MGOMO WA MADEREVA WA VYOMBO MBALIMBALI VYA MOTO WAANZA LEO
Muonekano wa abiria wakiwa stendi ya Ubungo jijini Dar es Salaam (Picha na Maktaba).
MADEREVA wa vyombo mbalimbali vya moto, nchi nzima leo asubuhi wamegoma kusafirisha abiria ili kuishinikiza serikali kuondoa kero mbalimbali zinazowakabili ikiwemo ukosefu wa ajira za uhakika pamoja na agizo la kutaka kwenda kusoma.Awali kabla ya mgomo wa leo, Katibu wa Muungano wa vyama vya madereva Bw. Rashid Saleh, alisema baadhi ya kero zitakazopelekea mgomo wa leo ni pamoja na suala la kurudia kusoma...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Jgwl1GPfK74/VSefL0Qqi4I/AAAAAAAHQDo/sJ3rJnwy3_8/s72-c/MMGL3176.jpg)
MGOMO WA MADEREVA WA VYOMBO VYA USAFIRISHAJI WATIKISA NCHI LEO
Hali ya mgomo huo, umepelekea adha kubwa kwa abiria wa vyombo hivyo, hasa wale waliokuwa wakielekea mikoani, kwani katika Stendi kuu ya Mabasi ya Ubungo jijini Dar es salaam, hakuna basi hata moja lililoondoka huku daladala nazo zikiwa hazionekani kabisa vituoni.
Uongozi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Fp2St3AGOlQ/VFoLoqTe7rI/AAAAAAAGvoM/hl6lA880Mf4/s72-c/unnamedM1.jpg)
Madereva watakiwa kutotumia simu wakati wanaendesha vyombo vya moto
Kamanda Mpiga, alitoa wito huo leo katika hafla ya kupokea pete maalum kutoka kampuni ya Vodacom ikiwa ni mwendelezo wa kampeni yake inayojulikana kama “Wait to Send” inayohamasisha madereva wa vyombo vya magari kuacha matumizi ya simu wanapokwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dtMxrw0J-oQ/VUhjRb3ediI/AAAAAAAHVY8/3iNYU4Odd-c/s72-c/20150504232850.jpg)
Madereva waendelea na Mgomo wao leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-dtMxrw0J-oQ/VUhjRb3ediI/AAAAAAAHVY8/3iNYU4Odd-c/s640/20150504232850.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MMhCX9aDxMQ/VUhkOPi-sdI/AAAAAAAHVZM/kwEuqT-Desk/s640/20150504232952.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1mmyxEGkzLk/VUhk7WgOBnI/AAAAAAAHVZY/tgy8BLRxqqg/s640/20150504233505.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sOPIOGq3EYY/VUhr75g4MxI/AAAAAAAHVZw/lJaPLo6C9go/s640/20150504235023.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5HpdB4YfG7I/VAFMswYSqKI/AAAAAAAC8mI/JSvVtq8jES4/s72-c/missTZ2014.png)
MISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI
![](http://4.bp.blogspot.com/-5HpdB4YfG7I/VAFMswYSqKI/AAAAAAAC8mI/JSvVtq8jES4/s1600/missTZ2014.png)
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
GPLMISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI
10 years ago
VijimamboMADEREVA WA DALADALA JIJINI DAR WAFANYA MGOMO LEO
10 years ago
Mtanzania12 Sep
Ukaguzi leseni na vyeti vya madereva waanza
![Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, DCP Mohammed Mpinga](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Mohamed-Mpinga.jpg)
Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, DCP Mohammed Mpinga
ADAM MKWEPU NA CHRISANTA CHRISTIAN, DAR ES SALAAM
JESHI la Polisi jana limeanza kufanya ukaguzi wa leseni na vyeti vya madereva kwenye Kituo Kikuu cha Mabasi ya Mikoani na nchi jirani Ubungo (UBT), jijini Dar es Salaam kufuatia ajali za barabarani nchini kuongezeka.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, alisema kuwa ukaguzi huo una lengo la kuchunguza madereva ambao...
10 years ago
GPLHALI TETE, MGOMO WA MADEREVA WAINGIA SIKU YA PILI LEO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ebeIg2jsU5M/UynW7ZXUM9I/AAAAAAAFVEI/4v_xC6_dD3o/s72-c/unnamed+(26).jpg)
ATHARI YA MGOMO WA MUDA WA MADEREVA WA DALADALA MANISPAA YA MOROGORO LEO