia shiriki kutopita Uchaguzi Mkuu 2015

Shekeh Sharifu alizungumza na Waandishi wa Habari Juu ya Swala zima la Uchaguzi Mkuu 2015 na kusema kuwa Mwaka huu Kiongozi atatoka kwa Mungu Kiongozi Fisadi, Mla Rushwa na atakae Tumia Shiriki hatopita katika Uchaguzi Huu.

Sharifu amewataka viongozi wote wanaotaka kugombea basi waende wakaombewe wamegungua zoezi maalumu kuhusu maombi ya Viongozi ambao watagombea Mwaka Huu, Na kusema kuwa kiongozi yeyote ambaye atatumia shiriki hatokaa madarakani atapata ajili kutokana na mwaka huu...

 

10 years ago

Mwananchi

Frank Mwaisumbe: Nina ndoto kuitwaa Mbeya Vijijini 2015

Wakati unapokaribia mwaka 2015, wanasiasa wengi wameanza kutangaza nia zao za kutaka uongozi ukiwamo ubunge. Frank Mwaisumbe, ni mwanasiasa kijana mwenye kiu ya kuwatumikia wananchi

 

10 years ago

Mwananchi

Issa Mkalinga: Nina ndoto ya kugombea Ubunge Nachingwea 2015

Mwaka 2015 utafanyika Uchaguzi Mkuu unaotajwa kuwa na upinzani wa hali ya juu kutokana na vyama mbalimbali vya siasa kuonyesha kujipanga kuleta upinzani mkubwa kwa chama tawala.

 

10 years ago

Vijimambo

EAC NA ECOWAS ZAONESHA MFANO, ZUMA

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb) kulia akimsikiliza Balozi wa Syria nje ya ukumbi wa mikutano jijini Addis Ababa. Katikati ni Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia, Mhe. Naimi Aziz. Na Ally Kondo, Addis AbabaMwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Bibi Nkosazana Zuma amezihimiza Jumuiya za Kikanda barani Afrika kuiga mfano wa EAC na ECOWAS ambazo zimefikia hatua za kuridhisha katika mtangamano wa kanda zao. Alisema mtangamano ni moja ya...

 

10 years ago

GPL

SHEHE SHARIFU AHUTUBIA JANGWANI

Shehe Sharifu akihutubia katika viwanja vya jangwani.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Kerry aitaka China kupunguza misukosuko

Waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani John Kerry amezumgumzia misukosuko inayozidi kuongezeka kusini mwa bahari ya China.

 

9 years ago

Bongo5

Manyika Jr na Naima wapanga kufunga ndoa, aeleza misukosuko waliyopitia

12081027_1651638835115791_2014890630_n

Mlinda mlango wa Simba, Peter Manyika Jr na mchumba wake Naima wanatarajia kufunga ndoa hivi karibuni.

12081027_1651638835115791_2014890630_n

Wawili hao wamepitia misukosuko mingi kwenye uhusiano wao ikiwa ni pamoja na kuwa kwenye hatari kuvunjika kwa uhusiano wao kutokana na shinikizo la wazazi na uongozi wa Simba.

Klabu ya Simba iliwahi kumuonya mchezaji huyo baada ya kuwashambulia mashabiki wa soka kwenye mtandao waliodai kuwa Naima ni chanzo cha kushuka kwa kiwango chake uwanjani.

12093349_1679673918915048_223428952_n

Akiongea kwenye kipindi cha Uhondo cha EFM...

 

10 years ago

Mwananchi

Ariel Sharon: Mpiganaji aliyekumbana na misukosuko hadi kifo chake

Historia ya Israel haiwezi kukamilika bila kutambua mchango wa mmoja wa viongozi wake waliokuwa na msimamo mkali, Ariel Sharon.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani