Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Teknolojia yaleta ahueni kwa walemavu

Vifaa vya kusaidia watu wasioona vinarahisisha shughuli za maendeleo kwa walengwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kampuni yaleta teknolojia mpya matumizi ya gesi

KAMPUNI ya nishati inayomilikiwa na Watanzania, GH Energy Resources Limited, imeleta teknolojia mpya ya kupunguza matumizi ya gesi majumbani na kwenye biashara kwa lengo la kupunguza kasi ya uharibifu wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wiki ya Maji ilete ahueni kwa wananchi

Jumatatu ni mwanzo wa Wiki ya Maji, ambayo kwa mwaka huu ujumbe wake ni ‘Maji na Maendeleo Endelevu’. Ni wiki ya kusikia mafanikio na changamoto za sekta ya maji nchini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Mabenki Tanzania yaelekezwa kutoa ahueni kwa wakopaji wao

Benki Kuu ya Tanzania imetoa maelekezo kwa mabenki na makampuni ya simu juu ya namna ya kutoa unafuu wa masuala ya kifedha kwa wateja wao

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA SERA YA FEDHA BOT YASHUSHA AHUENI KWA WATANZANIA KATIKA KUKABILIANA NA CORONA

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT),Prof. Florens Luoga


 

9 years ago

StarTV

Ushirikiano wa Tanzania na EU kwa miaka 40 yaleta mafanikio

Amani na ukomavu wa kidemokrasia tangu Tanzania ilipoanza kushiriki katika masuala mbalimbali ya maendeleo mwaka 1975 umeifanya nchi hii kuwa mfano wa kuigwa na mataifa mengine.

Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania anayemaliza muda wake Filberto Sebregondi amesema katika kutimiza miaka 40 ya ushirikiano uliopo wanajivunia mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya afya, elimu, miundombinu na maendeleo ya jamii.

Akizungumza jijini Dar es Salaam katika kusheherekea mwaka wa Ulaya kwa...

 

10 years ago

GPL

WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU

MOROGORO,
Kampuni ya Kibaran Resources inayojihusisha na utafiti wa uchimbaji wa madini ya Uno kwenye Kijiji cha Epanko, imetoa msaada wa baiskeli 30 za walemavu kwa watoto wenye ulemavu katika kata ya Mahenge Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro. Baiskeli hizo zimeundwa maalumu kwa watoto wanaoishi vijijini. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhi baiskeli hizo, Grant Pierce, ambaye ni mkurugenzi wa Kampuni ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NHC yaleta ajira kwa vijana kupitia matofali

MALALAMIKO ya ukosefu wa ajira yamekuwa yakiongezeka siku hadi siku huku lawama hizo zikielekezwa serikalini. Hata hivyo serikali kupitia baadhi ya taasisi zake imekuwa ikitafuta kila mbinu kutatua tatizo hilo...

 

10 years ago

Michuzi

Bayport Tanzania yaleta kicheko kwa watumishi wa umma

 Meneja Biashara wa Bayport Tanzania, Thabit Mndeme kushoto; na Meneja Masoko na Mawasiliano (katikati), Ngula Cheyo waki zinduwa Mkopo wa Bidhaa, Bayport Head office Daressalaam.=====  =====  ===== TAASISI ya kifedha ya Bayport Tanzania, leo imezindua huduma mpya ijulikanayo kama Mikopo ya Bidhaa ikiwa na lengo la kurahisha utendaji kazi wa watumishi wa umma na wafanyakazi wote wa kampuni zilizoidhinishwa na Bayport.
Uzinduzi huo uliofanyika jana, umeonyesha matumaini mapya ya Watanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani