Majimaji kutosajili makapi
UONGOZI wa Majimaji umesema hauna mpango wa kusajili wachezaji watakaotemwa kwenye timu zao, bali wanalenga kwa vijana ambao wana uwezo na kiwango cha hali ya juu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
Makapi Aliyosema Mh. Kinana Haya Hapa

Wadau kutokana na kauli ya Mh Kinana aliyoitoa wakati akihutubia wanaCCM waliofika Lumumba kumsindikiza Mh Dr John Pombe Magufuli kuchukua fomu ya uraisi wa JMT, alimaanisha kwamba kila aliyetia nia ya uongozi CCM na hakupata fursa hiyo ni makapi. Nijuavyo makapi ni mabaki yeyote baada ya mchujo/mchakato.
Katika mchakato ule kulikuwa na watia nia 42 na baadae 38...
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
Kura za maoni zitumike kuchuja makapi
NI takriban mwezi mmoja na nusu sasa tangu Chama cha Wananchi (CUF) kumaliza shughuli ya kuchuja wagombea wake ndani ya chama; vyama viwili vikuu vya siasa nchini, CCM na Chadema, navyo vimeanza mchakato wa kusaka wawakilishi wake bungeni.
Mchakato huo maarufu kama kura za maoni huwahusisha wanachama wa vyama husika, ambapo hupiga kura kupendekeza majina ya watu wanaofaa ama kuwa wabunge, madiwani, wawakilishi au masheha huko Zanzibar.
Hii ni nafasi ya mwanzo kabisa kwa wanachama...
11 years ago
Uhuru Newspaper09 Jul
Dovutwa: Slaa, mkewe wote ni makapi ya CCM
Msomi ainanga CHADEMA
NA MOHAMMED ISSA
MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa amemvaa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbord Slaa na kumtaka ajitokeze hadharani kufafanua tatizo la msingi la Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Pia, ameshangazwa na kauli iliyotolewa na Dk. Slaa kuwa, CHADEMA haitasubiri wanachama watakaoachwa na CCM, kwenye uteuzi wa wagombea katika uchaguzi mkuu ujao, wakati yeye na mkewe ni makapi ya CCM.
Dovutwa amesema Dk. Slaa alitokea CCM na kwamba, anatakiwa kuueleza umma ubaya...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
SIASA: Chadema: Hatuchukui tena makapi ya CCM
10 years ago
Habarileo05 Aug
Kinana: Uchaguzi mwaka huu utakuwa wagombea na makapi
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, utakuwa kati ya wagombea na makapi ya CCM na wananchi watachagua wagombea wa chama hicho tawala.
10 years ago
MichuziSIMBA YAIKAUSHA MAJIMAJI YA SONGEA 6-1
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Kocha Majimaji abaini kasoro
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Kocha Mzungu atua Majimaji
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Vipigo vyamrudisha Mzungu Majimaji