Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usafiri wa meli waendelea kutesa abiria Mwanza, Kagera

 Usafiri wa meli kati ya Mwanza na Kagera, upo shakani kutokana na kutokamilika mapema matengenezo ya Meli ya MV Serengeti, inayochukua nafasi ya MV Victoria iliyosimamisha safari kutokana na ubovu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAKAZI WA MWANZA NA KAGERA WAMEENDELEA KUPATA SHIDA YA USAFIRI.

Wakazi wa Mwanza na Kagera wameendelea kupata shida ya usafiri kutokana na fedha zilizotengwa na serikali kurekebisha meli ya Mv.Victoria kutumika kulipia mishahara ya wafanyakazi.

 

11 years ago

Michuzi

WAKENYA WAENDELEA KUTESA KILIMANJARO MARATHON

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.   MWANARIADHA wa Kitanzania, Jackline Sakilu jana aliibuka shujaa katika mashindano ya mbio ndefu za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2014, baada ya kuibuka mshindi katika mashindano ya kilomita 21, (nusu marathon), kwa upande wa wanawake.   Katika mbio hizo zilizofanyika mjini Moshi,Sakilu ambaye ni afisa wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) amefanikiwa kuvunja rekodi iliyowekwa na mshindi wa kwanza wa mwaka jana ,Sara Ramadhan ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Meli ya Korea Kusini: Abiria waelezea

Watu walionusurika katika ajali ya meli ya Korea Kusini wameelezea kusikia mshindo mzito wakati ikizama

 

11 years ago

Habarileo

Wakazi wa Kagera kununuliwa meli

SERIKALI inatarajia kununua meli mpya kwa ajili ya wananchi wa mkoa wa Kagera, itakayotoa huduma katika Ziwa Victoria. Pia, serikali imetangaza kuwa itanunua meli zingine tatu kwa ajili ya kutoa huduma katika maziwa matatu ya Victoria, Tanganyika na Nyasa, Bunge lilielezwa jana.

 

11 years ago

GPL

ABIRIA WANUSURIKA KIFO WAKISUBIRI USAFIRI

Gari aina ya Toyota Raum lenye namba za usajili T483 CMU likiwa eneo la kituo cha mabasi.…

 

10 years ago

Mwananchi

Usafiri wawatesa abiria wa Moshi, Arusha

>Uhaba wa mabasi yanayokwenda  mikoa ya Kilimanjaro na Arusha umeendelea kuwatesa abiria wa mikoa hiyo hali iliyowalizimu  wagombee mabasi ya usafiri wa  jijini hapa maarufu  kama ‘daladala’ ambayo yameruhusiwa kufanya safari katika mikoa hiyo.

 

9 years ago

Michuzi

MADEREVA WATAKAOZIDISHA ABIRIA KWENYE VYOMBO VYA USAFIRI KUKIONA

 Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, kuhusiana na Jeshi la Polisdi Nnchi zima kupambana na watu watakaovunja sheria ya usafirishaji wa watu kutoka sehemu moja kwenda nyingine.Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba leo jijini Dar es Salaam.Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiJESHI la Polisi Nchini limewatahadharisha madereva  watakaozidisha...

 

10 years ago

Vijimambo

USAFIRI UNAOTUMIKA KUSAFIRISHA ABIRIA MKOANI GEITA ENEO LA BUSERESERE NI HATARISHI

 Abiria wakiwa wamekusanywa kwenye buti eneo la kubebea mizigo huku wakiwa sambaba na watoto wadogo. Mizigo na Watoto wakiwa wamekusanywa pamoja na mizigo nyuma ya Gari hiyoWakazi wa Mkoa wa Geita maeneo ya buseresere na katoro wapo katika hatari kubwa ya maisha yao kutokana na usafiri wanaoutumia kutoka eneo moja kwenda jingine.Mwakilishi wa kikundi cha usalama barabarani Fungo Agustus ametutumia Tukio hili ambalo ni hatari kwa abiria mkoani Geita.Gari ndogo aina ya Pro Box zimeingia kwa...

 

5 years ago

CCM Blog

BAADA YA MIAKA MITATU SASA WANANCHI KAGERA KUIONA MELI, KUTIA NANGA JUNI 28, 2020

Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akizungumza na waendesha bodaboda wa Manispaa ya Bukoba akiwaeleza mambo mbalimbali ikiwemo kuchangamkia fursa meli itakapowasili mjini bukoba na kuanza safari zake za Bukoba –Mwanza.

Na Allawi Kaboyo Bukoba.Wananchi mkoani Kagera na maeneo jirani watakiwa kujiandaa na fursa mbalimbali zitakazojitokeza baada ya meli ya NEW MV VICTORIA HAPA KAZI TU kuanza safari zake za Bukoba-Mwanaza ikiwa ukarabati wake umekamilika kwa asilimia 98%...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani