Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GAZUKO AWASHAURI VIJANA KUTUMIA VIPAJI VYAO

Kijana anayefanya vizuri kwenye anga la muziki wa injili kwa sasa kupitia aina ya muziki wake anaoufanya wa kipekee maarufu kwa jina la gospel hip hop huyu si mwingine bali anafahamika kwa jina la Gazuko. 
Gazuko ameona ni vema akazungumza na vijana wenzake ambao wengi wao wapo majumbani na wengine wapo katika shule na vyuo mbali huku wakitarajia kuajiriwa pindi wamalizapo masomo lakini Gazuko ameamua kutoa ushauri kwa vijana hao kwamba badala ya kutegemea kuajiriwa ni bora wakawazia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanariadha 41 KJ Majimaji wanavyopigania vipaji vyao

ASHUKURIWE Mwenyezi Mungu aliyetuwezesha kuuona mwaka 2014. Hamasa ya mchezo wa riadha hapa nchini imezidi kushika kasi kutokana na ukweli kwamba, mbio nyingi zimekuwa zikifanyika kwa mafanikio kiasi, ikilinganishwa na...

 

11 years ago

GPL

WANAFUNZI WA SJMC UDSM WAPATA NAFASI YA KUONESHA VIPAJI VYAO VIWANJA VYA POSTA, KIJITONYAMA

Wanafunzi wa SMJC katika maonyesho ya urembo. Msanii Kweli MC akitoa free style. Mwanafunzi kutoka SJMC akitoa burudani safiii... Mzee Kitime akiwaasa wanafunzi kutumia vipaji kutimiza ndoto zao.…

 

5 years ago

Michuzi

KAMALA AWASHAURI VIJANA WENZAKE KUTOTUMIA VIBAYA MITANDAO HIYO YA KIJAMII.

Na, Irene Mwidima, Globu ya jamii.

John George Kamala, Kijana anayejihusisha na masuala ya mitindo (model) amewataka vijana kutokutumia vibaya mitandao ya kijamii bali waitumie kujiingizia kipato.

Kamala pia amekuwa moja ya vijana wanaojiingizia kipato kupitia mtandao wa kijamii YouTube.

Amesema, ukiitumia vizuri mitandao ya Kijamii inakuleta manufaa makubwa sana bila kumtegemea mtu akusaidie na zaidi utajulikana kwa upana zaidi na watu mbalimbali.

Kamala amewasihi vijana wote kuacha kutumia...

 

10 years ago

Vijimambo

MKURUGENZI WA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA AWASHAURI VIJANA KUFANYA KAZI NA MASHIRIKA YA KIMATAIFA

Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akitoa mada katika Kongamano la Vijana. Wakati wa kongamano hilo Balozi Mushy amewashauri vijana kufanya kazi na Taasisi za Umoja wa Mataifa ili kujipatia uzoefu wa kujielezea ikiwa ni pamoja na kujiamini. Kongamano hilo lilifanyika katika Ukumbi wa Karimjee, Jijini Dar es SalaamMwakilishi Mkazi wa UNFPA Tanzania Dkt. Natalia Kanem (Wa pili kutoka kulia), Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Vijana Wizara ya Habari, Vijana,...

 

10 years ago

Michuzi

Mkurugenzi wa Ushirikano wa Kimataifa awashauri vijana kufanya kazi na Mashirika ya Kimataifa

Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akitoa mada katika  Kongamano la Vijana. Wakati wa kongamano hilo Balozi Mushy amewashauri vijana kufanya kazi na Taasisi za Umoja wa Mataifa ili kujipatia uzoefu wa kujielezea ikiwa ni pamoja na kujiamini. Kongamano hilo lilifanyika katika Ukumbi wa Karimjee, Jijini Dar es SalaamMwakilishi Mkazi wa UNFPA Tanzania Dkt. Natalia Kanem (Wa pili kutoka kulia), Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Vijana Wizara ya Habari, Vijana,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vijana wanaokuza vipaji vitongojini Kenya

Katika Kitongoji Kimoja, magharibi mwa mji mkuu Kenya Nairobi, vijana wameungana na kuanzisha kituo ambacho watoto wenye talanta hukusanyika na kukuza talanta zao

 

11 years ago

GPL

WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO KUZINDUA TAMASHA LA VIPAJI‏

Mkurugenzi Mtendaji wa asasi ya ukuzaji vipaji vya sanaa na muziki (Unscripted Concert for Africa-Tanzania, UCA-Tz), Emmanuel Mushy (katikati) akizungumza na waandishi wa habari juu ya tamasha la UCA-Tz litakalofanyika kesho jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kutoka kushoto ni Mwakilishi kutoka kampuni ya Zantel, Divine Mosi na Fadhil Nandonde kutoka UCA-Tz, kulia ni mwakilishi wa vijana kutoka nchini Uganda, Ms. Faridah Nalunkuma. ...

 

10 years ago

Michuzi

BANG YAADHIMISHA MIAKA 11 KATIKA KUINUA VIPAJI VYA WANAWAKE,VIJANA

 Mkurugenzi  Mkuu wa  Relim Entertainment Ltd,Emelda Mwamanga akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa kuadhimisha miaka 11 ya jarida la Bang! katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Habari Maelezo jijini Dar es Salaam leo, kushoto ni Mkurugenzi wa Ubunifu na Masoko wa Relim Entertainment Ltd ,Mpegwa Mwarang’ata na Ofisa Masoko Relim Entertainment Ltd Darliana Mbedule. Mkurugenzi  Mkuu wa  Relim Entertainment Ltd Emelda Mwamanga wakionyesha waandishi wa habari baadhi...

 

9 years ago

Michuzi

MASHINDANO BAISKELI KILOMITA 115 YA RIFT VALLEY ODYSSEY YAKUZA VIPAJI VYA VIJANA

Washindi wa kwanza wa mashindano.ya baiskeli, ya  Rift Valley Odyssey  ya liyofanyika  jijini arusha  DEC 6 Mwaka huu Sophia Husseni wa kwanza (kulia) na Sophia Adson wa (pili) kutoka kulia wakiwa na Mkurugenzi wa 6degrees Simone Paine wa pili kutoka kulia yaliyo fanyika Arusha ambapo wachezaji toka ndani nan je ya nchi wameshirikai kwa takriban siku mbili kuendesha kwa umbali wa kilomita 115. Masindano ambayo yanawapa ushindi timu ya Warriors ambao wametumia masaa matano na dakika 28

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani