Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USIKOSE SWAHILI ARTS & CREATIVE CARNIVAL VIWANJA VYA POSTA, DAR KESHO

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Sikinde, Kopa kuwasha moto Swahili Arts Carnival

BENDI Kongwe ya muziki wa dansi, Sikinde pamoja na Malkia wa muziki wa Taarab Afrika Mashariki, Khadija Kopa ni miongoni mwa wanamuziki watakatoa burudani kwenye Tamasha la Sanaa na Ubunifu wa Mswahili (Swahili Arts and Creative Carnival).

Akizungumza na mtandao wa jamii,  mmoja wa waratibu wa tamasha hilo, Ahadi Kakore amesema kuwa Sikinde ni miongoni mwa bendi zinazopiga muziki wa Kiswahili asilia ndiyo maana wameamua kuiweka kuwa bendi rasmi ya dansi ya tamasha hilo.

Aliongeza kuwa kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

11 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND YATIKISA JIJI LA DAR KWENYE 'NYAMA CHOMA FESTIVAL' NDANI YA VIWANJA VYA POSTA‏

Sam Mapenzi na Sony Masamba wakitoa burudani ya aina yake kwenye tamasha la Nyama Choma lililofanyika Jumamosi hii kwenye vianjwa vya Posta jijini Dar ambapo Skylight Band iliongoza kwa kukusanya mashabiki lukuki. Sam Mapenzi wa Skylight Band akishindana na mmoja wa mashabiki kucheza wimbo wa Davido SKELEWU.…

 

10 years ago

Vijimambo

UZINDUZI RASMI WA KAMPENI YA WAZAZI NIPENDENI NI KESHO VIWANJA VYA MWEMBE YANGA JIJINI DAR ES SALAAM MAANDALIZI YAMEKAMILIKA WANA MUZIKI LULUKI KUTOA BURUDANI WANDUGU SAIDIA TUTANI UZINDUZI RASMI NI KESHO

 Mshauri wa masuala ya Malaria kutoka Taasisi ya Jhpiego, Jasmin Chadewa (kushoto), akitoa huduma ya kumpa dawa ya vitamini A, mtoto Rahim Simai,  viwanja vya Mwembe Yanga Dar es Salaam leo asubuhi ikiwa ni utoaji huduma wa elimu ya afya kwa wajawazito na matumizi ya dawa aina ya SP, upimaji wa malaria pamoja na matumizi ya vyandarua kama muendelezo wa huduma za afya ya mama mjamzito na mtoto kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili wa Kampeni ya Wazazi Nipendeni utakaofanyika kesho katika viwanja...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA NAYAMA CHOMA KATIKA VIWANJA VYA POSTA-KIJITONYAMA

Bango lilivyo.
Hawa ni baadhi ya waburudishaji katika Bendi ya Mapacha Watatu.
Viti hivi vinategemewa kujaza watu wa kutosha.…

 

10 years ago

CloudsFM

marehemu Kapt.John Komba kuagwa leo katika viwanja vya karimjee ,Dar kuzikwa kwao kesho Nyasa

http://www.google.co.tz/imgres?imgurl=http://4.bp.blogspot.com/-TXxYlldF76U/UYzCQwXjabI/AAAAAAAAACo/I99o7Tt2ccU/s1600/KOMBA.jpg&imgrefurl=http://kwelinahaki.blogspot.com/2013_05_01_archive.html&h=1200&w=1600&tbnid=66ArF3GxkVAhVM:&zoom=1&docid=07QytNiYiUSx3M&itg=1&hl=en-US&ei=iRz0VKTqNYrlaLSNggg&tbm=isch&ved=0CCAQMygFMAU Mwili Wa Kapr.John Komba utaagwa katika viwanja vya Karimjee jijini Dar Leo tar.2 March baada ya hapo utasafirishwa hadi mjini Songea ambapo wanachi wa mji watapata fursa ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini maonesho ya Tehema kwa vijana, Viwanja vya Posta

Moja

Ofisa kutoka mradi wa Data Huru ulio chini ya Tume ya Sayansi na Teknolojia (Costech) Daudi Fufuji akitoa maelekezo kuhusiana na namna ambavyo mradi huo unafanya kazi, maadhimisho hayo yalidhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Tigo.

Mbili

Wadau kutoka Kituo cha Utamaduni cha Ujerumani, Goethe Institute wakiwa kwenye maonesho hayo.

Tatu

Baadhi ya mabanda ambayo wadau mbalimbali wa masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) walihudhuria.

Nne

Wanafunzi wa Chuo cha A3 Institute wakionesha...

 

10 years ago

Vijimambo

MAZISHI YA DK.EMMANUEL MAKAIDI KUFANYIKA MAKABURI YA SINZA, MWILI WAKE KUAGWA KESHO ASUBUHI VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM

Mjane wa aliyekuwa Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk. Emmanuel Makaidi, Modesta Ponela Makaidi akiwa katika huzuni baada ya kuondokewa na mpendwa wake.
Mtoto wa kwanza wa Dk. Makaidi, Hilda Emmanuel Makaidi akizungumza na wanahabari (hawapo pichani)
Mtoto wa marehemu Mhandisi Emmanueli Makaidi (kulia), akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ratiba ya mazishi ya baba yake.Ndugu, jamaa, marafiki na waombolezaji wakiwa msibani nyumbani kwa Dk.Makaidi Sinza.Mjane wa...

 

11 years ago

GPL

WANAFUNZI WA SJMC UDSM WAPATA NAFASI YA KUONESHA VIPAJI VYAO VIWANJA VYA POSTA, KIJITONYAMA

Wanafunzi wa SMJC katika maonyesho ya urembo. Msanii Kweli MC akitoa free style. Mwanafunzi kutoka SJMC akitoa burudani safiii... Mzee Kitime akiwaasa wanafunzi kutumia vipaji kutimiza ndoto zao.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani