Makapi Aliyosema Mh. Kinana Haya Hapa
![](http://1.bp.blogspot.com/-O15jyaMU5V4/VcJUYNLLDbI/AAAAAAAAy-Y/0cMIYLXTh6w/s72-c/kinana.jpg)
“Nchi yetu inakwenda kwenye uchaguzi ikiwa na wagombea na makapi, sasa kati ya mgombea na makapi nani mshindi? - Kinana 04/08/2015
Wadau kutokana na kauli ya Mh Kinana aliyoitoa wakati akihutubia wanaCCM waliofika Lumumba kumsindikiza Mh Dr John Pombe Magufuli kuchukua fomu ya uraisi wa JMT, alimaanisha kwamba kila aliyetia nia ya uongozi CCM na hakupata fursa hiyo ni makapi. Nijuavyo makapi ni mabaki yeyote baada ya mchujo/mchakato.
Katika mchakato ule kulikuwa na watia nia 42 na baadae 38...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Jamtz.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s72-c/MMGM0139.jpg)
HAYA NDO ALIYOSEMA LUNDENGA KUMALIZA UTATA WA UMRI WA MISS TANZANIA 2014 KWENYE PRESS CONFERENCE
![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s1600/MMGM0139.jpg)
Hayo ni maelezo aliyoyatoa Mr. Hasheem Lundenga mbele ya Waandishi wa habari Dar es...
10 years ago
Habarileo05 Aug
Kinana: Uchaguzi mwaka huu utakuwa wagombea na makapi
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, utakuwa kati ya wagombea na makapi ya CCM na wananchi watachagua wagombea wa chama hicho tawala.
10 years ago
Dewji Blog09 Sep
Makubaliano ya JK na ukawa ni haya hapa
Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo.
.katiba ya zamani kufanyiwa marekebisho
.Ni kuruhusu tume huru na mgombea binafsi
.Ni makubaliano ya viongozi wa vyama vya siasa
Na Lukwangule Blog
KATIBA inayotumika sasa ya mwaka 1977 itafanyiwa marekebisho muhimu kupisha uchaguzi mkuu ujao, na Rais ajaye ataamua hatima ya katiba mpya ya Tanzania.
Hayo yametamkwa leo na Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo akizungumza na waandishi wa habari .
Kwa matamko ya Cheyo mchakato wa kuandika katiba umesitishwa.
Cheyo...
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Masharti ya kusafiri nje haya hapa
10 years ago
MichuziMATOKEO YA KIDATO CHA NNE NA QT 2014 HAYA HAPA
BOFYA LINK HII KUONA NA KUSOMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE NA QT 2014 .
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/BYYDlXS1In4/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies02 Apr
Majina ya Wanaowania Tuzo za Filamu Mwaka 2015 Haya Hapa
Majina ya wanaowania tuzo hizo hayo hapo chini fuatilia na kwa makini kisha jiandae kumpigia kura msanii wako...
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Majina ya wanaowania tuzo za TASWA 2013/2014 haya hapa
Mwenyekiti Kamati ya Tuzo, Bw. Rehure Nyaulawa.
KAMATI ya Kusimamia Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania zinazotolewa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) ilikutana Dar es Salaam jana na kupitia majina ya wanamichezo waliopendekezwa kuwania tuzo hizo.
Tuzo itafanyika Desemba 12 mwaka huu ukumbi wa Diamond, Jubilee (VIP), Dar es Salaam, ambapo wanamichezo mbalimbali waliofanya vizuri kati ya Juni 2013 hadi Juni 2014 watakabidhiwa tuzo zao.
Ni imani yetu kwamba zaidi ya...