Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi Dar kupata ahueni ya usafiri 

KAMPUNI ya usafirishaji ya City Ridez inatarajia kuanza kutoa huduma ya usafiri kwa wakazi wa Dar es Salaam kwa kutumia magari maalumu wakati wa asubuhi na jioni ili kupunguza adha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wakazi wa Dar es salaam kupata matibabu yatakayotolewa na wataalamu kutoka Hospitali za Apollo

apollo-03

apollo-04

Watanzania wanashauriwa kuitumia fursa hii ya kipekee ya ziara ya kitabibu itakayofanywa na madaktari kutoka Hospitali za Apollo; Hyderabad.  Kwa miaka mingi, watanzania wameshindwa kupata matibabu sahihi nchini kitendo ambacho kimewasababishia kusafiri nje ya nchi kupata matibabu sahihi ya mfumo wa fahamu, uti wa mgongo, figo pamoja na magonjwa yanayohusiana na mfumo wa mkojo.  Nia na madhumuni ya ziara ya madaktari na washauri hawa kutoka Hospitali za Apollo nchini Tanzania ni...

 

10 years ago

Michuzi

Wakazi wa Dar es salaam Kupata matibabu yatakayotolewa na wataalamu kutoka Hospitali za Apollo, India

 Watanzania wanashauriwa kuitumia fursa hii ya kipekee ya ziara ya kitabibu itakayofanywa na madaktari kutoka Hospitali za Apollo; Hyderabad.  Kwa miaka mingi, watanzania wameshindwa kupata matibabu sahihi nchini kitendo ambacho kimewasababishia kusafiri nje ya nchi kupata matibabu sahihi ya mfumo wa fahamu, uti wa mgongo, figo pamoja na magonjwa yanayohusiana na mfumo wa mkojo. 
 Nia na madhumuni ya ziara ya madaktari na washauri hawa kutoka Hospitali za Apollo nchini Tanzania ni kuhakikisha...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Kinondoni sasa kupata haki zao.

Serikali imeunda Kamati ya Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni ili kusikiliza na kutatua kero na changamoto zinazowakabili wananchi wanapodai haki zao katika mahakama za kikatiba.

Kamati hiyo itakayoshughulikia nidhamu ya mahakama imeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mahakama nambari 4 ya mwaka 2011, sehemu ya 51 mabano moja.

Kamati iliyoundwa itashughulikia malalamiko ya wananchi dhidi ya mahakama ya mwanzo, na inaweza kumsimamisha kazi hakimu kupisha uchunguzi wa malalamiko dhidi...

 

9 years ago

Michuzi

WAKAZI WA MWANZA NA KAGERA WAMEENDELEA KUPATA SHIDA YA USAFIRI.

Wakazi wa Mwanza na Kagera wameendelea kupata shida ya usafiri kutokana na fedha zilizotengwa na serikali kurekebisha meli ya Mv.Victoria kutumika kulipia mishahara ya wafanyakazi.

 

11 years ago

Michuzi

WAKAZI WA MABOGINI MKOANI KILIMANJARO WAANZA KUPATA ADHA YA MVUA ZINAZONYESHA SASA

Sehemu ya makazi ya watu yakiwa yameingiliwa na maji.

Wazazi walilazimika kufanya kazi ya kuwavusha wanafunzi.

Maji yakiingia katika maeneo ya makazi ya watu katika eneo la Mabogini.

Wazazi walilazimika kuacha shughuli zao na kwenda kuwachukua watoto wao wasije chukuliwa na maji.

Wanafunzi wakijaribu kuvuka maji wakati wakitoka shuleni.

Mama akimsadia mtoto wake kuvuka maji katika eneo la Mabogini .


Mifugo ikipita katika maji yaliyokuwa yakitokea katika mashamba ya TPC.

 

10 years ago

StarTV

CUF yakabidhi kamati za uchaguzi vitendea kazi, usafiri .

Na Abdalla Pandu,

Zanzibar.

21/02/2015

 

 

MAANDALIZI UCHAGUZI MKUU 2015: 

 

 

Hatua ya Chama cha Wananchi CUF kukabidhi vitendea kazi  na usafiri  katika kamati za uchaguzi za wilaya, kanda na majimbo ina lengo la kurahisisha uratibu na usafiri katika utekelezaji wa majukumu yao kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2015.

 

Wanachama wa CUF wamejitokeza katika viwanja vya Mnazi Mmoja Zanzibar kushuhudia makabidhiano ya vifaa hivyo kwa kamati mbalimbali za wilaya na majimbo ya...

 

10 years ago

Michuzi

Mrembo Miss Tanzania aongoza wakazi wa dar katika zoezi la uchangiaji damu jijini dar leo

Mshindi wa tatu wa Miss Tanzania 2014,Doris Mollel akishiriki zoezi la uchangiaji damu katika ikiwa ni sehemu ya kusherehekea Siku ya wanawake Duniani,iliyofanyika Buguruni Chama jijini Dar es Salaam leo. Kushoto Ofisa Muuguzi kutoka Benki ya Damu Salama,Selina Joseph. Zoezi hilo la uchangiaji damu liliandaliwa na Mrembo huyo. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakishiliki zoezi la uchangiaji damu katika kusherehekea Siku ya wanawake Duniani,iliyofanyika Buguruni Chama jijini Dar es...

 

5 years ago

Michuzi

Absa Tanzania yawapa wateja ahueni

· Yatoa msamaha wa kulipa madeni kwa hii miezi mitatu

NA MWANDISHI WETU, Dar es Salaam
Benki ya Absa Tanzania imetoa msamaha wa malipo ya madeni kwa wateja wake katika kipindi cha miezi mitatu.
Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Mkurugenzi Mtendaji wa Absa Tanzania, Abdi Mohamed amesema msamaha huo ni kwa wateja wa rejareja, wafanyabiashara na makampuni na uwekezaji.
“Tumechukua hatua hii kwa kutambua athari za kifedha na kiuchumi zilizoikumba Tanzania na dunia nzima kutokana na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Teknolojia yaleta ahueni kwa walemavu

Vifaa vya kusaidia watu wasioona vinarahisisha shughuli za maendeleo kwa walengwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani