Dovutwa: Slaa, mkewe wote ni makapi ya CCM
Msomi ainanga CHADEMA
NA MOHAMMED ISSA
MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa amemvaa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbord Slaa na kumtaka ajitokeze hadharani kufafanua tatizo la msingi la Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Pia, ameshangazwa na kauli iliyotolewa na Dk. Slaa kuwa, CHADEMA haitasubiri wanachama watakaoachwa na CCM, kwenye uteuzi wa wagombea katika uchaguzi mkuu ujao, wakati yeye na mkewe ni makapi ya CCM.
Dovutwa amesema Dk. Slaa alitokea CCM na kwamba, anatakiwa kuueleza umma ubaya...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jul
SIASA: Chadema: Hatuchukui tena makapi ya CCM
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Dovutwa awavaa CCM
MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmin Dovutwa amesema mchakato wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuwahoji wanachama wake walioanza mbio za urais 2015 unatia shaka. Dovutwa alitoa kauli hiyo juzi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632oWXnXK4UxSrI1jEqeYpIkJqT9gOaA7RUcjgNPrIwuyHFiDpB*owYp2XCdW07ENSp99E2IbOOJ9qlhnWj8i7R2o/1.jpg?width=650)
JERRY SLAA AMKIMBIA MKEWE
11 years ago
Mwananchi06 Mar
CCM, Chadema, CUF wanavuruga Bunge, asema Dovutwa
9 years ago
Dewji Blog05 Sep
Tundu Lissu amshukia Dk.Slaa kwa madai ya kuponzwa na mkewe
Mwanasheria wa CHADEMA na mgombea ubunge jimbo la Singida mashariki, Tundu Lissu,akizungumza kwenye mkutano wa kampeni ya Ukawa mkoa wa Singida uliofanyika kwenye uwanja wa Peoples mjini hapa.Pamoja na mambo mengine,Tundu amewaomba wakazi wa Singida, kumpa kura ya ndiyo mgombea urais kwa tiketi ya Ukawa, Edward Ngoyai Lowassa, wabunge na madiwani wa Ukawa,ili kuigaragaza CCM kwa madai imechoka na umechuja mbele ya macho ya Watanzania.
Mgombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia ukawa,...
10 years ago
Vijimambo13 Aug
DR. SLAA AIBUKA NA KUSEMA ATAWEKA KILA KITU HADHARANI MUDA WOTE KUANZIA SASA
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Slaa-13August2015.jpg)
Katika siku za karibuni, Dk. Slaa amekuwa gumzo kutokana na kutoonekana katika shughuli mbalimbali za chama hicho pamoja na mikutano muhimu inayoitishwa na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Akizungumza na NIPASHE kwa njia ya simu jana, Dk....
10 years ago
Michuzi20 Jan
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ukNw3QKRXiY/VfvtSzDeWdI/AAAAAAABVU8/F-LcUeczpf0/s72-c/12038431_785458398231803_3528898794948630829_n.png)
VIONGOZI WOTE WA CCM WA KATA YA MKOMAZI NA WAPIGA KURA 1,400 WA CCM WAHAMIA CHADEMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ukNw3QKRXiY/VfvtSzDeWdI/AAAAAAABVU8/F-LcUeczpf0/s640/12038431_785458398231803_3528898794948630829_n.png)
10 years ago
Dewji Blog20 Jan