KHADIJA KOPA KUWASHA MOTO LONDON,NI JUMAMOSI YA 18 JULY
![](http://1.bp.blogspot.com/-NgqZdWHgAXM/VZOA2kSAY7I/AAAAAAAHmEc/C3phA-7_XDI/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Khadija kopa Kuwasha moto Siku ya Eid London ni Jumamosi 18/07/2015 ndani ya Ukumbi wa La royare Banquet Suites London 819 -821 High Road Nunua Tickeck yako Mapema kuepuka usumbufu Mlangoni bonyeza link hii kununua https://www.tickettailor.com/checkout/view-event/id/29235/chk/9a14 Show hii imeletwa kwenu na Bongodeejays Events kwa Maelezo zaidi na ticket Booking piga namba hizi +447853482158 /+447931526622 /+447421167123 au tembelea link zifuatazo kwa habari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/wDI-QI2-ZMQ/default.jpg)
KHADIJA KOPA KUWASHA MOTO LONDON,NI JUMAMOSI YA 18 JULY 2015
Khadija kopa Kuwasha moto Siku ya Eid London ni Jumamosi 18/07/2015 ndani ya Ukumbi wa La royare Banquet Suites London 819 -821 High Road Nunua Tickeck yako Mapema kuepuka usumbufu Mlangoni bonyeza link hii kununua https://www.tickettailor.com/checkout/view-event/id/29235/chk/9a14 Show hii imeletwa kwenu na Bongodeejays Events kwa Maelezo zaidi na ticket Booking piga namba hizi +447853482158/+447931526622 /+447421167123 au tembelea link zifuatazo kwa habari...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8rx2VmZORMA/U1ws8VsSyMI/AAAAAAAFdO4/TQHouH2SyFU/s72-c/kitchen+515.jpg)
MWASITI, SHAA NA KHADIJA OMARI KOPA KUWASHA MOTO KATIKA JUKWAA LA FAMILIA KITCHEN PARTY GALA
wasanii wa kike watatu wanao tamba katika tasinia ya muziki nchini shaa, mwasiti na khadija omari kopa wanatalajia kupamba tamasha la jukwaa la wanawake lijulikanalo kama familia kitchen part gala litakalo fanyika jijini dar es salaam siku ya kesho katika ukumbi wa diamond jubilee chini ya women in balance chini ya udhamini wa shirika la psi tanzania.
mratibu wa jukwaa hilo vida mndolwa amesema jukwaa hilo limelenga kutoa elimu mbalimbali hususani uzazi wa mpango na upimaji wa saratani ya...
mratibu wa jukwaa hilo vida mndolwa amesema jukwaa hilo limelenga kutoa elimu mbalimbali hususani uzazi wa mpango na upimaji wa saratani ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bpztiFMQVRI/VG9sa3B_ayI/AAAAAAAGyw4/K6u0bp_8wLE/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
Sikinde, Kopa kuwasha moto Swahili Arts Carnival
![](http://3.bp.blogspot.com/-bpztiFMQVRI/VG9sa3B_ayI/AAAAAAAGyw4/K6u0bp_8wLE/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
Akizungumza na mtandao wa jamii, mmoja wa waratibu wa tamasha hilo, Ahadi Kakore amesema kuwa Sikinde ni miongoni mwa bendi zinazopiga muziki wa Kiswahili asilia ndiyo maana wameamua kuiweka kuwa bendi rasmi ya dansi ya tamasha hilo.
Aliongeza kuwa kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N2bPUzsXyRY/VHWhnRhNXbI/AAAAAAAGzgA/hOlg0qQ7K9U/s72-c/10697272_1022738261085294_1541075978030425660_o.jpg)
Khadja Kopa, Bilal Mashauzi kuwasha moto USIKU WA KHANGA PARTY NOV 29
![](http://3.bp.blogspot.com/-N2bPUzsXyRY/VHWhnRhNXbI/AAAAAAAGzgA/hOlg0qQ7K9U/s1600/10697272_1022738261085294_1541075978030425660_o.jpg)
ASIA Idarous Khamsin na Safari Carnival wanakuletea usiku wa Khanga Party na Spice Modern Taarab watakaowasha moto wa burudani sambamba na gwiji wa mipasho nchini Khadija Kopa pamoja na Bilal Mashauzi, Jumamosi ya usiku wa Novemba 29, ndan ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikocheni B.
Kwa mujibu wa mmoja wa wandaaji wa usiku huo, Asia Idarous Khamsin, amesema tayari maandalizi yake yamekamilika na amewasihi wadau kujitokeza kwa wingi katika onesho hilo la aina yake kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5HpdB4YfG7I/VAFMswYSqKI/AAAAAAAC8mI/JSvVtq8jES4/s72-c/missTZ2014.png)
MISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI
![](http://4.bp.blogspot.com/-5HpdB4YfG7I/VAFMswYSqKI/AAAAAAAC8mI/JSvVtq8jES4/s1600/missTZ2014.png)
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
GPLMISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI
 Miss Tanzania USA Pageant kesho itafikia ukingoni itakapofanyika Downtown, Silver Spring Maryland nchini Marekani katika picha Jesca Kalemera (aliyesimama) akijinoa mwishomwisho mbele ya washiriki wenzake huku Pendo Rancy (kushoto) mmoja ya waratibu wa Miss Tanzania USA Pageant akimsikiliza wengine katika picha ni washiriki wa Miss Tanzania USA Pageant 2014 Maria Rutayuga (wapili toka kushoto), Mercy Sukaya (watatu toka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEeTvJLE1hiL1F2X6MJwUo9K0sPyqvuv7R4tVhBU0pWK0iQRFn641QlrSLBidysTUYqsGmxAVQxCosXPq4psUleEMl0HKiP0/SAYONATWISTSHOODARLIVE11.jpg?width=650)
NATURE, MZEE YUSUF, TUNDA MAN, KHADIJA KOPA, SNURA, KR, BAMBO WAWASHA MOTO SHOO YA SAYONA DAR LIVE
  Juma Nature akiwapagawisha mashabiki wake Dar Live. Mzee Yusuf akizikonga nyoyo za mashabiki. Tunda Man nae…
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/C3UWatVyvvw/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGhGG**YGZj*aNYEQ8Npca8Zp50BkoNZTeVJ2HLcLJOKLvKdEoVTDhxjdjoAFwx1mw*YcHFaywJmkdfjRcGqpbiT/Kopa.jpg)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA-9
ILIPOISHIA..
Mbele yake kasimama mwanaume wa Kipemba, yupo hapo kwa kuwa alikuwa akihitaji kuwa mpenzi wake na mwisho wa siku amuoe. Kwa Khadija, kumkubalia mwanaume kwa wakati huo ilikuwa ngumu kwani bado alikuwa na ndoto za kufika mbali kimuziki.
ENDELEA... Malkia wa mziki wa taarabu, Khadija Omary kopa “Si kwamba ninaogopa, bado kuna mengi ninatakiwa kuyafanya,†nilimwambia.
“Kwani nikikuoa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania