Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC KAWAWA AAGIZA WAJASIRIAMALI WENYE VITAMBULISHO WASIBUGHUDHIWE ,AIKABIDHI CHALINZE VITAMBULUSHO


NA MWAMVUA MWINYI,CHALINZE

MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani Zaynabu Kawawa, ameikabidhi Halmashauri ya Chalinze ,vitambulisho vya Mjasiriamali vipatavyo 10,106 na kuagiza wasibughudhiwe.

Aidha amewaonya Watendaji wataokwamisha zoezi la usambazaji wa vitambulisho maalumu kwa ajili ya wajasiriamali.

Katika hafla fupi ya makabidhiano hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa shule ya Sekondari Lugoba, Kawawa alisema, vitambulisho hivyo vilivyotolewa na Rais John Magufuli kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RIDHIWANI AIKABIDHI HALMASHAURI YA CHALINZE MABATI, MATANKI YA MAJI YENYE GHARAMA YA MIL.13.9

NA MWAMVUA MWINYI,CHALINZE
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amekabidhi mabati 1,000 kwa halmashauri ya Chalinze ,pamoja na tanki za maji na mabeseni Tisa vyote vikiwa na gharama ya milioni 13.9.
Kati ya mabati hayo 600  yataelekezwa katika miradi ya halmashauri ya sekta ya elimu na afya na 400 yatapangiwa kazi na matakwa ya mfuko wa jimbo. 
Akizungumzia kuhusu msaada huo ,Ridhiwani alieleza kuwa , shule ya sekondari Changarikwa inapatiwa mabati 90,Msata 90,Chamakweza mabati...

 

5 years ago

Michuzi

KAWAWA AITAKA HALMASHAURI YA CHALINZE KUSIMAMIA MAPATO YA NDANI




Na Mwamvua Mwinyi, ChalinzeMKUU wa Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani Zainab Kawawa, ameitaka halmashauri ya Chalinze kusimamia mapato ya ndani na kuwaasa kutowafumbia macho watumishi ambao wanasababisha kushuka kwa mapato.
Aidha amesisitiza kuweka watumishi wanaosimamia ushuru kukaa kwenye maeneo ya uchimbaji kokoto, hatua inayolenga kuwadhibiti wafanyabiashara wanaojihusisha na ukwepaji wa ushuru.
Zainab alieleza hayo ,katika kikao cha kupitia taarifa ya mkaguzi wa Serikali (CAG),...

 

5 years ago

Michuzi

DC KAWAWA AAGIZA CHANZO CHA MACHIMBO YA MCHANGA KISIMAMIWE KUINUA MAPATO BAGAMOYO

NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO 
MKUU Wa Wilaya Ya Bagamoyo ,Zainab Kawawa ameiagiza halmashauri ya Bagamoyo kutumikia wananchi kwa maslahi mapana ya jamii pamoja na kusimamia chanzo kikuu cha machimbo ya mchanga ambacho kinalegalega na kusababisha kushuka kwa mapato. 
Aidha mkuu huyo wa wilaya, ameelekeza kupatiwa maelezo ya kina ni kwanini mashine za makusanyo (posi) zinazimwa na kushindwa kukusanya mapato kwa muda mrefu na hivyo kuhitaji maelezo ofisini kwake. 
Akizungumza na watumishi na...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AAGIZA UMAKINI UFANYIKE UTOAJI VITAMBULISHO VYA TAIFA.

Na Editha Karlo,Kigoma.
WAZIRI Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema ameagiza umakini ufanyike katika utoaji wa vitambulisho vya Taifa hususani katika Mikoa iliyopo mipakani ili kuimarisha usalama wa nchi.

Majaliwa ameyasema hayo leo wakati akiongea na wajumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu chama cha mapinduzi(CCM)ya Mkoa wa Kigoma akiwa kwenye sikubya kwanza ya ziara yake amesema kumekuwepo na malalamiko ya wananchi wanaofuatilia vitambulisho vya Taifa wanadaiwa siyo raia wa Tanzania...

 

5 years ago

Michuzi

RC SINGIDA ATAKA UADILIFU UGAWAJI WA VITAMBULISHO VYA WAJASIRIAMALI AWAMU YA PILI 2020



 Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (katikati) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo vitambulisho vya Wajasiriamali Awamu ya pili 2020 vilivyotolewa na Rais Dkt. John Magufuli mkoani hapa jana. Kushoto ni Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Angelina Lutambi. Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (katikati) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Rahabu Mwagisa vitambulisho vya Wajasiriamali Awamu ya pili 2020.

 Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (katikati)...

 

10 years ago

Michuzi

MH. ZAINABU KAWAWA AMUENZI HAYATI MZEE KAWAWA KWA VITENDO

Na Mdau Sixmund J.BMh Zainabu Kawawa ameamua kuendelea kumuenzi kwa vitendo aliekuwa mmoja wa wahasisi wa Taifa letu Marehemu Baba yake Mzee Rashidi Mfaume Kawawa, kwa kuikarabati shule ya msingi aliyo soma Mzee Kawawa. 
Akiwa wilayani Liwale alipokulia na kusomea Marehemu Mzee Kawawa, Mh Zainabu aliwatembela wazee mbali mbali waliokuwa marafiki wa Mzee Kwawa ili kuwawajulia hali na kusikia mitazamo yao ya Liwale ya sasa nakipindi walipo kuwa na Marehemu Mzee Kawawa. 
Wakitoa mitazamo yao Mzee...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Korti yaamuru wamiliki IPTL wasibughudhiwe

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imeiamuru Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong  (SCBHK) na Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco) kuacha kuingilia utulivu, umiliki, usimamizi na utawala wa mitambo ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

PSPF ya ungana na wanawake wajasiriamali katika hafla ya kuendeleza umoja wa wajasiriamali Dar

Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF).

2

Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiriamali Shamimu Mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo Jokate Mwegelo.

Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) kushoto Hadji...

 

10 years ago

Vijimambo

PSPF YA UNGANA NA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KATIKA HAFRA YA KUENDELEZA UMOJA WA WAJASIRIAMALI DAR ES SALAAM

 Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF) Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiliamali shamimu mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo jokate mwegelo. Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF)kushoto Hadji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani