Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meli ya matibabu kuzinduliwa Mwanza


NA MWANDISHI  WETU, MWANZA
MRADI wa meli ya huduma za matibabu, ulio chini ya  Dayosisi ya Africa Inland Church Tanzania (AICT), mkoani hapa, unatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni.
 Askofu Mkuu Dayosisi ya Geita, Musa Magwesela, alisema meli hiyo inatarajia kutoa huduma za matibabu katika visiwa mbalimbali vilivyopo ndani ya ziwa Victoria na mikoa ya Geita, Kagera na Mwanza.
Alisema Ziwa Victoria lina takribani visiwa 90 huku, vikikisiwa kuwa na wakazi wapatao 450,000.
 “Kupitia meli hiyo,...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Usafiri wa meli waendelea kutesa abiria Mwanza, Kagera

 Usafiri wa meli kati ya Mwanza na Kagera, upo shakani kutokana na kutokamilika mapema matengenezo ya Meli ya MV Serengeti, inayochukua nafasi ya MV Victoria iliyosimamisha safari kutokana na ubovu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyakazi wanusurika ajali ya meli Ziwa Victoria Mwanza

Wafanyakazi 10 wa meli ya F. Matala mali ya Kampuni ya Mkombozi Fishing Marine and Transport, wamenusurika kufa baada ya meli hiyo kuzama Ziwa Victoria usiku wa kuamkia jana.

 

5 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU CHAMURIHO ARIDHISHWA NA UJENZI WA CHELEZO NA MELI MPYA MWANZA

 Katibu Mkuu wa Sekta ya Uchukuzi, Dkt. Leonard Chamuriho, akitoa maelekezo kwa Uongozi wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) wakati alipotembelea mradi wa ujenzi wa meli mpya, chelezo na Ukarabati wa Meli ya MV Victoria jijini Mwanza, Mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni hiyo, Eric Hamissi. Katibu Mkuu wa Sekta ya Uchukuzi, Dkt. Leonard Chamuriho, akitoa maelekezo kwa Uongozi wa Kampuni ya KTMI ya Korea Kusini inayofanya ukarabati wa meli Meli ya MV Victoria jijini...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WIZARA YA USHIRIKIANO ATEMBELEA MELI YA RV JUMUIYA JIJINI MWANZA

  Naibu Waziri Wizara  ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dr. Juma Abdulla Saadala  mwenye kofia akioneshwa namna Meli ya RV Jumuiya inavyofanya kazi ikiwa katika mwendo ndani Ziwa Victoria na nahodha wa meli hiyo  Captain Juma Nkwama jijini Mwanza.  Naibu Waziri wa Wizara  ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Juma Abdulla Saadala akitiasaini kitabu cha maudhurio ndani ya Meli ya RV Jumuiya.Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Juma Saadala akifafanua ajambo ndani ya...

 

5 years ago

Michuzi

Dkt. Abbasi: Meli, Chelezo vya Bilioni 153 Vinakamilika Mwanza

Na Mwandishi Wetu, Mwanza

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali leo ametembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa meli mpya, chelezo na ukarabati wa meli mbili za New Victoria na MV Mwanza (zamani Butiama) na kuwahakikishia watanzania miradi yote hii itakamilika kwa wakati.

Akiwa kwenye maeneo ya ujenzi jijini Mwanza leo (tarehe 8.06.2020) Dkt. Abbasi amesema ujenzi wa meli hizo na Chelezo ni uthibitisho kuwa Serikali imetimiza wajibu...

 

5 years ago

CCM Blog

DK ABBAS: MELI, CHELEZO VYA BIL. 153 VINAKAMILIKA HIVI KARIBUNI MWANZA

Na Mwandishi Wetu, Mwanza
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali leo ametembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa meli mpya, chelezo na ukarabati wa meli mbili za New Victoria na MV Mwanza (zamani Butiama) na kuwahakikishia watanzania miradi yote hii itakamilika kwa wakati.
Akiwa kwenye maeneo ya ujenzi jijini Mwanza leo (tarehe 8.06.2020) Dkt. Abbasi amesema ujenzi wa meli hizo na Chelezo ni uthibitisho kuwa Serikali imetimiza wajibu...

 

11 years ago

CloudsFM

AY NA FRAVIANA MATATA WALIVYOUNGANA NA WATANZANIA KATIKA IBADA YA MIAKA KUMI NA NANE YA KUZAMA KWA MELI YA MV BUKOBA JIJINI MWANZA.

Miss Universe Tanzania 2007 na mwanamitindo wa kimataifa Flaviana Matata pamoja na msanii wa bongo fleva,Ambwene Yesaya'AY' siku ya jana walijumuika na wananchi wengine mkoani Mwanza katika Ibada maalum ya kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya kuwaombea marehemu waliopoteza maisha yao baada ya kuzama kwa meli ya Mv Bukoba miaka 18 iliyopita.Flaviana Matata, ambaye anafanyia shughuli zake nchini Uingereza na Marekani ni mmoja wa watu waliopoteza ndugu zao kwenye ajali hiyo. Yeye alimpoteza mama...

 

11 years ago

Michuzi

FACEBOOK KUZINDULIWA JIJINI DAR AGOSTI 3,WAKAZI WA MWANZA WAJIANDAE AGOSTI 10 UWANJA WA CCM KIRUMBA


Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Karimjee leo wakati alipokua akitangaza Uzinduzi mkubwa wa Albam ya Shikilia Pindo maarufu kwa jina la FACEBOOK ya mwimbaji nguli wa muziki wa injili Rose Muhando, 
Msama alisema kuwa albamu hiyo itazinduliwa Agosti 3 mwaka huu katika ukumbi wa Diamond-Jubilee jijini Dar es Salaam na baada ya hapo itatambulishwa katika mikoa kadhaa nchini.
 Msama amesema kuwa baada ya albamu...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MEMBE AZINDUA FILAMU MPYA YA 'I LOVE MWANZA' JIJINI MWANZA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (wa pili kushoto), akisadiwa na Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba, kukata utepe kuzindua filamu mpya iitwayo ‘I Love Mwanza’ iliyoandaliwa na Lake Zone Youth Empowerment Foundation kwa kushirikiana na Tropical Media Tanzania Ltd, katika hafla iliyofanyika jijini Mwanza Jumamosi usiku. Wanaoshuhudia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (wa watatu kushoto), na Mwenyekiti wa Chama cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani