Abiria Arusha-Moshi ‘waonja’ joto ya jiwe
Abiria wa mabasi yatokayo Arusha hadi Moshi, mkoani Kilimanjaro, jana asubuhi walikwama kuendelea na safari kutokana na mgomo wa madereva waliokuwa wakilalamikia kukamatwa bila utaratibu na maofisa wa kikosi cha Usalama Barabarani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Usafiri wawatesa abiria wa Moshi, Arusha
>Uhaba wa mabasi yanayokwenda mikoa ya Kilimanjaro na Arusha umeendelea kuwatesa abiria wa mikoa hiyo hali iliyowalizimu wagombee mabasi ya usafiri wa jijini hapa maarufu kama ‘daladala’ ambayo yameruhusiwa kufanya safari katika mikoa hiyo.
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Uda zaruhusiwa kusafirisha abiria wa Moshi, Arusha
Hali tete ya usafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea mikoa ya Arusha na Kilimanjaro imeilazimu Mamlaka ya Usafirishaji wa Majini na Nchi kavu (Sumatra) kuomba mabasi 15 ya Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda) ili kukabiliana na tatizo hilo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kXkjqGyOlM4/XoNCUqFvUuI/AAAAAAALlrw/oVsNM8wVXhIgnkOtZ3mzQbubBwsXpCHYQCLcBGAsYHQ/s72-c/daladala-dar-es-salaam.jpg)
DALADALA DAR WAANZA KUBEBA ABIRIA KWA MTINDO WA 'LEVEL SEAT'... WAKAZI WAONJA RAHA NA KARAHA YAKE.
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
MAGARI ya usafiri maarufu kwa jina la Daladala leo yameanza kubeba abiri kwa idadi ya viti 'Level Seat' ikiwa ni mkakati wa kupambana na kuenea kwa virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19.
Utaratibu huo umeanza leo Machi 31 mwaka huu wa 2020 na hivyo kwenye vituo mbalimbali vya daladala mamia ya abiria ya wakazi wa Jiji hilo wameonekana wakiwa kituoni kwani daladala nyingi zilikuwa zikifika vituoni yakiwa yameshajaa abiria kutokana na utaratibu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hf-ryTpxXBPpHcssVTbTPihTLQGovz3FcR3VCl6HNN0ioUqLUKtKPonvvMQUkdRKSriVZg4MSoHBr7QcagNTYwpwemeposi2/1mbeyacity2.jpg)
MBEYA CITY YAONJA JOTO YA JIWE, YALALA 1-0 KWA YANGA
TIMU ya Mbeya City leo imepokea kipigo cha kwanza katika Ligi Kuu ya Bara baada ya kulala kwa bao 1-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo uliopigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Bao pekee la Yanga limewekwa kimiani na Mrisho Ngassa katika dakika ya 16 ya mchezo. VIKOSI KATIKA MECHI HIYO VILIKUWA HIVI: YANGA Dida, Mbuyu Twite, Oscar Joshua, Cannavaro, Kelvin Yondani, Domayo, Simon Msuva, Haruna Niyonzima, Didier Kavumbagu,...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BpIzw8WluWo/VhfUvk5RJbI/AAAAAAAH-Mw/XT2SASeYpAI/s72-c/DSC_8049.jpg)
UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI JENGO LA ABIRIA TERMINAL II ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-BpIzw8WluWo/VhfUvk5RJbI/AAAAAAAH-Mw/XT2SASeYpAI/s640/DSC_8049.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3DS1AJ-liiE/VhfUvuQiPcI/AAAAAAAH-M4/Nf__3ousiX4/s640/DSC_8057.jpg)
10 years ago
Vijimambo13 Nov
Jiwe la msingi la jengo la NSSF Moshi kuwekwa leo
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HJc48Sih2kA/VUe3--Dc-iI/AAAAAAAAO6A/0b7NObboxEo/s72-c/E86A6705%2B(800x533).jpg)
MGOMO WA MABASI,,,,ABIRIA MJINI MOSHI WAKWAMA STENDI, WAIGEUZA UKUMBI WA SINEMA...
![](http://3.bp.blogspot.com/-HJc48Sih2kA/VUe3--Dc-iI/AAAAAAAAO6A/0b7NObboxEo/s640/E86A6705%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2IMmISHls6c/VUe4UTuXpCI/AAAAAAAAO7Y/xS-yMmsETVE/s640/E86A6737%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5h-iEuXdUDU/VUe4W9P4rOI/AAAAAAAAO7g/pdMX5WkmF28/s640/E86A6744%2B(800x533).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5iLVUzH08nk/VUe4XJn7BXI/AAAAAAAAO7k/31AOA-nP7ew/s640/E86A6749%2B(800x533).jpg)
9 years ago
Mwananchi26 Aug
UKWELI UTAKUWEKA HURU : Jiwe walilolikataa CCM limekuwa jiwe kuu Chadema
Injili inatufundisha kuwa enzi ya Yesu Kristo, baadhi ya watu walimwona ni kama kichaa na mvuruga amani katika jamii.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Jc1lJMhk750/VboqD25RJdI/AAAAAAAAtfM/EpVvSjXGxWo/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIA-MERERANI, JIJINI ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Jc1lJMhk750/VboqD25RJdI/AAAAAAAAtfM/EpVvSjXGxWo/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-y7fnOnJmtMU/VboqGt0PzGI/AAAAAAAAtf0/2P16AM1tNFA/s640/2B.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania