Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKAZI WA MWANZA NA KAGERA WAMEENDELEA KUPATA SHIDA YA USAFIRI.

Wakazi wa Mwanza na Kagera wameendelea kupata shida ya usafiri kutokana na fedha zilizotengwa na serikali kurekebisha meli ya Mv.Victoria kutumika kulipia mishahara ya wafanyakazi.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Usafiri wa meli waendelea kutesa abiria Mwanza, Kagera

 Usafiri wa meli kati ya Mwanza na Kagera, upo shakani kutokana na kutokamilika mapema matengenezo ya Meli ya MV Serengeti, inayochukua nafasi ya MV Victoria iliyosimamisha safari kutokana na ubovu.

 

10 years ago

Michuzi

DKT.MAGUFULI AZIDI KUPATA WADHAMINI MIKOA YA KAGERA, MARA NA MWANZA

Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhiwa fomu yenye orodha ya Wadhamini waliojitokeza kumdhamini katika mbio za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia chama hicho kutoka kwa Katibu wa CCM Wilayani Musoma.Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhiwa fomu yenye orodha ya Wadhamini waliojitokeza kumdhamini katika mbio za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia chama hicho kutoka...

 

10 years ago

Vijimambo

DK JOHN MAGUFULI AZIDI KUPATA WADHAMINI KUWANIA URAIS MIKOA YA KAGERA,MARA NA MWANZA

Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhiwa fomu yenye orodha ya Wadhamini waliojitokeza kumdhamini katika mbio za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia chama hicho kutoka kwa Katibu wa CCM Wilayani Musoma.Zoezi la udhamini katika wilaya ya Magu likiendelea huku Waziri wa Ujenzi Dkt. Magufuli akifatilia kwa makini.Zoezi la udhamini katika wilaya ya Musoma mkoani Mara likiendelea.Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato...

 

10 years ago

Vijimambo

WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.

 Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia Wananchi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kwa wingi jioni ya leo.Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wanachama wa chama hicho pamoja na Wananchi wa jiji la Mwanza na vitongoji vyake,nje ya ofisi za CCM mkoa,ambao walijotokeza kumlaki kwa shange na furaha kubwa.Dkt Magufuli amewasili leo jijini Mwanza akitokea jijini Dar kwa ajili ya kujitambulisha kwa wanachama wa chama hicho pamoja na...

 

10 years ago

Michuzi

MAELFU WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.

 Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia Wananchi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kwa wingi jioni ya leo.Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wanachama wa chama hicho pamoja na Wananchi wa jiji la Mwanza na vitongoji vyake,nje ya ofisi za CCM mkoa,ambao walijotokeza kumlaki kwa shange na furaha kubwa.Dkt Magufuli amewasili leo jijini Mwanza akitokea jijini Dar kwa ajili ya kujitambulisha kwa wanachama wa chama hicho pamoja na...

 

10 years ago

Vijimambo

JEMBEKA PARTY MWANZA NA SAUTI SOL NI SHIDA

Sauti Sol toka nchini Kenya mwishoni mwa wiki (21/02/2015) wamepiga show ya kufufuka mtu ndani ya kiota cha burudani chanye hadhi ya kitalii Jembe Beach ndani ya party lililopewa jina la JEMBEKA, likiandaliwa na Kituo kipya cha redio jijini Mwanza Jembe FM 93.7.Mashabiki walitoa ushirikiano wa kila htua zilizokuwa zikiendelea stejini.Hapo vijEee….!!Kenyan Afro Pop (2014 MTV EMA Best Worlwide Act Nominees) walifanya kazi ya ukweli…Stage kama screen vile unawochi kitu cha LIVE….Kutoka kushoto...

 

11 years ago

Habarileo

Wakazi wa Kagera kununuliwa meli

SERIKALI inatarajia kununua meli mpya kwa ajili ya wananchi wa mkoa wa Kagera, itakayotoa huduma katika Ziwa Victoria. Pia, serikali imetangaza kuwa itanunua meli zingine tatu kwa ajili ya kutoa huduma katika maziwa matatu ya Victoria, Tanganyika na Nyasa, Bunge lilielezwa jana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Dar kupata ahueni ya usafiri 

KAMPUNI ya usafirishaji ya City Ridez inatarajia kuanza kutoa huduma ya usafiri kwa wakazi wa Dar es Salaam kwa kutumia magari maalumu wakati wa asubuhi na jioni ili kupunguza adha...

 

10 years ago

Habarileo

Kinana ziarani Kagera, Mwanza

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana leo anatarajiwa kuanza ziara ya mwezi mmoja katika mikoa ya Kagera, Mwanza na Geita inayolenga kukagua utekelezaji wa ilani ya chama pamoja na kuhimiza uhai wa chama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani