UN yatetea meli iliyonaswa Mombasa
Umoja wa Mataifa umepuuzilia mbali madai kwamba silaha zilizopatikana ndani ya meli iliyozuiliwa na maafisa wa Kenya katika bandari ya Mombasa zilikuwa haramu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/z7xKGPrSF9DUbiJil*wzj4uOh*tns6GwndUcTET6Vs-vkzqvuBxPsFtkzo-nbVCyYz-OTpqkcASbV*O6KVXVZ9YwecFZA2Ar/meli.jpg?width=650)
MELI ILIYONASWA NA ‘UNGA’
Stori:Â Waandishi Wetu
WIKI iliyopita Jeshi la Polisi Kikosi Kazi cha Wanamaji Tanzania, walikamata shehena ya madawa ya kulevya ‘unga’ wenye thamani ya mabilioni ya shilingi zikiwa ndani ya meli. Wairan wakipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar. Taarifa za uhakika zinadai kuwa meli hiyo ambayo ni mali ya Kampuni ya Almansoor SA ya Iran ilikamatwa Jumanne iliyopita katikati...
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Polisi wazuilia meli bandarini Mombasa
Polisi nchini Kenya wanakagua meli inayoshukiwa kubeba dawa za kulevya katika bandari ya Mombasa baada ya operesheni iliyotekelezwa usiku wa manane.
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Utata kuhusu Heroine iliyonaswa Kenya
Kenya imelalamika kuwa haikupewa taarifa zozote kuhusu dawa za kulevya zilizonaswa na wanajeshi wa Australia wanaoshika doria katika ufuo wa bahari Hindi,ufukweni mwa Kenya.
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Chadema yatetea wanahabari
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeungana na wadau wa sekta ya habari nchini kupinga usiri na udharura unaotaka kufanywa na Serikali katika miswada miwili muhimu inayogusa masilahi ya mwananchi mmoja mmoja na makundi ya wadau mbalimbali katika jamii.
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
UN yatetea juhudi za kuangamiza Ebola
Mratibu wa Umoja wa mataifa kuhusu ugonjwa wa ebola Davis Nabarro ametetea juhudi za kimataifa za kupambana na ugonjwa huo.
11 years ago
Habarileo26 Feb
TMA yatetea utabiri wake
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema asilimia 87 ya utabiri wa hali ya hewa, uliotolewa mwaka jana, ulikuwa sahihi. Aidha, imeeleza kuwa ili kuweza kuwafikia watu zaidi mamlaka hiyo, inatarajia kuanzia kituo cha Redio, ambacho kitatoa utabiri pekee.
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
Sudan Kusini yatetea majeshi ya UG
Waziri wa mashauri ya Nchi za kigeni wa Sudan Kusini Barnaba Marial Benjamin, ametetea kuwepo kwa wanajeshi wa Uganda Nchini mwake.
11 years ago
Mwananchi20 Mar
TCAA yatetea gharama mpya
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imesema gharama mpya za huduma za anga zilizopandishwa na mamlaka hiyo mwanzoni mwa mwaka huu, hazitaathiri ushindani wa nchi kibiashara
11 years ago
BBCSwahili04 Jun
Brazil yatetea maandalizi yake
Rais wa Brazil Dilma Rousseff ametetea jinsi ambavyo taifa lake limetayarisha Kombe la Dunia litakaloanza juma lijalo jijini Sao Paulo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania