Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TCAA sasa kuongeza wataalamu

>Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) imesema ina upungufu wa wataalam wakaguzi wa marubani wa ndege wapatao 12.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAZIRI PROF. MBARAWA AWATAKA TAA NA TCAA KUBORESHA HUDUMA NA KUONGEZA MAPATO

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akipata maelezo ya uboreshaji unaoendelea kufanyika wa kiwanja cha Ndege Terminal Two kutoka kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Eng. Suleiman Suleiman jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa TAA Eng. Suleiman Suleiman akimwonyesha Waziri Prof. Mbarawa ujenzi unaoendelea wa jengo la tatu la abiria (Terminal three), ambapo jengo hilo likikamilika litakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria milioni 6 kwa mwaka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCAA yaajiri wakaguzi wa marubani

KATIKA kukabiliana na uhaba wa wakaguzi wa marubani wa ndege, Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) imeajiri wataalamu watatu wa kada hiyo kwa mwaka 2013. Akizungumza na Tanzania Daima juzi,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Banda la TCAA lawakuna wengi

MAMIA ya wakazi wa maeneo mbalimbali ya Zanzibar wamefurika katika banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kujipatia elimu kuhusiana na masuala ya anga nchini. Akizungumza na Tanzania...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TCAA: Unganisheni kampuni za ndege

MAMLAKA ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imewashauri wawekezaji wa kampuni za ndege hapa nchini kujiunga na kuanzisha kampuni moja ili kujitanua katika soko la anga. Ushauri huo ulitolewa jana...

 

11 years ago

Mwananchi

TCAA yatetea gharama mpya

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imesema gharama mpya za huduma za anga zilizopandishwa na mamlaka hiyo mwanzoni mwa mwaka huu, hazitaathiri ushindani wa nchi kibiashara

 

11 years ago

Mwananchi

TCAA wamtwika zigo Mwakyembe

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe jana alijikuta akitwishwa masuala mazito kutoka kwa wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), ambao walibainisha changamoto nyingi zinazowarudisha nyuma kutekeleza majukumu yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCAA yatamanisha wengi kuwa marubani

USAFIRI wa anga ni miongoni mwa sekta muhimu kwenye ukuaji wa uchumi wa nchi yoyote duniani. Kwa kuliona hilo, Serikali ya Tanzania ilianzisha Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TCAA yashauri makampuni ya ndege kujiunga

MAMLAKA ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imewashauri wawekezaji wa makampuni ya ndege hapa nchini kujiunga na kuanzisha kampuni moja ili kujitanua katika soko la anga. Ushauri huo ulitolewa jana...

 

9 years ago

TheCitizen

TCAA discusses air service applications

Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) yesterday held a public meeting to deliberate on applications by various operators for air services and ground handling licences as interest in the sector grows.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani