Meli ya matibabu kuzinduliwa Mwanza
NA MWANDISHI WETU, MWANZA
MRADI wa meli ya huduma za matibabu, ulio chini ya Dayosisi ya Africa Inland Church Tanzania (AICT), mkoani hapa, unatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni.
Askofu Mkuu Dayosisi ya Geita, Musa Magwesela, alisema meli hiyo inatarajia kutoa huduma za matibabu katika visiwa mbalimbali vilivyopo ndani ya ziwa Victoria na mikoa ya Geita, Kagera na Mwanza.
Alisema Ziwa Victoria lina takribani visiwa 90 huku, vikikisiwa kuwa na wakazi wapatao 450,000.
“Kupitia meli hiyo,...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Usafiri wa meli waendelea kutesa abiria Mwanza, Kagera
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Wafanyakazi wanusurika ajali ya meli Ziwa Victoria Mwanza
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU CHAMURIHO ARIDHISHWA NA UJENZI WA CHELEZO NA MELI MPYA MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dvsfAwmhW8w/XoHfR_OCFwI/AAAAAAALlhE/BZP6kLl7gtk868HaGSjCDdIMszIj4KuxwCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2BNO%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FrwScooAvQ8/VD7aOuvW2jI/AAAAAAAGqyM/ITYk5304gGI/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
NAIBU WAZIRI WIZARA YA USHIRIKIANO ATEMBELEA MELI YA RV JUMUIYA JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FrwScooAvQ8/VD7aOuvW2jI/AAAAAAAGqyM/ITYk5304gGI/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RTYfRfMDcC8/VD7aO21bZTI/AAAAAAAGqyQ/NpWhm2lzfco/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uNTtY_p5Q4k/VD7aP3igLwI/AAAAAAAGqyo/L0CHuCKtfzw/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Liv8vTorV_I/Xt9_7eiuuLI/AAAAAAALtKs/I9oQiAkCOlEmFGZGgGU-InUo6c7O8oHGwCLcBGAsYHQ/s72-c/6.jpg)
Dkt. Abbasi: Meli, Chelezo vya Bilioni 153 Vinakamilika Mwanza
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali leo ametembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa meli mpya, chelezo na ukarabati wa meli mbili za New Victoria na MV Mwanza (zamani Butiama) na kuwahakikishia watanzania miradi yote hii itakamilika kwa wakati.
Akiwa kwenye maeneo ya ujenzi jijini Mwanza leo (tarehe 8.06.2020) Dkt. Abbasi amesema ujenzi wa meli hizo na Chelezo ni uthibitisho kuwa Serikali imetimiza wajibu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Liv8vTorV_I/Xt9_7eiuuLI/AAAAAAALtKs/I9oQiAkCOlEmFGZGgGU-InUo6c7O8oHGwCLcBGAsYHQ/s72-c/6.jpg)
DK ABBAS: MELI, CHELEZO VYA BIL. 153 VINAKAMILIKA HIVI KARIBUNI MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Liv8vTorV_I/Xt9_7eiuuLI/AAAAAAALtKs/I9oQiAkCOlEmFGZGgGU-InUo6c7O8oHGwCLcBGAsYHQ/s400/6.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali leo ametembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa meli mpya, chelezo na ukarabati wa meli mbili za New Victoria na MV Mwanza (zamani Butiama) na kuwahakikishia watanzania miradi yote hii itakamilika kwa wakati.
Akiwa kwenye maeneo ya ujenzi jijini Mwanza leo (tarehe 8.06.2020) Dkt. Abbasi amesema ujenzi wa meli hizo na Chelezo ni uthibitisho kuwa Serikali imetimiza wajibu...
11 years ago
CloudsFM29 May
AY NA FRAVIANA MATATA WALIVYOUNGANA NA WATANZANIA KATIKA IBADA YA MIAKA KUMI NA NANE YA KUZAMA KWA MELI YA MV BUKOBA JIJINI MWANZA.
Miss Universe Tanzania 2007 na mwanamitindo wa kimataifa Flaviana Matata pamoja na msanii wa bongo fleva,Ambwene Yesaya'AY' siku ya jana walijumuika na wananchi wengine mkoani Mwanza katika Ibada maalum ya kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya kuwaombea marehemu waliopoteza maisha yao baada ya kuzama kwa meli ya Mv Bukoba miaka 18 iliyopita.
Flaviana Matata, ambaye anafanyia shughuli zake nchini Uingereza na Marekani ni mmoja wa watu waliopoteza ndugu zao kwenye ajali hiyo. Yeye alimpoteza mama...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-n0B3Kkwog2M/U7ow3oe1cMI/AAAAAAAFvcQ/Tip7hgrQ6Ow/s72-c/IMG_2380.jpg)
FACEBOOK KUZINDULIWA JIJINI DAR AGOSTI 3,WAKAZI WA MWANZA WAJIANDAE AGOSTI 10 UWANJA WA CCM KIRUMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-n0B3Kkwog2M/U7ow3oe1cMI/AAAAAAAFvcQ/Tip7hgrQ6Ow/s1600/IMG_2380.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Karimjee leo wakati alipokua akitangaza Uzinduzi mkubwa wa Albam ya Shikilia Pindo maarufu kwa jina la FACEBOOK ya mwimbaji nguli wa muziki wa injili Rose Muhando,
Msama alisema kuwa albamu hiyo itazinduliwa Agosti 3 mwaka huu katika ukumbi wa Diamond-Jubilee jijini Dar es Salaam na baada ya hapo itatambulishwa katika mikoa kadhaa nchini.
Msama amesema kuwa baada ya albamu...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5LCmscRm0iM/U6fLwB_oopI/AAAAAAAAiOk/9HHcPNLfYp4/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MEMBE AZINDUA FILAMU MPYA YA 'I LOVE MWANZA' JIJINI MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-5LCmscRm0iM/U6fLwB_oopI/AAAAAAAAiOk/9HHcPNLfYp4/s1600/1.jpg)