NAIBU KATIBU WA MADEREVA AZUNGUMZIA MGOMO WAO UNAOPANGWA KUANZA KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-8Pns2-0qM1s/VdDHb0lqbPI/AAAAAAABUAo/RBKtMTwCuYc/s72-c/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
Leo Agosti 16 mwaka 2015 kulikuwa na mkutano wa madereva wa mabasi ulifanyika katika ukumbi wa Kimara resort jijini Dar es salaam na kuahamua haya yafuatayo;Kwa mujibu wa Naibu katibu mkuu wa madereva (TADU), Rashidi Saleh aliwaeleza madereva hatima ya kamati ambayo imeundwa na Waziri Mkuu kusuruhisha kero za Madereva hapa nchini.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dtMxrw0J-oQ/VUhjRb3ediI/AAAAAAAHVY8/3iNYU4Odd-c/s72-c/20150504232850.jpg)
Madereva waendelea na Mgomo wao leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-dtMxrw0J-oQ/VUhjRb3ediI/AAAAAAAHVY8/3iNYU4Odd-c/s640/20150504232850.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MMhCX9aDxMQ/VUhkOPi-sdI/AAAAAAAHVZM/kwEuqT-Desk/s640/20150504232952.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1mmyxEGkzLk/VUhk7WgOBnI/AAAAAAAHVZY/tgy8BLRxqqg/s640/20150504233505.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sOPIOGq3EYY/VUhr75g4MxI/AAAAAAAHVZw/lJaPLo6C9go/s640/20150504235023.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 May
DC wa Kinondoni, Paul Makonda azungumzia maafikiano yaliyofikiwa kumaliza mgomo wa madereva nchini
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maafikiano hayo.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maafikiano hayo.
Wanahabari wakisubiri kuchukua taarifa hiyo.
Na Dotto Mwaibale
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amesema Serikali imetimiza masharti ya madereva kwa kuunda kamati ya kushughulikia kero na matatizo ya madereva ambayo inatarajia kuanza kazi yake Ijumaa.
Hatua...
10 years ago
GPLPAUL MAKONDA AZUNGUMZIA MAAFIKIANO YALIYOFIKIWA KUMALIZA MGOMO WA MADEREVA NCHINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzCpHapoaBBKHYi7jT8WABl4jMl2tn7wJv7w2cMqoqRg-C8jM9*3tahu2sMfBu1oO7CdxByLjokZNQMQhfCsawuF/IMG20150504WA0004.jpg)
MADEREVA WA HAISI IGOMA BUHONGWA WAMBANA KIONGOZI WAO KUHUSU MGOMO
10 years ago
Dewji Blog04 May
Breaking News! Madereva ‘wasimama’ nchini, washinikiza wakutane na Wazri Mkuu Pinda kumaliza mgomo wao!
Baadhi ya madereva wa mabasi katika stendi kuu ya Mabasi yaendayo Mkoani na nchi jirani Ubungo,wakishangilia wakiwa na mabango yao yenye jumbe : “Mabomu tumeyazoea! Tanzania bila madereva haiwezekani! muda huu wakiwa wamejikusanya wakimsubiria Waziri Mkuu Mizengo Pinda afike kuongea nao kufikia suluhu (Picha na Andrew Chale, Modewji blog).
Na Andrew Chale, Modewji blog
Mgomo wa madereva umeibuka tena leo Mei 4 baada ya mabasi na magari ya mizigo kugoma tena kwa mara ya pili kwa lengo la...
10 years ago
Dewji Blog04 May
Breaking News! Madereva ‘wasimama’ nchi washinikiza wakutane na Wazri Mkuu Pinda kumaliza mgomo wao!
Baadhi ya madereva wa mabasi katika stendi kuu ya Mabasi yaendayo Mkoani na nchi jirani Ubungo,wakishangilia wakiwa na mabango yao yenye jumbe : “Mabomu tumeyazoea! Tanzania bila madereva haiwezekani! muda huu wakiwa wamejikusanya wakimsubiria Waziri Mkuu Mizengo Pinda afike kuongea nao kufikia suluhu (Picha na Andrew Chale, Modewji blog).
Na Andrew Chale, Modewji blog
Mgomo wa madereva umeibuka tena leo Mei 4 baada ya mabasi na magari ya mizigo kugoma tena kwa mara ya pili kwa lengo la...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s72-c/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
CHAMA CHA MADEREVA KIMETANGAZA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUANZIA AGOSTI TISA MWAKA HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s640/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J9BaqZgBrWY/VW7tblmJJgI/AAAAAAAHbpI/qG3s5Ucl5uY/s72-c/_MG_5587.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA KUANZA ZIARA KESHO KUELEKEA KAGERA, GEITA ,MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-J9BaqZgBrWY/VW7tblmJJgI/AAAAAAAHbpI/qG3s5Ucl5uY/s640/_MG_5587.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-O_FWmutlZP0/VW7tBoHj8dI/AAAAAAAHbpA/8-l9Znrta_U/s640/_MG_5616.jpg)
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana anatarajia...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VboRZ7JFpTE/U2njcX3_SSI/AAAAAAAAmHk/hJh9oYik4PI/s72-c/SKU+26.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA KUANZA ZIARA YA SIKU 26 KESHO, MIKOA YA TABORA, SINGIDA NA MANYARA
*NI YA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM *KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI
* KUKAGUA MAANDALIZI YA CHAMA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://2.bp.blogspot.com/-VboRZ7JFpTE/U2njcX3_SSI/AAAAAAAAmHk/hJh9oYik4PI/s1600/SKU+26.jpg)