Madereva waendelea na Mgomo wao leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-dtMxrw0J-oQ/VUhjRb3ediI/AAAAAAAHVY8/3iNYU4Odd-c/s72-c/20150504232850.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akiwa katika majadiliano na Maafisa wa Jeshi la Polisi juu ya namna ya kuumaliza mgomo wa Madereva wa Mabasi katika stendi kuu ya Ubungo, Jijini Dar es salaam leo. Hapo wanasubiriwa viongozi wa Madereva hao.
Hali ilivyo Stendi Kuu ya Mabasi, Ubungo jijini Dar hivi sasa. hakuna basi lililoweza kuondoka siku ya leo.
Kikao cha nje kikiendelea.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kushoto) akiambatana na Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV05 May
Mgomo wa Madereva waendelea, suluhu njia panda.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam.
Madereva wa mabasi ya abiria yanayofanya safari zake mikoani na nchi jirani yamesitisha safari zake kwa madai ya kuboreshewa maslahi yao ikiwepo mikataba ya kazi, posho za safari, mishahara inayokidhi mahitaji pamoja na bima zao.
Mbali na madereva hao kugoma, safari za ndani za jiji la Dar Es Salaam pia zimesitisha safari zake kwa madai hayo na kwamba mgomo huo utaendelea hadi hapo Serikali itakapoingilia kati.
Hali ya sintofahamu imezuka katika kituo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ss37JcHDRac/VUcnD9gAfGI/AAAAAAAHVFw/OMoYwu5nkCQ/s72-c/IMG-20150504-WA0020.jpg)
MGOMO WA MADEREVA WAENDELEA KUCHUKUA SURA MPYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ss37JcHDRac/VUcnD9gAfGI/AAAAAAAHVFw/OMoYwu5nkCQ/s640/IMG-20150504-WA0020.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-e4ZuyXCKQP4/VUcnIupeqqI/AAAAAAAHVF4/LZ12JRYkr0U/s640/IMG-20150504-WA0021.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzCpHapoaBBKHYi7jT8WABl4jMl2tn7wJv7w2cMqoqRg-C8jM9*3tahu2sMfBu1oO7CdxByLjokZNQMQhfCsawuF/IMG20150504WA0004.jpg)
MADEREVA WA HAISI IGOMA BUHONGWA WAMBANA KIONGOZI WAO KUHUSU MGOMO
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-8Pns2-0qM1s/VdDHb0lqbPI/AAAAAAABUAo/RBKtMTwCuYc/s72-c/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
NAIBU KATIBU WA MADEREVA AZUNGUMZIA MGOMO WAO UNAOPANGWA KUANZA KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-8Pns2-0qM1s/VdDHb0lqbPI/AAAAAAABUAo/RBKtMTwCuYc/s640/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 May
Breaking News! Madereva ‘wasimama’ nchini, washinikiza wakutane na Wazri Mkuu Pinda kumaliza mgomo wao!
Baadhi ya madereva wa mabasi katika stendi kuu ya Mabasi yaendayo Mkoani na nchi jirani Ubungo,wakishangilia wakiwa na mabango yao yenye jumbe : “Mabomu tumeyazoea! Tanzania bila madereva haiwezekani! muda huu wakiwa wamejikusanya wakimsubiria Waziri Mkuu Mizengo Pinda afike kuongea nao kufikia suluhu (Picha na Andrew Chale, Modewji blog).
Na Andrew Chale, Modewji blog
Mgomo wa madereva umeibuka tena leo Mei 4 baada ya mabasi na magari ya mizigo kugoma tena kwa mara ya pili kwa lengo la...
10 years ago
Dewji Blog04 May
Breaking News! Madereva ‘wasimama’ nchi washinikiza wakutane na Wazri Mkuu Pinda kumaliza mgomo wao!
Baadhi ya madereva wa mabasi katika stendi kuu ya Mabasi yaendayo Mkoani na nchi jirani Ubungo,wakishangilia wakiwa na mabango yao yenye jumbe : “Mabomu tumeyazoea! Tanzania bila madereva haiwezekani! muda huu wakiwa wamejikusanya wakimsubiria Waziri Mkuu Mizengo Pinda afike kuongea nao kufikia suluhu (Picha na Andrew Chale, Modewji blog).
Na Andrew Chale, Modewji blog
Mgomo wa madereva umeibuka tena leo Mei 4 baada ya mabasi na magari ya mizigo kugoma tena kwa mara ya pili kwa lengo la...
10 years ago
VijimamboMADEREVA WA DALADALA JIJINI DAR WAFANYA MGOMO LEO
10 years ago
GPLYALIYOJIRI LEO KATIKA MGOMO WA MADEREVA WA MABASI YA ABIRIA DAR
10 years ago
GPLHALI TETE, MGOMO WA MADEREVA WAINGIA SIKU YA PILI LEO