NFRA WATAKIWA KUONGEZA WIGO WA MAPATO-KUSAYA Shinyanga
![](https://1.bp.blogspot.com/-6obuw0cIbKI/XqkvXRetGpI/AAAAAAALoiM/_0-SH4rlwsgOxzNY3hx_2n0pbhU_cKTdwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_1808-2048x1365.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyeshika sahani) akikagua ubora wa mahindi yaliyohifadhiwa katika ghala la Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Kanda ya Shinyanga leo
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya ( ) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Kituo cha Afya ya Mimea Kanda ya Shinyanga wakati alipotembelea kuongea na watumishi wa taasisi hiyo iliyo chini ya wizara ya Kilimo.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa koti la bluu)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMITANDAO YA KIJAMII YAZIDI KUONGEZA WIGO WA AJIRA KWA VIJANA,'APP' YA BIDHAA YA KEKI YAZINDULIWA LEO JIJINI DAR
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Melisa Lilian Ringo wakati akizindua App kwa ajili ya Keki iliyofanyika leo, jijini Dar es Salaam.
Ringo amesema kuwa watu wanaohitaji Keki watakwenda kwenye mtandao na kufungua 'Melisa Cake' na kuchagua aina mbalimbali za Keki.Amesema mteja akiingia katika App hiyo atachagua Keki aitakayo baada ya hapo ...
11 years ago
Habarileo29 Mar
Halmashauri zatakiwa kuongeza mapato
MKUU wa Mkoa wa Kusini Unguja, Dk Idrissa Muslim Hija amewataka watendaji wa Serikali ya Mkoa wa Kusini, ikiwemo Halmashauri za miji, kuongeza mapato kwa ajili ya kutekeleza miradi waliyojipangia.
11 years ago
Habarileo04 Aug
Pinda aagiza Jiji kuongeza mapato
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameutaka uongozi wa Jiji la Mbeya, kuongeza mapato yake ya ndani kwa kuweka mifumo ya kisasa ya ukusanyaji mapato.
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Exim yaanza kutekeleza dira kuongeza mapato
BENKI ya Exim Tanzania imeanza utekelezaji wa dira yake ya mwaka 2016 ambayo inalenga kuongeza mapato yake maradufu na kuiongezea amana katika soko ifikapo mwaka 2016. Ikiwa ni benki inayoshika...
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Tanzania ina fursa ya kuongeza mapato kupitia utalii wa ndani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nmIQUWjQ8xE/Xk_wHlYwesI/AAAAAAALeuU/LZkVWRL0HOwuUq1PiWqkXOxCC2E9UHeUgCLcBGAsYHQ/s72-c/3e301e80-857f-4e33-bb62-babfdbdce135.jpg)
JIJI LA DODOMA LAJA NA MIKAKATI SABA YA KUONGEZA UKUSANYAJI WAKE WA MAPATO
ILI kuongeza kiwango cha ukusanyaji wa mapato kwa mwaka 2020/2021 Jiji la Dodoma limebuni njia saba za ukusanyaji ikiwemo kuwatumia watendaji wa kata na mitaa ili waweze kukusanya mapato katika maeneo yao.
Njia nyingine ni pamoja na kufanya uchambuzi wa vyanzo vya mapato vya halmashauri ili kukusanya takwimu sahihi za vyanzo hivyo, kuhakikisha ukusanyaji wa mapato kutoka vyanzo na vituo vyote unatumia mfumo wa kielektroniki ili kudhibiti upotevu wa mapato.
Akizungumza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bXYdBtGXBxY/VGIJ1L5KhkI/AAAAAAAGwkk/TlUZMem-64Y/s72-c/002.KILIMO%2BKLABU.jpg)
Matumizi ya simu za mkononi kuongeza uzalishaji na mapato ya wakulima 30,000 nchini
Wakulima wadogo wa Tanzania watanufaika kiteknolojia kupitia huduma inayojulikana kama Kilimo Club.Kwa huduma hii wataweza kutumia huduma ya M-Pesa kutuma na kupokea fedha ikiwemo kufanya malipo wakati huo huo...
9 years ago
MichuziWAZIRI PROF. MBARAWA AWATAKA TAA NA TCAA KUBORESHA HUDUMA NA KUONGEZA MAPATO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbVQQ5deDwcC5DoBQhhcjNIn*cIb6lr5k4PXr1DthlVy4O*fvsclYFIoHzUw5zPaCKy3AkVqsxzg2LEV0qpGQ0SR/002.KILIMOKLABU.jpg?width=650)
MATUMIZI YA SIMU ZA MKONONI KUONGEZA UZALISHAJI NA MAPATO YA WAKULIMA 30,000 NCHINI
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10