TCAA yatetea gharama mpya
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imesema gharama mpya za huduma za anga zilizopandishwa na mamlaka hiyo mwanzoni mwa mwaka huu, hazitaathiri ushindani wa nchi kibiashara
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Gharama mpya Shinyanga zawakimbiza wajawazito
UAMUZI wa kupandisha gharama za matibabu zikiwemo zile za kujifungua, katika hospitali ya Mkoa wa Shinyanga umesababisha mamia ya wagonjwa wakiwemo wajawazito kuikimbia. Hatua ya kupandisha gharama za matibabu iliyochukuliwa...
9 years ago
Bongo517 Nov
Hanscana ataja gharama ya video mpya ya Avril ‘ No Stress’ na mtu aliyewakutanisha
![Avril bts](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Avril-bts-300x194.jpg)
Video mpya ya Avril wa Kenya aliyomshirikisha AY ‘No Stress’ iliyoongozwa na director wa Tanzania, Hanscana imepata mapokezi mazuri kutoka kwa mashabiki wa muziki walioisifia toka siku ya kwanza ilipowekwa Youtube November 15, 2015.
Uzuri na ubora wa video hiyo umebebwa na uwezo na ubunifu wa director na timu nzima iliyohusika, pamoja na bajeti ya kuridhisha iliyotumika katika kuandaa video hiyo iliyoshutiwa Dar.
Hanscana ameiambia Bongo5 kuwa video pekee, kwa maana ya ku-design location,...
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
HAPA KAZI TU: Kadi za Krismass na Mwaka mpya marufuku kwa gharama za Serikali!
Balozi Ombeni Sefue
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Usije shangaa unapata taarifa kuwa Michango ya Harusi inafutwa na baadala yake watu wafunge ndoa kimya kimya!! aah inawezekana ama isiwezekane ila kwa kuhakikisha kazi zinafanyika na kubana matumizi yasio ya lazima, huko tunakoelekea inatupaswa kufanya hivi ili mipango na fedha nyingi zielekezwa katika huduma za afya, Elimu, Miundombinu na mambo mengine ya Kimaendeleo.
Modewjiblog inapongeza juhudi zote za msingi zinazotolewa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z2Umln1x9QM/XlEZRl8RboI/AAAAAAAEFJ8/XHjm5f6zf4s4FJ5w_Q01BOZWSxwoJ4W3gCLcBGAsYHQ/s72-c/pic3.jpg)
ALAF Limited yaja na Teknolojia mpya ya ujenzi wa kisasa wa gharama nafuu SAFBUILD
![](https://1.bp.blogspot.com/-z2Umln1x9QM/XlEZRl8RboI/AAAAAAAEFJ8/XHjm5f6zf4s4FJ5w_Q01BOZWSxwoJ4W3gCLcBGAsYHQ/s640/pic3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M8TeCSFMyMo/VlbZOD-sBfI/AAAAAAAIIcs/zyKOUBFvJIA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU UTENGENEZAJI NA UCHAPISHAJI KADI ZA XMAS NA MWAKA MPYA KWA GHARAMA ZAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-M8TeCSFMyMo/VlbZOD-sBfI/AAAAAAAIIcs/zyKOUBFvJIA/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Balozi Sefue, ameelekeza kuwa yeyote anayetaka kutengeneza ama kuchapisha kadi hizo, afanye hivyo kwa gharama zake mwenyewe.
Badala yake Balozi Sefue ameagiza fedha zilizopangwa kugharamia utengenezaji na uchapishaji wa kadi, zitumike kupunguza madeni ambayo Wizara, Idara na Taasisi za umma zinadaiwa na wananch/wazabuni waliotoa...
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Chadema yatetea wanahabari
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
UN yatetea meli iliyonaswa Mombasa
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
England yatetea wachezaji chipukizi
11 years ago
Habarileo09 Jul
EPZA yatetea shughuli zake
MAMLAKA ya Mauzo ya Nje (EPZA) imetaka jamii kuondokana na dhana kwamba shughuli inazozifanya pamoja na manufaa, yanayopatikana ni kwa ajili ya wawekezaji wa nje pekee.