DC KAWAWA AAGIZA WAJASIRIAMALI WENYE VITAMBULISHO WASIBUGHUDHIWE ,AIKABIDHI CHALINZE VITAMBULUSHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-w4lXA9IA76k/XtZSLi5q9lI/AAAAAAALsT0/Er8VzVJNAMQ8xWb2dyI_YpjtvV7BAbmXACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200602-WA0031%25281%2529.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,CHALINZE
MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani Zaynabu Kawawa, ameikabidhi Halmashauri ya Chalinze ,vitambulisho vya Mjasiriamali vipatavyo 10,106 na kuagiza wasibughudhiwe.
Aidha amewaonya Watendaji wataokwamisha zoezi la usambazaji wa vitambulisho maalumu kwa ajili ya wajasiriamali.
Katika hafla fupi ya makabidhiano hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa shule ya Sekondari Lugoba, Kawawa alisema, vitambulisho hivyo vilivyotolewa na Rais John Magufuli kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Fuom-C-yCMM/XpajiZ00npI/AAAAAAALm_E/ssAfj3SZGpANVupUKboCjazOKe0YiTALACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200414_113418_2.jpg)
RIDHIWANI AIKABIDHI HALMASHAURI YA CHALINZE MABATI, MATANKI YA MAJI YENYE GHARAMA YA MIL.13.9
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amekabidhi mabati 1,000 kwa halmashauri ya Chalinze ,pamoja na tanki za maji na mabeseni Tisa vyote vikiwa na gharama ya milioni 13.9.
Kati ya mabati hayo 600 yataelekezwa katika miradi ya halmashauri ya sekta ya elimu na afya na 400 yatapangiwa kazi na matakwa ya mfuko wa jimbo.
Akizungumzia kuhusu msaada huo ,Ridhiwani alieleza kuwa , shule ya sekondari Changarikwa inapatiwa mabati 90,Msata 90,Chamakweza mabati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IDqUIXiUBT4/Xrv_A7CdqHI/AAAAAAALqGk/CGxbCq5crcw2BYnMFSW5d9MK3TJ2raeFQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200512-WA0021.jpg)
KAWAWA AITAKA HALMASHAURI YA CHALINZE KUSIMAMIA MAPATO YA NDANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-IDqUIXiUBT4/Xrv_A7CdqHI/AAAAAAALqGk/CGxbCq5crcw2BYnMFSW5d9MK3TJ2raeFQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200512-WA0021.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-beN1PEXENVM/Xrv_A4KAbtI/AAAAAAALqGc/7FGJ3QtB39kqg7EBg6bvSQoPTCRkA5LZgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200512-WA0022.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aB8F6cis0_Q/Xrv_A-3LUzI/AAAAAAALqGg/A0woXTntxgQm42q_49slg_39uRo1bI7mACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200512-WA0023.jpg)
Na Mwamvua Mwinyi, ChalinzeMKUU wa Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani Zainab Kawawa, ameitaka halmashauri ya Chalinze kusimamia mapato ya ndani na kuwaasa kutowafumbia macho watumishi ambao wanasababisha kushuka kwa mapato.
Aidha amesisitiza kuweka watumishi wanaosimamia ushuru kukaa kwenye maeneo ya uchimbaji kokoto, hatua inayolenga kuwadhibiti wafanyabiashara wanaojihusisha na ukwepaji wa ushuru.
Zainab alieleza hayo ,katika kikao cha kupitia taarifa ya mkaguzi wa Serikali (CAG),...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zNkUQIrF3eA/XlDpjtq64uI/AAAAAAALey0/nu48bAxv4m04zt4jXM4NNZ-3wh5VcM-iACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200219_142004_6-1024x576.jpg)
DC KAWAWA AAGIZA CHANZO CHA MACHIMBO YA MCHANGA KISIMAMIWE KUINUA MAPATO BAGAMOYO
MKUU Wa Wilaya Ya Bagamoyo ,Zainab Kawawa ameiagiza halmashauri ya Bagamoyo kutumikia wananchi kwa maslahi mapana ya jamii pamoja na kusimamia chanzo kikuu cha machimbo ya mchanga ambacho kinalegalega na kusababisha kushuka kwa mapato.
Aidha mkuu huyo wa wilaya, ameelekeza kupatiwa maelezo ya kina ni kwanini mashine za makusanyo (posi) zinazimwa na kushindwa kukusanya mapato kwa muda mrefu na hivyo kuhitaji maelezo ofisini kwake.
Akizungumza na watumishi na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rjlUBBHjG1A/XlAFDiUBGiI/AAAAAAALewk/zbHIv2hLF24IyaRtMhcwOBqEcK2ynrpugCLcBGAsYHQ/s72-c/nida%252Bpic.jpg)
WAZIRI MKUU AAGIZA UMAKINI UFANYIKE UTOAJI VITAMBULISHO VYA TAIFA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rjlUBBHjG1A/XlAFDiUBGiI/AAAAAAALewk/zbHIv2hLF24IyaRtMhcwOBqEcK2ynrpugCLcBGAsYHQ/s400/nida%252Bpic.jpg)
WAZIRI Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema ameagiza umakini ufanyike katika utoaji wa vitambulisho vya Taifa hususani katika Mikoa iliyopo mipakani ili kuimarisha usalama wa nchi.
Majaliwa ameyasema hayo leo wakati akiongea na wajumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu chama cha mapinduzi(CCM)ya Mkoa wa Kigoma akiwa kwenye sikubya kwanza ya ziara yake amesema kumekuwepo na malalamiko ya wananchi wanaofuatilia vitambulisho vya Taifa wanadaiwa siyo raia wa Tanzania...
5 years ago
MichuziRC SINGIDA ATAKA UADILIFU UGAWAJI WA VITAMBULISHO VYA WAJASIRIAMALI AWAMU YA PILI 2020
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Du2gX0t5yFU/VJnazhjj8mI/AAAAAAAG5b0/T87OtIywNfM/s72-c/Untitled1.png)
MH. ZAINABU KAWAWA AMUENZI HAYATI MZEE KAWAWA KWA VITENDO
Akiwa wilayani Liwale alipokulia na kusomea Marehemu Mzee Kawawa, Mh Zainabu aliwatembela wazee mbali mbali waliokuwa marafiki wa Mzee Kwawa ili kuwawajulia hali na kusikia mitazamo yao ya Liwale ya sasa nakipindi walipo kuwa na Marehemu Mzee Kawawa.
Wakitoa mitazamo yao Mzee...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Korti yaamuru wamiliki IPTL wasibughudhiwe
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imeiamuru Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong (SCBHK) na Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco) kuacha kuingilia utulivu, umiliki, usimamizi na utawala wa mitambo ya...
10 years ago
Dewji Blog26 May
PSPF ya ungana na wanawake wajasiriamali katika hafla ya kuendeleza umoja wa wajasiriamali Dar
Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF).
Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiriamali Shamimu Mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo Jokate Mwegelo.
Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) kushoto Hadji...
10 years ago
VijimamboPSPF YA UNGANA NA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KATIKA HAFRA YA KUENDELEZA UMOJA WA WAJASIRIAMALI DAR ES SALAAM