WANAFUNZI WA SJMC UDSM WAPATA NAFASI YA KUONESHA VIPAJI VYAO VIWANJA VYA POSTA, KIJITONYAMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2tKS7ryZ_IM/U3e1c2nnK_I/AAAAAAAAF7c/hNdQtsxDa_Q/s1600/IMG_20140517_210243.jpg)
Wanafunzi wa SMJC katika maonyesho ya urembo. Msanii Kweli MC akitoa free style. Mwanafunzi kutoka SJMC akitoa burudani safiii... Mzee Kitime akiwaasa wanafunzi kutumia vipaji kutimiza ndoto zao.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi0hQzJTISHnKE1gK456NEaprO4kBOvxwfZLASFXmmEBh0wlNRC-rcNqvqM9eh-ouraI7w7QEr9MxKmZd3cllZiw/1.jpg?width=650)
TAMASHA LA NAYAMA CHOMA KATIKA VIWANJA VYA POSTA-KIJITONYAMA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-e05HgFQrKUU/VGo75HWfYgI/AAAAAAACuz0/zeZBvOz6cL0/s72-c/001.jpg)
TAMASHA LA KUONESHA VIPAJI BAINA YA WANAFUNZI WA SHULE ZA ST MARY'S INTERNATIONAL ZA DAR ES SALAAM LAFANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-e05HgFQrKUU/VGo75HWfYgI/AAAAAAACuz0/zeZBvOz6cL0/s1600/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MOsrf9jLNPE/VGo76xF5tLI/AAAAAAACuz8/8RvE2wejREI/s1600/003.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Dec
Tigo yadhamini maonesho ya Tehema kwa vijana, Viwanja vya Posta
Ofisa kutoka mradi wa Data Huru ulio chini ya Tume ya Sayansi na Teknolojia (Costech) Daudi Fufuji akitoa maelekezo kuhusiana na namna ambavyo mradi huo unafanya kazi, maadhimisho hayo yalidhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Tigo.
Wadau kutoka Kituo cha Utamaduni cha Ujerumani, Goethe Institute wakiwa kwenye maonesho hayo.
Baadhi ya mabanda ambayo wadau mbalimbali wa masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) walihudhuria.
Wanafunzi wa Chuo cha A3 Institute wakionesha...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Wanariadha 41 KJ Majimaji wanavyopigania vipaji vyao
ASHUKURIWE Mwenyezi Mungu aliyetuwezesha kuuona mwaka 2014. Hamasa ya mchezo wa riadha hapa nchini imezidi kushika kasi kutokana na ukweli kwamba, mbio nyingi zimekuwa zikifanyika kwa mafanikio kiasi, ikilinganishwa na...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Wanafunzi 7,000 wapata vyeti vya kuzaliwa
ZAIDI ya wafunzi 7,400 wa shule za msingi Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, wamepatiwa vyeti vya kuzaliwa. Akizungumza na Tanzania Daima jana wakati wa maonyesho ya Wiki ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VNLB0gJ82Js/U8ZPZJIxBNI/AAAAAAAF2rI/sKGqlPl48fI/s72-c/unnamed+(7).jpg)
GAZUKO AWASHAURI VIJANA KUTUMIA VIPAJI VYAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-VNLB0gJ82Js/U8ZPZJIxBNI/AAAAAAAF2rI/sKGqlPl48fI/s1600/unnamed+(7).jpg)
Gazuko ameona ni vema akazungumza na vijana wenzake ambao wengi wao wapo majumbani na wengine wapo katika shule na vyuo mbali huku wakitarajia kuajiriwa pindi wamalizapo masomo lakini Gazuko ameamua kutoa ushauri kwa vijana hao kwamba badala ya kutegemea kuajiriwa ni bora wakawazia...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0472.jpg)
SKYLIGHT BAND YATIKISA JIJI LA DAR KWENYE 'NYAMA CHOMA FESTIVAL' NDANI YA VIWANJA VYA POSTA