Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN yatetea meli iliyonaswa Mombasa

Umoja wa Mataifa umepuuzilia mbali madai kwamba silaha zilizopatikana ndani ya meli iliyozuiliwa na maafisa wa Kenya katika bandari ya Mombasa zilikuwa haramu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MELI ILIYONASWA NA ‘UNGA’

Stori:  Waandishi Wetu
WIKI iliyopita Jeshi la Polisi Kikosi Kazi cha Wanamaji Tanzania, walikamata shehena ya madawa ya kulevya ‘unga’ wenye thamani ya mabilioni ya shilingi zikiwa ndani ya meli. Wairan wakipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar. Taarifa za uhakika zinadai kuwa meli hiyo ambayo ni mali ya Kampuni ya  Almansoor SA ya Iran ilikamatwa Jumanne iliyopita katikati...

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi wazuilia meli bandarini Mombasa

Polisi nchini Kenya wanakagua meli inayoshukiwa kubeba dawa za kulevya katika bandari ya Mombasa baada ya operesheni iliyotekelezwa usiku wa manane.

 

11 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu Heroine iliyonaswa Kenya

Kenya imelalamika kuwa haikupewa taarifa zozote kuhusu dawa za kulevya zilizonaswa na wanajeshi wa Australia wanaoshika doria katika ufuo wa bahari Hindi,ufukweni mwa Kenya.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yatetea wanahabari

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeungana na wadau wa sekta ya habari nchini kupinga usiri na udharura unaotaka kufanywa na Serikali katika miswada miwili muhimu inayogusa masilahi ya mwananchi mmoja mmoja na makundi ya wadau mbalimbali katika jamii.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yatetea juhudi za kuangamiza Ebola

Mratibu wa Umoja wa mataifa kuhusu ugonjwa wa ebola Davis Nabarro ametetea juhudi za kimataifa za kupambana na ugonjwa huo.

 

11 years ago

Habarileo

TMA yatetea utabiri wake

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema asilimia 87 ya utabiri wa hali ya hewa, uliotolewa mwaka jana, ulikuwa sahihi. Aidha, imeeleza kuwa ili kuweza kuwafikia watu zaidi mamlaka hiyo, inatarajia kuanzia kituo cha Redio, ambacho kitatoa utabiri pekee.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini yatetea majeshi ya UG

Waziri wa mashauri ya Nchi za kigeni wa Sudan Kusini Barnaba Marial Benjamin, ametetea kuwepo kwa wanajeshi wa Uganda Nchini mwake.

 

11 years ago

Mwananchi

TCAA yatetea gharama mpya

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imesema gharama mpya za huduma za anga zilizopandishwa na mamlaka hiyo mwanzoni mwa mwaka huu, hazitaathiri ushindani wa nchi kibiashara

 

11 years ago

BBCSwahili

Brazil yatetea maandalizi yake

Rais wa Brazil Dilma Rousseff ametetea jinsi ambavyo taifa lake limetayarisha Kombe la Dunia litakaloanza juma lijalo jijini Sao Paulo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani