DK ABBAS: MELI, CHELEZO VYA BIL. 153 VINAKAMILIKA HIVI KARIBUNI MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Liv8vTorV_I/Xt9_7eiuuLI/AAAAAAALtKs/I9oQiAkCOlEmFGZGgGU-InUo6c7O8oHGwCLcBGAsYHQ/s72-c/6.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali leo ametembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa meli mpya, chelezo na ukarabati wa meli mbili za New Victoria na MV Mwanza (zamani Butiama) na kuwahakikishia watanzania miradi yote hii itakamilika kwa wakati.
Akiwa kwenye maeneo ya ujenzi jijini Mwanza leo (tarehe 8.06.2020) Dkt. Abbasi amesema ujenzi wa meli hizo na Chelezo ni uthibitisho kuwa Serikali imetimiza wajibu...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Liv8vTorV_I/Xt9_7eiuuLI/AAAAAAALtKs/I9oQiAkCOlEmFGZGgGU-InUo6c7O8oHGwCLcBGAsYHQ/s72-c/6.jpg)
Dkt. Abbasi: Meli, Chelezo vya Bilioni 153 Vinakamilika Mwanza
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali leo ametembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa meli mpya, chelezo na ukarabati wa meli mbili za New Victoria na MV Mwanza (zamani Butiama) na kuwahakikishia watanzania miradi yote hii itakamilika kwa wakati.
Akiwa kwenye maeneo ya ujenzi jijini Mwanza leo (tarehe 8.06.2020) Dkt. Abbasi amesema ujenzi wa meli hizo na Chelezo ni uthibitisho kuwa Serikali imetimiza wajibu...
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU CHAMURIHO ARIDHISHWA NA UJENZI WA CHELEZO NA MELI MPYA MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dvsfAwmhW8w/XoHfR_OCFwI/AAAAAAALlhE/BZP6kLl7gtk868HaGSjCDdIMszIj4KuxwCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2BNO%2B2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U2Z9H3yTpqk/XvNQGaLwI8I/AAAAAAALvQ4/xTB_dw3iiGsZsFJA25NSn2WAyDoYjABhgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-1-9.jpg)
MENEJIMENTI SEKTA YA UCHUKUZI YARIDHISHWA NA UJENZI MELI MPYA, CHELEZO NA UKARABATI WA MV. VIKTORIA NA MV. BUTIAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-U2Z9H3yTpqk/XvNQGaLwI8I/AAAAAAALvQ4/xTB_dw3iiGsZsFJA25NSn2WAyDoYjABhgCLcBGAsYHQ/s640/1-1-9.jpg)
Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya sehemu ya chini ya meli Mpya ya MV Mwanza “Hapa Kazi Tu” inayojengwa katika bandari ya Mwanza Kusini, jijini Mwanza. Ujenzi wa Meli hiyo unatarajiwa kukamilika mapema mwaka 2021 na itagharamu zaidi ya kiasi cha shilingi bilioni 80.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-32.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-33.jpg)
9 years ago
Michuzi02 Nov
SHINDANO KUBWA LA KUSAKA VIPAJI VYA KUCHEZEA MPIRA 'FREESTYLE FOOTBALL CHAMPIONSHIP' KUANZA HIVI KARIBUNI
![IMG_20151022_190217](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/IMG_20151022_190217.jpg)
Tanzania Freestyle football championship (TFFC2016) ambalo ni shindano la kutafuta/kusaka vipaji vya kuchezea mpira yaani freestyle soccer/Freestyle Football wengi hupenda kuita hivyo ambalo linatarajiwa kuendeshwa kama vile mashindano mengine ya kutafuta vipaji kwa njia mbalimbali ikiwemo ile ya TV show.Waweza wasiliana nao kupitia anuani hapa +255 654 955 825/ +255 655 049 647
![IMG_20151010_014924](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/IMG_20151010_014924.jpg)
![IMG_20151010_022504](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/IMG_20151010_022504.jpg)
10 years ago
Bongo Movies01 May
9 years ago
MichuziPROF. OLE GABRIEL AVIPONGEZA VYOMBO VYA HABARI KWA KAZI KUBWA WALIYOIFANYA YA KUANDIKA HABARI ZA UCHAGUZI ULIOFANYIKA HIVI KARIBUNI
Vyombo vya habari nchini vimepongezwa kwa kazi kubwa waliyoifanya ya kutoa taarifa kwa wananchi wakati wa uchaguzi mkuu uliofanyika mwishoni mwa mwezi wa 10 mwaka huu.
Pongezi hizo zimetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel wakati akiongea na viongozi wa menejimenti ya wizara na taasisi zake kwenye kikao cha kazi kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Prof. Gabriel alisema kipindi cha uchaguzi vyombo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PSdazjhh3hw/Xt24_T-tSEI/AAAAAAALs9g/nNgL_kN63TAAhyaAVdOTnfs_jjiZB0R7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200607-WA0294.jpg)
DK. ABBAS ATEMBELEA CHUO CHA MICHEZO MALYA MKOANI MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PSdazjhh3hw/Xt24_T-tSEI/AAAAAAALs9g/nNgL_kN63TAAhyaAVdOTnfs_jjiZB0R7wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200607-WA0294.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG-20200607-WA0293.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Hassan Abbas akiwa katika ziara ya kikazi wakati alipotembelea chuo Cha michezo Cha Malya mkoani Mwanza leo kulia ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycO6aq347ylup3Q4mV6LDTORPMdK7Y9*sG9cMeuwrrV0SFiX4lQGKc459axZAaskQlvPgKgtsczOa3NhPXln4tZk/masogandsitti.gif?width=650)
MASOGANGE SIRUDI BONGO HIVI KARIBUNI!
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HMhJg9wh6js/VXcJsSisOBI/AAAAAAAHdY8/uPC4wTw-zFA/s72-c/20150609040915.jpg)
Kampeni ya #KuraDili2015 kuaza hivi karibuni
![](http://3.bp.blogspot.com/-HMhJg9wh6js/VXcJsSisOBI/AAAAAAAHdY8/uPC4wTw-zFA/s640/20150609040915.jpg)