Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanariadha 41 KJ Majimaji wanavyopigania vipaji vyao

ASHUKURIWE Mwenyezi Mungu aliyetuwezesha kuuona mwaka 2014. Hamasa ya mchezo wa riadha hapa nchini imezidi kushika kasi kutokana na ukweli kwamba, mbio nyingi zimekuwa zikifanyika kwa mafanikio kiasi, ikilinganishwa na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

GAZUKO AWASHAURI VIJANA KUTUMIA VIPAJI VYAO

Kijana anayefanya vizuri kwenye anga la muziki wa injili kwa sasa kupitia aina ya muziki wake anaoufanya wa kipekee maarufu kwa jina la gospel hip hop huyu si mwingine bali anafahamika kwa jina la Gazuko. 
Gazuko ameona ni vema akazungumza na vijana wenzake ambao wengi wao wapo majumbani na wengine wapo katika shule na vyuo mbali huku wakitarajia kuajiriwa pindi wamalizapo masomo lakini Gazuko ameamua kutoa ushauri kwa vijana hao kwamba badala ya kutegemea kuajiriwa ni bora wakawazia...

 

11 years ago

GPL

WANAFUNZI WA SJMC UDSM WAPATA NAFASI YA KUONESHA VIPAJI VYAO VIWANJA VYA POSTA, KIJITONYAMA

Wanafunzi wa SMJC katika maonyesho ya urembo. Msanii Kweli MC akitoa free style. Mwanafunzi kutoka SJMC akitoa burudani safiii... Mzee Kitime akiwaasa wanafunzi kutumia vipaji kutimiza ndoto zao.…

 

10 years ago

Habarileo

Majimaji kutosajili makapi

UONGOZI wa Majimaji umesema hauna mpango wa kusajili wachezaji watakaotemwa kwenye timu zao, bali wanalenga kwa vijana ambao wana uwezo na kiwango cha hali ya juu.

 

11 years ago

Michuzi

TIMU NZIMA YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAELEKEA MKOANI MWANZA KWAAJILI YA KUANZA ZOEZI LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA

Timu nzima ya Tanzania Movie Talents kutoka kampuni ya Proin Promotions Limited wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza safari ya kuelekea Mwanza kwaajili ya shindano la kutafuta Vipaji vya Uigizaji Tanzania ambapo shindano hili litaanzia katika Kanda ya Ziwa katika Mkoa wa Mwanza Kuanzia tarehe 5 April 2014 mahali ni Isamilo Lodge. Mdau Karimu Muhidin Michuzi na Baadhi ya vijana wa kazi katika timu ya kusaka vipaji wakiwa tayari kwa safari ya Mwanza. Mabasi yakiwa tayari kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Kocha Majimaji abaini kasoro

Kocha wa Majimaji, Mika Lonnstrom ametoa tathmini ya timu yake kwenye mechi kumi za mwanzoni wa msimu huu ambazo imeshacheza huku akisema kuwa ameridhika na kiwango chao ingawa kuna kasoro chache zinazotakiwa kurekebishwa.

 

9 years ago

Michuzi

SIMBA YAIKAUSHA MAJIMAJI YA SONGEA 6-1

Mshambuliaji wa Simba, Peter, Mwalyanzi akiwatoba wachezaji wa Majimaji ya Songea katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam ambapo Simba iliibuka na ushindi wa bao 6-1. (Picha na Francis Dande)Wachezaji wa Simba, Hamis Kiiza na Irahim Hajibu wakishangilia kwa pamoja moja ya bao lililofungwa na Hajibu.Ibrahim Hajibu wa Simba akiifungia timu yake bao la kichwa.Wachezji wa Majimaji ya Songea baada ya kufungwa.Hamis Kiiza akimiliki mpira.Kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Vipigo vyamrudisha Mzungu Majimaji

Kocha wa Majimaji, Mika Lonnstrom amechoshwa na vipigo vya timu yake na sasa ameamua kukatisha likizo yake ya muda mrefu ili aje kuiokoa klabu hiyo kwenye janga la kushuka daraja.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Mzungu atua Majimaji

Dar es Salaam. Klabu ya Majimaji ya Songea imejiunga na klabu nyingine za Ligi Kuu kuajiri kocha kutoka nje ya Afrika.

 

9 years ago

Mwananchi

Majimaji sasa yajipanga upya

Baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo, timu ya Majimaji imeweka mkakati mpya wa kupata jumla ya pointi nne katika mechi nne zinazofuata.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani