Pinda aagiza Jiji kuongeza mapato
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameutaka uongozi wa Jiji la Mbeya, kuongeza mapato yake ya ndani kwa kuweka mifumo ya kisasa ya ukusanyaji mapato.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nmIQUWjQ8xE/Xk_wHlYwesI/AAAAAAALeuU/LZkVWRL0HOwuUq1PiWqkXOxCC2E9UHeUgCLcBGAsYHQ/s72-c/3e301e80-857f-4e33-bb62-babfdbdce135.jpg)
JIJI LA DODOMA LAJA NA MIKAKATI SABA YA KUONGEZA UKUSANYAJI WAKE WA MAPATO
ILI kuongeza kiwango cha ukusanyaji wa mapato kwa mwaka 2020/2021 Jiji la Dodoma limebuni njia saba za ukusanyaji ikiwemo kuwatumia watendaji wa kata na mitaa ili waweze kukusanya mapato katika maeneo yao.
Njia nyingine ni pamoja na kufanya uchambuzi wa vyanzo vya mapato vya halmashauri ili kukusanya takwimu sahihi za vyanzo hivyo, kuhakikisha ukusanyaji wa mapato kutoka vyanzo na vituo vyote unatumia mfumo wa kielektroniki ili kudhibiti upotevu wa mapato.
Akizungumza...
11 years ago
Habarileo29 Mar
Halmashauri zatakiwa kuongeza mapato
MKUU wa Mkoa wa Kusini Unguja, Dk Idrissa Muslim Hija amewataka watendaji wa Serikali ya Mkoa wa Kusini, ikiwemo Halmashauri za miji, kuongeza mapato kwa ajili ya kutekeleza miradi waliyojipangia.
11 years ago
Mwananchi05 Feb
DC Rufiji aagiza madiwani kulipa kodi ya mapato
9 years ago
Habarileo07 Jan
Waziri Mkuu aagiza kasi ukusanyaji mapato
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza halmashauri za wilaya, manispaa na majiji nchini, kuongeza kasi katika ukusanyaji wa mapato ya ndani, hatua itakayosaidia kuboresha huduma za afya na kuharakisha shughuli mbalimbali za maendeleo.
11 years ago
Habarileo12 Feb
Aagiza wakaguzi wa elimu kuongeza bidii
Wakaguzi wa Wizara ya Elimu kisiwani Pemba wametakiwa kuongeza bidii, kuhakikisha kwamba wanafuatilia maendeleo ya walimu wakuu katika shule zote na kuongeza kiwango cha ufaulu.
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Exim yaanza kutekeleza dira kuongeza mapato
BENKI ya Exim Tanzania imeanza utekelezaji wa dira yake ya mwaka 2016 ambayo inalenga kuongeza mapato yake maradufu na kuiongezea amana katika soko ifikapo mwaka 2016. Ikiwa ni benki inayoshika...
10 years ago
Habarileo25 Jan
Nagu aagiza TIC kuanzisha vyanzo vingine vya mapato
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk Mary Nagu amekitaka Kituo cha Uwekezaji (TIC) kuanzisha vyanzo vingine vya mapato ili kiweze kutekeleza miradi yake kwa wakati bila kutegemea bajeti ya serikali.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6obuw0cIbKI/XqkvXRetGpI/AAAAAAALoiM/_0-SH4rlwsgOxzNY3hx_2n0pbhU_cKTdwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_1808-2048x1365.jpg)
NFRA WATAKIWA KUONGEZA WIGO WA MAPATO-KUSAYA Shinyanga
![](https://1.bp.blogspot.com/-6obuw0cIbKI/XqkvXRetGpI/AAAAAAALoiM/_0-SH4rlwsgOxzNY3hx_2n0pbhU_cKTdwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_1808-2048x1365.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyeshika sahani) akikagua ubora wa mahindi yaliyohifadhiwa katika ghala la Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Kanda ya Shinyanga leo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_1846.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya ( ) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Kituo cha Afya ya Mimea Kanda ya Shinyanga wakati alipotembelea kuongea na watumishi wa taasisi hiyo iliyo chini ya wizara ya Kilimo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_1897-1.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa koti la bluu)...
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Tanzania ina fursa ya kuongeza mapato kupitia utalii wa ndani