Dkt. Abbasi: Meli, Chelezo vya Bilioni 153 Vinakamilika Mwanza
![](https://1.bp.blogspot.com/-Liv8vTorV_I/Xt9_7eiuuLI/AAAAAAALtKs/I9oQiAkCOlEmFGZGgGU-InUo6c7O8oHGwCLcBGAsYHQ/s72-c/6.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali leo ametembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa meli mpya, chelezo na ukarabati wa meli mbili za New Victoria na MV Mwanza (zamani Butiama) na kuwahakikishia watanzania miradi yote hii itakamilika kwa wakati.
Akiwa kwenye maeneo ya ujenzi jijini Mwanza leo (tarehe 8.06.2020) Dkt. Abbasi amesema ujenzi wa meli hizo na Chelezo ni uthibitisho kuwa Serikali imetimiza wajibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Liv8vTorV_I/Xt9_7eiuuLI/AAAAAAALtKs/I9oQiAkCOlEmFGZGgGU-InUo6c7O8oHGwCLcBGAsYHQ/s72-c/6.jpg)
DK ABBAS: MELI, CHELEZO VYA BIL. 153 VINAKAMILIKA HIVI KARIBUNI MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Liv8vTorV_I/Xt9_7eiuuLI/AAAAAAALtKs/I9oQiAkCOlEmFGZGgGU-InUo6c7O8oHGwCLcBGAsYHQ/s400/6.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali leo ametembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa meli mpya, chelezo na ukarabati wa meli mbili za New Victoria na MV Mwanza (zamani Butiama) na kuwahakikishia watanzania miradi yote hii itakamilika kwa wakati.
Akiwa kwenye maeneo ya ujenzi jijini Mwanza leo (tarehe 8.06.2020) Dkt. Abbasi amesema ujenzi wa meli hizo na Chelezo ni uthibitisho kuwa Serikali imetimiza wajibu...
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU CHAMURIHO ARIDHISHWA NA UJENZI WA CHELEZO NA MELI MPYA MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dvsfAwmhW8w/XoHfR_OCFwI/AAAAAAALlhE/BZP6kLl7gtk868HaGSjCDdIMszIj4KuxwCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2BNO%2B2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U2Z9H3yTpqk/XvNQGaLwI8I/AAAAAAALvQ4/xTB_dw3iiGsZsFJA25NSn2WAyDoYjABhgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-1-9.jpg)
MENEJIMENTI SEKTA YA UCHUKUZI YARIDHISHWA NA UJENZI MELI MPYA, CHELEZO NA UKARABATI WA MV. VIKTORIA NA MV. BUTIAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-U2Z9H3yTpqk/XvNQGaLwI8I/AAAAAAALvQ4/xTB_dw3iiGsZsFJA25NSn2WAyDoYjABhgCLcBGAsYHQ/s640/1-1-9.jpg)
Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya sehemu ya chini ya meli Mpya ya MV Mwanza “Hapa Kazi Tu” inayojengwa katika bandari ya Mwanza Kusini, jijini Mwanza. Ujenzi wa Meli hiyo unatarajiwa kukamilika mapema mwaka 2021 na itagharamu zaidi ya kiasi cha shilingi bilioni 80.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-32.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-33.jpg)
5 years ago
Michuzi“Nchi Yetu iko Salama dhidi ya Corona†– Dkt. Abbasi
Serikali imesema nchi iko salama dhidi ya ugonjwa wa CORONA na tayari imechukua hatua kadhaa za tahadhari ili kukabiliana na maambukizi ya ugonjwa huo hapa nchini.
Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari leo jijini Dodoma, Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa, Serikali imeendelea kufanya jitihada mbalimbali za kuhakikisha kwamba ugonjwa huo sio tu hauingii...
5 years ago
MichuziDkt. Abbasi: Watakaoshindwa Kufuata Mwongozo Afya Michezoni Watachukuliwa Hatua Kali
Akiwa jijini Mwanza jana Dkt. Abbasi aliwaeleza wadau wa michezo kuwa Serikali imechukua uamuzi mgumu wa kufungua michezo yote nchini na tayari ratiba za mechi mbalimbali katika Ligi Kuu ya Soka Nchini imetoka na timu...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Sh9 bilioni kutengeneza meli mpya
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Sep
Meli ya matibabu kuzinduliwa Mwanza
NA MWANDISHI WETU, MWANZA
MRADI wa meli ya huduma za matibabu, ulio chini ya Dayosisi ya Africa Inland Church Tanzania (AICT), mkoani hapa, unatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni.
Askofu Mkuu Dayosisi ya Geita, Musa Magwesela, alisema meli hiyo inatarajia kutoa huduma za matibabu katika visiwa mbalimbali vilivyopo ndani ya ziwa Victoria na mikoa ya Geita, Kagera na Mwanza.
Alisema Ziwa Victoria lina takribani visiwa 90 huku, vikikisiwa kuwa na wakazi wapatao 450,000.
“Kupitia meli hiyo,...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Wafanyakazi wanusurika ajali ya meli Ziwa Victoria Mwanza
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Usafiri wa meli waendelea kutesa abiria Mwanza, Kagera