MELI ILIYONASWA NA ‘UNGA’
![](http://api.ning.com:80/files/z7xKGPrSF9DUbiJil*wzj4uOh*tns6GwndUcTET6Vs-vkzqvuBxPsFtkzo-nbVCyYz-OTpqkcASbV*O6KVXVZ9YwecFZA2Ar/meli.jpg?width=650)
Stori: Waandishi Wetu WIKI iliyopita Jeshi la Polisi Kikosi Kazi cha Wanamaji Tanzania, walikamata shehena ya madawa ya kulevya ‘unga’ wenye thamani ya mabilioni ya shilingi zikiwa ndani ya meli. Wairan wakipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar. Taarifa za uhakika zinadai kuwa meli hiyo ambayo ni mali ya Kampuni ya Almansoor SA ya Iran ilikamatwa Jumanne iliyopita katikati...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
UN yatetea meli iliyonaswa Mombasa
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Utata kuhusu Heroine iliyonaswa Kenya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTYIRj17r-pkgs69p3EYzIukSbbgFRM8yVcYLoe42uTujiS*WsMCQ14Kzk3vZuUne7ccW0Lb46MBb6XNCpUywQ-/unga.jpg?width=750)
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Sep
Meli ya matibabu kuzinduliwa Mwanza
NA MWANDISHI WETU, MWANZA
MRADI wa meli ya huduma za matibabu, ulio chini ya Dayosisi ya Africa Inland Church Tanzania (AICT), mkoani hapa, unatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni.
Askofu Mkuu Dayosisi ya Geita, Musa Magwesela, alisema meli hiyo inatarajia kutoa huduma za matibabu katika visiwa mbalimbali vilivyopo ndani ya ziwa Victoria na mikoa ya Geita, Kagera na Mwanza.
Alisema Ziwa Victoria lina takribani visiwa 90 huku, vikikisiwa kuwa na wakazi wapatao 450,000.
“Kupitia meli hiyo,...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Meli Jeshi la Uturuki ziarani
MELI nne za kijeshi za Uturuki ‘Barbaros Turkish Maritime Task Group’ (TMTG), zinatarajiwa kutia nanga katika Bandari ya Dar es Salaam kwa ziara ya kijeshi ya siku nne ambayo itahusisha...
10 years ago
Vijimambo15 Jan
Meli yazama, 13 wahofiwa kufa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/jafary-15Jan2015.jpg)
Watu 13 wanasadikiwa kufa maji katika Ziwa Tanganyika, baada ya meli ya Mv Mbaga kuzama katika ziwa hilo usiku wa kuamkia Jumapili.
Tukio hilo lilitokea katika kijiji cha Kala, kilichopo mkoani Rukwa wakati meli hiyo ikitokea Mpulungu, Zambia kuelekea Burundi.
Mwakilishi wa meli hiyo mkoani Kigoma, Juliana Zakenda, alisema meli hiyo ilikuwa imebeba wafanyakazi 14 na tani 437 za mahindi.
Alisema kati ya wafanyakazi hao, ni mmoja tu alieokolewa ...
11 years ago
Mwananchi21 May
Meli ya Kikwete kukamilika 2016
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Meli ya uvuvi ya Urusi yazama
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Meli ya uokoaji yasababisha vifo