Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sikinde, Kopa kuwasha moto Swahili Arts Carnival

BENDI Kongwe ya muziki wa dansi, Sikinde pamoja na Malkia wa muziki wa Taarab Afrika Mashariki, Khadija Kopa ni miongoni mwa wanamuziki watakatoa burudani kwenye Tamasha la Sanaa na Ubunifu wa Mswahili (Swahili Arts and Creative Carnival).

Akizungumza na mtandao wa jamii,  mmoja wa waratibu wa tamasha hilo, Ahadi Kakore amesema kuwa Sikinde ni miongoni mwa bendi zinazopiga muziki wa Kiswahili asilia ndiyo maana wameamua kuiweka kuwa bendi rasmi ya dansi ya tamasha hilo.

Aliongeza kuwa kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KHADIJA KOPA KUWASHA MOTO LONDON,NI JUMAMOSI YA 18 JULY

Khadija kopa Kuwasha moto Siku ya Eid London ni Jumamosi 18/07/2015 ndani ya Ukumbi wa La royare Banquet Suites London 819 -821 High Road Nunua Tickeck yako Mapema kuepuka usumbufu Mlangoni bonyeza link hii kununua https://www.tickettailor.com/checkout/view-event/id/29235/chk/9a14 Show hii imeletwa kwenu na Bongodeejays Events kwa Maelezo zaidi na ticket Booking piga namba hizi +447853482158 /+447931526622 /+447421167123 au tembelea link zifuatazo kwa habari...

 

10 years ago

Vijimambo

KHADIJA KOPA KUWASHA MOTO LONDON,NI JUMAMOSI YA 18 JULY 2015


Khadija kopa Kuwasha moto Siku ya Eid London ni Jumamosi 18/07/2015 ndani ya Ukumbi wa La royare Banquet Suites London 819 -821 High Road Nunua Tickeck yako Mapema kuepuka usumbufu Mlangoni bonyeza link hii kununua https://www.tickettailor.com/checkout/view-event/id/29235/chk/9a14 Show hii imeletwa kwenu na Bongodeejays Events kwa Maelezo zaidi na ticket Booking piga namba hizi +447853482158/+447931526622 /+447421167123 au tembelea link zifuatazo kwa habari...

 

10 years ago

Michuzi

Khadja Kopa, Bilal Mashauzi kuwasha moto USIKU WA KHANGA PARTY NOV 29

Na Andrew Chale
ASIA Idarous Khamsin na Safari  Carnival  wanakuletea usiku wa Khanga Party na Spice Modern Taarab watakaowasha moto wa burudani sambamba na gwiji wa mipasho nchini Khadija Kopa pamoja na Bilal Mashauzi,  Jumamosi ya usiku wa Novemba 29, ndan ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikocheni B.
Kwa mujibu wa  mmoja wa wandaaji wa usiku huo, Asia Idarous Khamsin,  amesema tayari maandalizi yake yamekamilika na amewasihi wadau kujitokeza kwa wingi katika onesho hilo la aina yake  kwa...

 

11 years ago

Michuzi

MWASITI, SHAA NA KHADIJA OMARI KOPA KUWASHA MOTO KATIKA JUKWAA LA FAMILIA KITCHEN PARTY GALA

wasanii wa kike watatu wanao tamba katika tasinia ya muziki nchini shaa, mwasiti na khadija omari kopa wanatalajia kupamba tamasha la jukwaa la wanawake lijulikanalo kama familia kitchen part gala litakalo fanyika jijini dar es salaam siku ya kesho katika ukumbi wa diamond jubilee chini ya women in balance chini ya udhamini wa shirika la psi tanzania.
mratibu wa jukwaa hilo vida mndolwa amesema  jukwaa hilo limelenga kutoa elimu mbalimbali hususani uzazi wa mpango na upimaji wa saratani ya...

 

10 years ago

Michuzi

MISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI


 Kutoka kushoto ni Maria Rutayuga kuotoka Maryland, Jesca Kalemera kutoka New Jersey, Mercy Sukaya kutoka Michigan na Grace Mlingi kutaoka Maryland. Washiriki wakimsikiliza mmoja ya waratibu alipokua akiwaelekeza jambo kwenye hotel waliyofikia ya Double Tree iliyopo Dwntown Silver Spring.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

10 years ago

GPL

MISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI‏

 Miss Tanzania USA Pageant kesho itafikia ukingoni itakapofanyika Downtown, Silver Spring Maryland nchini Marekani katika picha Jesca Kalemera (aliyesimama) akijinoa mwishomwisho mbele ya washiriki wenzake huku Pendo Rancy (kushoto) mmoja ya waratibu wa Miss Tanzania USA Pageant akimsikiliza wengine katika picha ni washiriki wa Miss Tanzania USA Pageant 2014 Maria Rutayuga (wapili toka kushoto), Mercy Sukaya (watatu toka...

 

10 years ago

Michuzi

Diamond na Mzee Yusuf kuwasha moto Dar Live Krismas katika tamasha la wafalme chini ya Vodacom Tanzania, Moto mwingine wa burudani utakuwa Coco beach

Wapenzi wa burudani  ya muziki wa kizazi kipya na muziki wa taarabu watapata burudani ya funga mwaka kutoka kwa gwiji wa muziki wa kizazi kipya ambaye anatamba kwa vipao mbalimbali vipya Diamond Platnumz na mfalme wa muziki wa taarabu Mzee Yusuf  na kundi lake la Jahazi Modern Taarab watapanda jukwaa moja katika”Tamasha Wafalme”litakalofanyika katika ukumbi wa Dar Live,Mbagala jijini Dar es Salaam.Tamasha hili  la wafalme ambalo limeanza kuwa gumzo la  jiji kutokana na kuwa na burudani za...

 

10 years ago

Mwananchi

Majirani kuwasha moto leo

Mashabiki wa soka England, Hispania au hata Afrika Mashariki zinakopendwa timu hizo leo watatuliza kiu zao kwa kuona mechi kali baina ya majirani, maarufu derby.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani