Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majimaji sasa yajipanga upya

Baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo, timu ya Majimaji imeweka mkakati mpya wa kupata jumla ya pointi nne katika mechi nne zinazofuata.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yajipanga upya

KATIKA kuhakikisha uchaguzi mkuu wa taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), unaendeshwa kwa uwazi na umakini ili kuepuka mitego ya kuchomekewa wasaliti, chama hicho kimejipanga upya na kuusogeza...

 

11 years ago

Vijimambo

Chadema sasa yajipanga kupiga kambi jimbo la Sitta

Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Baraza lake la Vijana Taifa (Bavicha), kimetangaza mkakati wa kwenda kuweka kambi kwenye Jimbo la Urambo Mashariki linaloongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta.

Lengo la chama hicho ni kuwaeleza namna kiongozi huyo alivyochakachua Rasimu ya maoni ya Watanzania.

Mkakati huo ulitangazwa jana na Mwenyekiti wa Bavicha Taifa, Patrobas Katambi na Katibu wa Baraza hilo, Julius...

 

11 years ago

Mwananchi

Pikipiki kusajiliwa upya, sasa kupewa namba ‘TZ’ badala ‘T’

Dodoma. Serikali imetangaza utaratibu mpya kwa usajili wa namba za pikipiki kutoka ‘T’ na sasa zitasomeka ‘TZ’ lengo likiwa ni kudhibiti vitendo vya uhalifu.

 

10 years ago

Mwananchi

Uandikishaji BVR umemalizika, NEC sasa ijipange upya

Mchakato wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura unamalizika leo jijini Dar es Salaam, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuongeza muda kutokana na wananchi wengi waliotaka kujiandikisha kuendelea kufurika katika vituo mbalimbali jijini.

 

10 years ago

Habarileo

Majimaji kutosajili makapi

UONGOZI wa Majimaji umesema hauna mpango wa kusajili wachezaji watakaotemwa kwenye timu zao, bali wanalenga kwa vijana ambao wana uwezo na kiwango cha hali ya juu.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Mzungu atua Majimaji

Dar es Salaam. Klabu ya Majimaji ya Songea imejiunga na klabu nyingine za Ligi Kuu kuajiri kocha kutoka nje ya Afrika.

 

9 years ago

Mwananchi

Vipigo vyamrudisha Mzungu Majimaji

Kocha wa Majimaji, Mika Lonnstrom amechoshwa na vipigo vya timu yake na sasa ameamua kukatisha likizo yake ya muda mrefu ili aje kuiokoa klabu hiyo kwenye janga la kushuka daraja.

 

9 years ago

Mwananchi

Kocha Majimaji abaini kasoro

Kocha wa Majimaji, Mika Lonnstrom ametoa tathmini ya timu yake kwenye mechi kumi za mwanzoni wa msimu huu ambazo imeshacheza huku akisema kuwa ameridhika na kiwango chao ingawa kuna kasoro chache zinazotakiwa kurekebishwa.

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA YAIKAUSHA MAJIMAJI YA SONGEA 6-1

Mshambuliaji wa Simba, Peter, Mwalyanzi akiwatoba wachezaji wa Majimaji ya Songea katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam ambapo Simba iliibuka na ushindi wa bao 6-1. (Picha na Francis Dande)Wachezaji wa Simba, Hamis Kiiza na Irahim Hajibu wakishangilia kwa pamoja moja ya bao lililofungwa na Hajibu.Ibrahim Hajibu wa Simba akiifungia timu yake bao la kichwa.Wachezji wa Majimaji ya Songea baada ya kufungwa.Hamis Kiiza akimiliki mpira.Kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani