WAZIRI PROF. MBARAWA AWATAKA TAA NA TCAA KUBORESHA HUDUMA NA KUONGEZA MAPATO
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akipata maelezo ya uboreshaji unaoendelea kufanyika wa kiwanja cha Ndege Terminal Two kutoka kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Eng. Suleiman Suleiman jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa TAA Eng. Suleiman Suleiman akimwonyesha Waziri Prof. Mbarawa ujenzi unaoendelea wa jengo la tatu la abiria (Terminal three), ambapo jengo hilo likikamilika litakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria milioni 6 kwa mwaka.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAZIRI PROF. MBARAWA ASISITIZA UWAZI NA UADILIFU TAZARA
10 years ago
MichuziPROF. MBARAWA ASHUHUDIA KWA KUSAINIWA MKATABA WA KUPELEKA HUDUMA ZA MAWASILIANO YA SIMU VIJIJINI AWAMU YA 2B MJINI DODOMA
11 years ago
Dewji Blog24 Apr
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Mbarawa afungua mkutano wa wadau waTEHAMA
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa akifungua mkutano wa siku mbili wa wadau wa Teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) kutoka nchi za ukanda wa Bonde la ufa leo jijini Dar es salaam.
Na Eleuteri Mangi- Maelezo
Serikali imejenga mazingira mazuri kwa wawekezaji ili kuvutia makampuni mbalimbali kuwekeza kwenye sekta ya mawasiliano nchini.
Kauli hiyo imemtolewa na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa alipokuwa akifungua mkutano...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU: TUENDELEE KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA
Magari hayo 10 ni kati ya magari 50 ya kubebea wagonjwa yenye thamani ya sh. bilioni sita yaliyonunuliwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia Global Fund. Kati ya magari hayo, 18...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-i2MuXRPXKmc/U4giF4L3R9I/AAAAAAAFmb4/a0zyivHmc_k/s72-c/IMG_1979.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI MHE. PROF. SOSPETER MWIJARUBI MUHONGO (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2014/15
![](http://2.bp.blogspot.com/-i2MuXRPXKmc/U4giF4L3R9I/AAAAAAAFmb4/a0zyivHmc_k/s1600/IMG_1979.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fDIbqjReJ9Y/Xu5tMovGpOI/AAAAAAALuyU/-fgnXbxzMGgjbLI9G1uR_myd8iGPV7fHQCLcBGAsYHQ/s72-c/5c0eecc1-a0c4-40e7-a71e-3cd4614daffc.jpg)
Corona imeleta fursa ya kuboresha huduma za afya nchini’: Waziri Ummy
![](https://1.bp.blogspot.com/-fDIbqjReJ9Y/Xu5tMovGpOI/AAAAAAALuyU/-fgnXbxzMGgjbLI9G1uR_myd8iGPV7fHQCLcBGAsYHQ/s640/5c0eecc1-a0c4-40e7-a71e-3cd4614daffc.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/97372b66-2582-4a6c-a347-fda1fcc35431.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a4725172-0ea6-4f18-800a-c1430784e92b.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0fb9082c-f853-4e53-904c-4be5e34a3f74.jpg)
**********************************
Na.WAMJW, Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwapo kwa ugonjwa wa Corona nchini, imeleta fursa ya kuboresha huduma za afya katika vituo mbalimbali vya afya hapa nchini.
Michango mbalimbali iliyotolewa zikiwamo vifaa na vifaa tiba zimesaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha huduma za afya na kuokoa maisha kwa wagonjwa mahututi.
Waziri wa afya Ummy Mwalimu ameyasema hayo wakati akizindua upanuzi wa...
11 years ago
Mwananchi06 Jan
TCAA sasa kuongeza wataalamu
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
TAA kuboresha viwanja mikoani
MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege (TAA), imesema itaendelea kuboresha viwanja vya ndege vilivyoko mikoani, ili kila mwananchi aweze kutumia usafiri huo. Ofisa Sheria na Mahusiano wa mamlaka hiyo, Nuru Nyoni,...