MADEREVA WATAKAOZIDISHA ABIRIA KWENYE VYOMBO VYA USAFIRI KUKIONA
![](http://3.bp.blogspot.com/-EXlYuaK1RfM/VnqXWRt01zI/AAAAAAAIONU/0dKjOia7TnI/s72-c/IMG_9217.jpg)
Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, kuhusiana na Jeshi la Polisdi Nnchi zima kupambana na watu watakaovunja sheria ya usafirishaji wa watu kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba leo jijini Dar es Salaam.Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiJESHI la Polisi Nchini limewatahadharisha madereva watakaozidisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL10 years ago
Habarileo18 Feb
Sumatra yazuia vyombo vya usafiri wa majini
MAMLAKA ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imevizuia kutoa huduma kwa muda usiojulikana vyombo vyote vya usafirishaji wa majini vya mkoani hapa hadi hapo vitakapokaguliwa.
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/QhKR1KcIPDw/default.jpg)
MUONEKANO WA BARABARA ZA JUU UBUNGO DAR, VYOMBO VYA USAFIRI VYAANZA KUPITA
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/77-660x400.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/11-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/22-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/33-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/44-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/66-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/77-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/78-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/99-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/000-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/1222-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/20-950x534.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Jgwl1GPfK74/VSefL0Qqi4I/AAAAAAAHQDo/sJ3rJnwy3_8/s72-c/MMGL3176.jpg)
MGOMO WA MADEREVA WA VYOMBO VYA USAFIRISHAJI WATIKISA NCHI LEO
Hali ya mgomo huo, umepelekea adha kubwa kwa abiria wa vyombo hivyo, hasa wale waliokuwa wakielekea mikoani, kwani katika Stendi kuu ya Mabasi ya Ubungo jijini Dar es salaam, hakuna basi hata moja lililoondoka huku daladala nazo zikiwa hazionekani kabisa vituoni.
Uongozi...
10 years ago
Vijimambo10 Apr
MGOMO WA MADEREVA WA VYOMBO MBALIMBALI VYA MOTO WAANZA LEO
![](http://api.ning.com/files/sT-mI3qB-hdyyI0XKElUdrXKfvddmzYBNDnFcKQ8*EIqKMTPlCZMmFmEY*zjJTLnC3HMzGL8Wu*uEZkSW1pOXZo2cSCfBYBv/11072910_1193242617356821_1829430955630104212_n.jpg)
Muonekano wa abiria wakiwa stendi ya Ubungo jijini Dar es Salaam (Picha na Maktaba).
MADEREVA wa vyombo mbalimbali vya moto, nchi nzima leo asubuhi wamegoma kusafirisha abiria ili kuishinikiza serikali kuondoa kero mbalimbali zinazowakabili ikiwemo ukosefu wa ajira za uhakika pamoja na agizo la kutaka kwenda kusoma.Awali kabla ya mgomo wa leo, Katibu wa Muungano wa vyama vya madereva Bw. Rashid Saleh, alisema baadhi ya kero zitakazopelekea mgomo wa leo ni pamoja na suala la kurudia kusoma...
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wakutana na Wahariri wa vyombo vya habari Jijini Dar
Afisa habari wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Bestina Magutu( kulia)akiwa tambulisha Wakurugenzi wa Mamlaka hiyo kwa wahariri wa vyombo vya Habari nchini katika mkutano uliofanyika katika hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam.ikiwa ni mahususi kwa wahariri vyombo mbalimbali nchini.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Fadhili Manongi akifafanua jambo kwa wahariri wa vyombo vya habari nchini (hawapo pichani) juu ya Kanuni na taratibu za Mamlaka...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Fp2St3AGOlQ/VFoLoqTe7rI/AAAAAAAGvoM/hl6lA880Mf4/s72-c/unnamedM1.jpg)
Madereva watakiwa kutotumia simu wakati wanaendesha vyombo vya moto
Kamanda Mpiga, alitoa wito huo leo katika hafla ya kupokea pete maalum kutoka kampuni ya Vodacom ikiwa ni mwendelezo wa kampeni yake inayojulikana kama “Wait to Send” inayohamasisha madereva wa vyombo vya magari kuacha matumizi ya simu wanapokwa...
10 years ago
MichuziMIILI YOTE 23 YA AJALI YA BASI LA ANOTHER G NA LORI MUFINDI IRINGA YATAMBULIWA , DC MBONI AWAPA USHAURI TBS KUKAGUA UBORA WA VYOMBO VYA USAFIRI
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Bi Mboni Mhita (kushoto) akimfariji mmoja kati ya majeruhi wa ajali ya basi la Another G na lori iliyoua 23 na kujeruhi 34 jana ,wengine pichani ni wajumbe wa kamati ya ulinzi na...