Uda zaruhusiwa kusafirisha abiria wa Moshi, Arusha
Hali tete ya usafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea mikoa ya Arusha na Kilimanjaro imeilazimu Mamlaka ya Usafirishaji wa Majini na Nchi kavu (Sumatra) kuomba mabasi 15 ya Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda) ili kukabiliana na tatizo hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Daladala sasa zaruhusiwa kusafirisha abiria mikoani
Mamlaka ya Usafirishaji wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) imeruhusu mabasi ya usafiri jijini Dar es Salaam, maarufu kama daladala, kufanya safari ndefu kwenda mikoa ya kaskazini kutokana na mahitaji makubwa ya huduma hiyo katika kipindi cha sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya.
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Usafiri wawatesa abiria wa Moshi, Arusha
>Uhaba wa mabasi yanayokwenda mikoa ya Kilimanjaro na Arusha umeendelea kuwatesa abiria wa mikoa hiyo hali iliyowalizimu wagombee mabasi ya usafiri wa jijini hapa maarufu kama ‘daladala’ ambayo yameruhusiwa kufanya safari katika mikoa hiyo.
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Abiria Arusha-Moshi ‘waonja’ joto ya jiwe
Abiria wa mabasi yatokayo Arusha hadi Moshi, mkoani Kilimanjaro, jana asubuhi walikwama kuendelea na safari kutokana na mgomo wa madereva waliokuwa wakilalamikia kukamatwa bila utaratibu na maofisa wa kikosi cha Usalama Barabarani.
11 years ago
Michuzimadereva wa daladala jijini Mbeya wagoma kusafirisha abiria leo
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wPruQ1XhYC4/VZItNKsj1gI/AAAAAAAAj_w/zxsUxmQGFmM/s72-c/3.jpg)
USAFIRI UNAOTUMIKA KUSAFIRISHA ABIRIA MKOANI GEITA ENEO LA BUSERESERE NI HATARISHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-wPruQ1XhYC4/VZItNKsj1gI/AAAAAAAAj_w/zxsUxmQGFmM/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ecOpT6YwZ2E/VZItOcoKO9I/AAAAAAAAj_4/slyrUx6EJT8/s640/5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HJc48Sih2kA/VUe3--Dc-iI/AAAAAAAAO6A/0b7NObboxEo/s72-c/E86A6705%2B(800x533).jpg)
MGOMO WA MABASI,,,,ABIRIA MJINI MOSHI WAKWAMA STENDI, WAIGEUZA UKUMBI WA SINEMA...
![](http://3.bp.blogspot.com/-HJc48Sih2kA/VUe3--Dc-iI/AAAAAAAAO6A/0b7NObboxEo/s640/E86A6705%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2IMmISHls6c/VUe4UTuXpCI/AAAAAAAAO7Y/xS-yMmsETVE/s640/E86A6737%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5h-iEuXdUDU/VUe4W9P4rOI/AAAAAAAAO7g/pdMX5WkmF28/s640/E86A6744%2B(800x533).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5iLVUzH08nk/VUe4XJn7BXI/AAAAAAAAO7k/31AOA-nP7ew/s640/E86A6749%2B(800x533).jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Abiria 213 wa Ethiopian Airlines wanusurika kifo Arusha
Abiria 213 waliokuwa wakisafiri na ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia jana walinusurika kifo baada ya ndege hiyo kutua kwa dharura katika uwanja mdogo wa Arusha.
9 years ago
BBCSwahili01 Jan
Familia Uchina zaruhusiwa watoto wawili
Familia nchini Uchina sasa zimeruhusiwa kupata watoto wawili baada ya kuanza kutekelezwa kwa sera mpya kuhusu upangaji uzazi.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-9mBmAgEU44M/Xn8dTREj-gI/AAAAAAAC17w/xTWcvu_j3686Q5OqvJxc4Uyfkt1h9XM_ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ARUSHA YAZINDUA ZOEZI LA KUPULIZIA DAWA MABASI YA ABIRIA ILI KUKAPILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9mBmAgEU44M/Xn8dTREj-gI/AAAAAAAC17w/xTWcvu_j3686Q5OqvJxc4Uyfkt1h9XM_ACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Shughuli ya kuyapulizia dawa imeanza jana Ijumaa Machi 27,2020 na kuongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Fabian Daqarro.
Mhe.Gabriel Daqaro amesema kuwa operesheni hiyo ya upulizaji wa dawa utakuwa endelevu na utashirikisha wadau ambao tayari wameanza kutoa michago yao kuwezesha zoezi hilo.
Aidha Daqarro amewataka wananchi kutokuwa na taharuki na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania