madereva wa daladala jijini Mbeya wagoma kusafirisha abiria leo
Wakazi wa Jiji la Mbeya leo wamejikuta wakiwa katika mazingira magumu baada ya mgomo wa mabasi madogo wa kutopakia abiria kutoka stendi kuu jijini humo,wakitaka wabadilishiwe ruti au kuongezewa nauli kwa sababu ya ruti hiyo inawapa mzungunguko mkubwa sana kulinganisha na nauli wanayoichaji kwa abiria hao.hali hiyo imepelekea abiria mbali mbali wa jiji hilo kupanga kwenye pikup na kulipa nauli ile ile wanayolipa kwenye daladala kama ionekanavyo katika picha mbali mbali zilizopigwa na Mpiga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMADEREVA DALADALA WAGOMA KUTOA HUDUMA JIJINI ARUSHA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9zxJue1SO3c/VL9c4ekOR1I/AAAAAAAG-m0/qF8caV9ZbXc/s72-c/4.jpg)
DALADALA WAGOMA KUTOA HUDUMA JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-9zxJue1SO3c/VL9c4ekOR1I/AAAAAAAG-m0/qF8caV9ZbXc/s1600/4.jpg)
Wakazi wa maeneo mengi ya jiji hilo wanalazimika kutembea kwa miguu,huku wengine wenye uwezo kidogo wakitumia usafiri wa bodaboda ili kuwahi katika shughuli zao za kuendelea kujitafutia chochote.Askari Polisi na migambo wamesambaa kona za njia zote jijini Arusha.
Route zenye...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Daladala sasa zaruhusiwa kusafirisha abiria mikoani
11 years ago
Mwananchi20 May
Madereva wa daladala za Tegeta wagoma
10 years ago
VijimamboMADEREVA WA DALADALA JIJINI DAR WAFANYA MGOMO LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MADEREVA DALADALA WAGOMA KWENDA KITUO KIPYA
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Madereva wa Daladala Moro wagoma kwa saa saba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*VuOF18pjA2C*7MGWdBfxzjNNHFh4J*7dGTNWXacY1zgI20WPWZLbTdoj*I1ot5ZBqtKU4vqhyGhna2o6bDodR5/BREAKINGNEWS.gif)
KIMENUKA MORO, MADEREVA DALADALA WAGOMA KUINGIA BARABARANI
10 years ago
Habarileo23 Oct
Madereva daladala, abiria Dar walalamika
BAADHI ya abiria na madereva wa daladala katika eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam wamelalamikia kutowekwa vibao vya kuelekeza kufungwa kwa vituo vya mabasi vilivyokuwa vikitumika eneo la Ubungo baada ya kuhamishiwa kituo kipya cha mabasi cha Simu 2000.