Wafanyakazi wanusurika ajali ya meli Ziwa Victoria Mwanza
Wafanyakazi 10 wa meli ya F. Matala mali ya Kampuni ya Mkombozi Fishing Marine and Transport, wamenusurika kufa baada ya meli hiyo kuzama Ziwa Victoria usiku wa kuamkia jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Jk utatekeleza lini ahadi ya meli Ziwa Victoria
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Meli FB Matara iliyozama Ziwa Victoria yaibuliwa
10 years ago
GPLMNYIKA AFUNIKA MWANZA CHADEMA IKIZINDUA KANDA YA ZIWA VICTORIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT0YNlownVfzPeHDaJcFSf37FxOancqEvzO8RJH6RdBdWz6bBzAZ9yNQ5cSCT42-sB08GMku259ZQ8eiRkYhIYPx/DSC012371.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Maharusi wanusurika kifo Ziwa Tanganyika
WATU zaidi ya 64 wakazi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, wamesadikiwa kufa maji Ziwa Tanganyika baada ya mitumbwi waliokuwa wakisafiria kuzama majini kutokana na uzito uliosababishwa na kuzidisha abiria. Akifafanua...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uxTQBfhMhmw/Xvg4dmIYElI/AAAAAAALvuw/HXeGwjujqvQOCUT4WrkMsCkkZUFqIl-lACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.44%2BAM.jpeg)
MELI YA MV VICTORIA-HAPA KAZI TU YAANZA SAFARI YAKE MAJARIBIO
![](https://1.bp.blogspot.com/-uxTQBfhMhmw/Xvg4dmIYElI/AAAAAAALvuw/HXeGwjujqvQOCUT4WrkMsCkkZUFqIl-lACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.44%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bchG91fxRno/Xvg4dis2q2I/AAAAAAALvu0/cnyVJYOyPrgF-ymMjCEbw1rVolNtcwQYQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.45%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rdQSVMHofVw/Xvg4diuuVCI/AAAAAAALvu4/MlPZ-GSrwbYyVj1Evorx7v-9TlbhaALAQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.46%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QsUu9HnElow/Xvg4erUn_qI/AAAAAAALvu8/_h3-WIpND6QEX7xkKltCJUnWOfIDg0PjACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.46%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3BmnuNBf5Q8/Xvg4e6b_-eI/AAAAAAALvvA/SL6jV2FS4l0zMXHgzW3XaQdRlpTvjjJ_QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.47%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-LyOPIDPeog0/Xvg4fEXi1VI/AAAAAAALvvE/w4wE4S9x5MIO8-CSJxjZAlci1BA89eWqQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.48%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ualu4xieKNM/Xvg4f9kHDCI/AAAAAAALvvI/nv3jKYsXtvwMgg89QCinfsdsxYapYYR-ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.49%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ekIcAAsjCU0/Xvg4gDZPwMI/AAAAAAALvvM/VLPQjAL1pKc0E3iR0PkE0dp2rosZE7EAgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.50%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-PiXVdY9897o/Xvg4gImwRsI/AAAAAAALvvQ/O93FygYmuPot60xWjjYhXLVRKG8xWI7qQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.50%2BAM.jpeg)
10 years ago
VijimamboMAMLAKA YA BANDARI KUJENGA MELI ZIWA NYASA
Kufuatia adha ya usafiri wa majini inayowakabili wakazi waishio katika fukwe za Ziwa Nyasa, Mamlaka ya Bandari Tanzania kupitia kituo chake cha Kyela ipo mbioni kujenga meli ya abiria na mizigo ili kuwahudumia wakazi hao.
Hayo yaliwekwa bayana na Mkuu wa Bandari ya Kyela, Bw. Percival Ntetema wakati timu wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Tume ya Mipango ilipotembelea na kukagua bandari za Itungi na Kiwira zilizopo wilaya ya Kyela, mkoani Mbeya.
Bw....
11 years ago
Habarileo28 May
Watu watano wafa Ziwa Victoria
WATU watano wamekufa maji baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama ndani ya Ziwa Victoria.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Uchafuzi wa mazingira waathiri Ziwa Victoria
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida upatikanaji wa samaki katika Ziwa Victoria umeshuka kutoka tani 750,000 hadi kufikia wastani wa tani 180,000. Hii inatokana na uchafuzi mkubwa wa mazingira. Uchafuzi wa...