Daladala sasa zaruhusiwa kusafirisha abiria mikoani
Mamlaka ya Usafirishaji wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) imeruhusu mabasi ya usafiri jijini Dar es Salaam, maarufu kama daladala, kufanya safari ndefu kwenda mikoa ya kaskazini kutokana na mahitaji makubwa ya huduma hiyo katika kipindi cha sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Uda zaruhusiwa kusafirisha abiria wa Moshi, Arusha
11 years ago
Michuzimadereva wa daladala jijini Mbeya wagoma kusafirisha abiria leo
10 years ago
MichuziChama Cha Kutetea Abiria (CHAKUA) YAITAKA SUMATRA KUSHUSHA NAULI KWA DALADALA NA MABASI YA MIKOANI
Na Chalila Kibuda.
Chama Cha Kutetea Abiria (Chakua) kimesema kuwa kutokana na bei ya mafuta kushuka nchini nauli ya daladala na nauli ya mabasi mikoani inatakiwa kushuka kwa asilimia...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6OpekgTEGXQ/VRvHRvGdRyI/AAAAAAAHOvI/UyBkPP37BAY/s72-c/IMG_9452.jpg)
MADEREVA WA DALADALA,MALORI, MABASI YA MIKOANI WATAKIWA KURUDI DARASANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-6OpekgTEGXQ/VRvHRvGdRyI/AAAAAAAHOvI/UyBkPP37BAY/s1600/IMG_9452.jpg)
KIKOSI cha polisi usalama barabarani kimewataka madereva wa mabasi ,magari makubwa pamoja na daladala kwenda kusoma ili kuongeza ujuzi wa kazi zao kutokana na kuwepo kwa teknolojia za kisasa katika magari hayo.
Hayo ameyasema,Ofisa Mnadhimu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Johansen Kahatano wakati wa semina ya kuwajengea uwezo madereva katika kukabiliana na ajali za barabarani iliyofanyika jana katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
Alisema...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wPruQ1XhYC4/VZItNKsj1gI/AAAAAAAAj_w/zxsUxmQGFmM/s72-c/3.jpg)
USAFIRI UNAOTUMIKA KUSAFIRISHA ABIRIA MKOANI GEITA ENEO LA BUSERESERE NI HATARISHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-wPruQ1XhYC4/VZItNKsj1gI/AAAAAAAAj_w/zxsUxmQGFmM/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ecOpT6YwZ2E/VZItOcoKO9I/AAAAAAAAj_4/slyrUx6EJT8/s640/5.jpg)
10 years ago
Habarileo23 Oct
Madereva daladala, abiria Dar walalamika
BAADHI ya abiria na madereva wa daladala katika eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam wamelalamikia kutowekwa vibao vya kuelekeza kufungwa kwa vituo vya mabasi vilivyokuwa vikitumika eneo la Ubungo baada ya kuhamishiwa kituo kipya cha mabasi cha Simu 2000.
11 years ago
Mwananchi14 May
Abiria watakiwa kukomesha kiburi daladala
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uCeLa4uwiH-XpdP6zS5IurWwvxvEz0PcLiTx2YmOABz78gA9KzsBQTOmKRntG3xyXtgil3f*B99vnTgYoGECZazjpNel2bNS/breakingnews.gif)
AJALI YA DALADALA YAUA ABIRIA MKWAJUNI, DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Mj0mxl-gtCs/VPjQaJ-DqoI/AAAAAAAHH-k/-hYnM44cujc/s72-c/DSCF5554.jpg)
ABIRIA WANAPOAMUA KUPANDA DALADALA KUPITIA MLANGO WA DEREVA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mj0mxl-gtCs/VPjQaJ-DqoI/AAAAAAAHH-k/-hYnM44cujc/s1600/DSCF5554.jpg)