Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI


 Kutoka kushoto ni Maria Rutayuga kuotoka Maryland, Jesca Kalemera kutoka New Jersey, Mercy Sukaya kutoka Michigan na Grace Mlingi kutaoka Maryland. Washiriki wakimsikiliza mmoja ya waratibu alipokua akiwaelekeza jambo kwenye hotel waliyofikia ya Double Tree iliyopo Dwntown Silver Spring.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI‏

 Miss Tanzania USA Pageant kesho itafikia ukingoni itakapofanyika Downtown, Silver Spring Maryland nchini Marekani katika picha Jesca Kalemera (aliyesimama) akijinoa mwishomwisho mbele ya washiriki wenzake huku Pendo Rancy (kushoto) mmoja ya waratibu wa Miss Tanzania USA Pageant akimsikiliza wengine katika picha ni washiriki wa Miss Tanzania USA Pageant 2014 Maria Rutayuga (wapili toka kushoto), Mercy Sukaya (watatu toka...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Dewji Blog

Mazoezi Redd’s Miss Temeke yapamba moto

 Warembo wanaotarajia kushiriki mashindano ya Redd’s Miss Temeke, wakipozi wakati wa mazoezi  katika Klabu ya TCC, Chang’ombe, Dar es Salaam. Mashindano yatafanyika kwenye klabu hiyo, Agosti 22,mwaka huu. PICHA ZOTE NA MDAU KHAMIS MUSSA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG

IMG-20140815-WA0002

 

 

10 years ago

Michuzi

Diamond na Mzee Yusuf kuwasha moto Dar Live Krismas katika tamasha la wafalme chini ya Vodacom Tanzania, Moto mwingine wa burudani utakuwa Coco beach

Wapenzi wa burudani  ya muziki wa kizazi kipya na muziki wa taarabu watapata burudani ya funga mwaka kutoka kwa gwiji wa muziki wa kizazi kipya ambaye anatamba kwa vipao mbalimbali vipya Diamond Platnumz na mfalme wa muziki wa taarabu Mzee Yusuf  na kundi lake la Jahazi Modern Taarab watapanda jukwaa moja katika”Tamasha Wafalme”litakalofanyika katika ukumbi wa Dar Live,Mbagala jijini Dar es Salaam.Tamasha hili  la wafalme ambalo limeanza kuwa gumzo la  jiji kutokana na kuwa na burudani za...

 

10 years ago

Michuzi

KHADIJA KOPA KUWASHA MOTO LONDON,NI JUMAMOSI YA 18 JULY

Khadija kopa Kuwasha moto Siku ya Eid London ni Jumamosi 18/07/2015 ndani ya Ukumbi wa La royare Banquet Suites London 819 -821 High Road Nunua Tickeck yako Mapema kuepuka usumbufu Mlangoni bonyeza link hii kununua https://www.tickettailor.com/checkout/view-event/id/29235/chk/9a14 Show hii imeletwa kwenu na Bongodeejays Events kwa Maelezo zaidi na ticket Booking piga namba hizi +447853482158 /+447931526622 /+447421167123 au tembelea link zifuatazo kwa habari...

 

10 years ago

Vijimambo

KHADIJA KOPA KUWASHA MOTO LONDON,NI JUMAMOSI YA 18 JULY 2015


Khadija kopa Kuwasha moto Siku ya Eid London ni Jumamosi 18/07/2015 ndani ya Ukumbi wa La royare Banquet Suites London 819 -821 High Road Nunua Tickeck yako Mapema kuepuka usumbufu Mlangoni bonyeza link hii kununua https://www.tickettailor.com/checkout/view-event/id/29235/chk/9a14 Show hii imeletwa kwenu na Bongodeejays Events kwa Maelezo zaidi na ticket Booking piga namba hizi +447853482158/+447931526622 /+447421167123 au tembelea link zifuatazo kwa habari...

 

11 years ago

Michuzi

Mambo yapamba moto kuelekea fainali za Miss Temeke 2014

 Vimwana wa Miss Temeke 2014 wakiwa kwenye pozi la picha,ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao ya kuelekea kwenye kinyang'anyiro chao kitakachofanyika kwenye Ukumbi wa TCC klabu Chang'ombe jini Dar es Salaam Agosti 22,2014.Jumla ya washiriki 17 watapanda jukwaani siku hiyo kuwania taji hilo huku Globu ya Jamii ikimzawadia kitita cha Sh. Mil 1 Mrembo atakaeonekana ana mvuto wa picha (Miss Photogeni 2014).Wakiwa wamepozi wenyewe.Watembea kwa mwendo wa madaha mithili ya Twiga mbugani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani