Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TCAA yatetea gharama mpya

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imesema gharama mpya za huduma za anga zilizopandishwa na mamlaka hiyo mwanzoni mwa mwaka huu, hazitaathiri ushindani wa nchi kibiashara

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Gharama mpya Shinyanga zawakimbiza wajawazito

UAMUZI wa kupandisha gharama za matibabu zikiwemo zile za kujifungua, katika hospitali ya Mkoa wa Shinyanga umesababisha mamia ya wagonjwa wakiwemo wajawazito kuikimbia. Hatua ya kupandisha gharama za matibabu iliyochukuliwa...

 

9 years ago

Bongo5

Hanscana ataja gharama ya video mpya ya Avril ‘ No Stress’ na mtu aliyewakutanisha

Avril bts

Video mpya ya Avril wa Kenya aliyomshirikisha AY ‘No Stress’ iliyoongozwa na director wa Tanzania, Hanscana imepata mapokezi mazuri kutoka kwa mashabiki wa muziki walioisifia toka siku ya kwanza ilipowekwa Youtube November 15, 2015.

Avril bts

Uzuri na ubora wa video hiyo umebebwa na uwezo na ubunifu wa director na timu nzima iliyohusika, pamoja na bajeti ya kuridhisha iliyotumika katika kuandaa video hiyo iliyoshutiwa Dar.

Hanscana ameiambia Bongo5 kuwa video pekee, kwa maana ya ku-design location,...

 

9 years ago

Dewji Blog

HAPA KAZI TU: Kadi za Krismass na Mwaka mpya marufuku kwa gharama za Serikali!

sefue

Balozi Ombeni Sefue

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[DAR ES SALAAM] Usije shangaa unapata taarifa kuwa Michango ya Harusi inafutwa na baadala yake watu wafunge ndoa kimya kimya!! aah inawezekana ama isiwezekane ila kwa kuhakikisha kazi zinafanyika na kubana matumizi yasio ya lazima, huko tunakoelekea inatupaswa kufanya hivi ili mipango na fedha nyingi zielekezwa katika huduma za afya, Elimu, Miundombinu na mambo mengine ya Kimaendeleo.

Modewjiblog inapongeza juhudi zote za msingi zinazotolewa...

 

5 years ago

Michuzi

ALAF Limited yaja na Teknolojia mpya ya ujenzi wa kisasa wa gharama nafuu SAFBUILD

Keki ya uzinduzi wa teknolojia mpya ya ujenzi wa nyumba na maghala wa kisasa SAFBUILD ikikatwa kwenye hafla iliyofanyika jijini Dar Es Salaam jana, kutoka kushoto ni Reuben kutoka TCC, Mohamed Hussein kutoka JMB International, Isamba Kasaka kutoka ALAF, Shailesh Tripathy wa ALAF, Athony Kazmi kutoka Kamaka ltd na Anurag Mishra kutoka ALAFMeneja wa Miradi na Mauzo wa ALAF, Shailesh Tripathy (aliyenyoosha mkono kulia) akifungua pazia kuzindua rasmi ujenzi mpya wa teknolojia ya kisasa...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU UTENGENEZAJI NA UCHAPISHAJI KADI ZA XMAS NA MWAKA MPYA KWA GHARAMA ZAKE

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amepiga marufuku utengenezaji na uchapishaji wa kadi za Christmas na Mwaka Mpya kwa gharama za serikali/umma, kwa mwaka huu.
Balozi Sefue, ameelekeza kuwa yeyote anayetaka kutengeneza ama kuchapisha kadi hizo, afanye hivyo kwa gharama zake mwenyewe.
Badala yake Balozi Sefue ameagiza fedha zilizopangwa kugharamia utengenezaji na uchapishaji wa kadi, zitumike kupunguza madeni ambayo Wizara, Idara na Taasisi za umma zinadaiwa na wananch/wazabuni waliotoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yatetea wanahabari

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeungana na wadau wa sekta ya habari nchini kupinga usiri na udharura unaotaka kufanywa na Serikali katika miswada miwili muhimu inayogusa masilahi ya mwananchi mmoja mmoja na makundi ya wadau mbalimbali katika jamii.

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yatetea meli iliyonaswa Mombasa

Umoja wa Mataifa umepuuzilia mbali madai kwamba silaha zilizopatikana ndani ya meli iliyozuiliwa na maafisa wa Kenya katika bandari ya Mombasa zilikuwa haramu.

 

10 years ago

BBCSwahili

England yatetea wachezaji chipukizi

England imetetea uamuzi wa kutowatumia wachezaji wa ligi kuu ya nchi hiyo ili kuwapa nafasi wachezaji chipukizi

 

11 years ago

Habarileo

EPZA yatetea shughuli zake

MAMLAKA ya Mauzo ya Nje (EPZA) imetaka jamii kuondokana na dhana kwamba shughuli inazozifanya pamoja na manufaa, yanayopatikana ni kwa ajili ya wawekezaji wa nje pekee.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani