Usafiri wawatesa abiria wa Moshi, Arusha
>Uhaba wa mabasi yanayokwenda mikoa ya Kilimanjaro na Arusha umeendelea kuwatesa abiria wa mikoa hiyo hali iliyowalizimu wagombee mabasi ya usafiri wa jijini hapa maarufu kama ‘daladala’ ambayo yameruhusiwa kufanya safari katika mikoa hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Abiria Arusha-Moshi ‘waonja’ joto ya jiwe
Abiria wa mabasi yatokayo Arusha hadi Moshi, mkoani Kilimanjaro, jana asubuhi walikwama kuendelea na safari kutokana na mgomo wa madereva waliokuwa wakilalamikia kukamatwa bila utaratibu na maofisa wa kikosi cha Usalama Barabarani.
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Uda zaruhusiwa kusafirisha abiria wa Moshi, Arusha
Hali tete ya usafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea mikoa ya Arusha na Kilimanjaro imeilazimu Mamlaka ya Usafirishaji wa Majini na Nchi kavu (Sumatra) kuomba mabasi 15 ya Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda) ili kukabiliana na tatizo hilo.
11 years ago
GPL
ABIRIA WANUSURIKA KIFO WAKISUBIRI USAFIRI
Gari aina ya Toyota Raum lenye namba za usajili T483 CMU likiwa eneo la kituo cha mabasi.…
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Usafiri wa meli waendelea kutesa abiria Mwanza, Kagera
 Usafiri wa meli kati ya Mwanza na Kagera, upo shakani kutokana na kutokamilika mapema matengenezo ya Meli ya MV Serengeti, inayochukua nafasi ya MV Victoria iliyosimamisha safari kutokana na ubovu.
9 years ago
Michuzi
MADEREVA WATAKAOZIDISHA ABIRIA KWENYE VYOMBO VYA USAFIRI KUKIONA


Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiJESHI la Polisi Nchini limewatahadharisha madereva watakaozidisha...
10 years ago
Vijimambo
USAFIRI UNAOTUMIKA KUSAFIRISHA ABIRIA MKOANI GEITA ENEO LA BUSERESERE NI HATARISHI


10 years ago
Michuzi.jpg)
MGOMO WA MABASI,,,,ABIRIA MJINI MOSHI WAKWAMA STENDI, WAIGEUZA UKUMBI WA SINEMA...
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
Balozi Seif Ali Idd akagua ujenzi wa Jengo jipya la Abiria wa usafiri wa Anga katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar

11 years ago
Mwananchi19 Dec
Abiria 213 wa Ethiopian Airlines wanusurika kifo Arusha
Abiria 213 waliokuwa wakisafiri na ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia jana walinusurika kifo baada ya ndege hiyo kutua kwa dharura katika uwanja mdogo wa Arusha.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania