Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meli ya Kikwete kukamilika 2016

Siku kama ya leo mwaka 1996, ilikuwa ni vilio kila kona ya nchi, lakini Kanda ya Ziwa iliathirika zaidi na kuzama kwa meli ya Mv Bukoba na kuteketeza mamia ya wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kampasi mpya MUHAS kukamilika Juni 2016

UJENZI wa Kampasi Mpya ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) unaoendelea katika eneo la Mloganzila sambamba na ujenzi wa hospitali ya kutoa huduma na kufundishia kwa vitendo unaotarajiwa kukamilika Juni mwaka 2016.

 

10 years ago

Habarileo

Muhongo: Ujenzi njia ya umeme kilovoti 400 kukamilika 2016

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoWAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji umeme wa msongo mkubwa, kilovoti 400 itakamilika pasipo shaka ifikapo June 2016.

 

10 years ago

Mwananchi

Ahadi ya Meli ya Kikwete yamtoa jasho Kinana

>Ahadi ya Meli mpya katika Ziwa Victoria iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete imegeuka mwiba kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ambaye aliulizwa maswali magumu na wananchi yaliyomfanya ashindwe kuyatolea majibu ya uhakika.

 

10 years ago

Mtanzania

Rais Kikwete azindua meli za vita Dar

Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete, amezindua na kuidhinisha rasmi matumizi ya meli mbili za vita ambazo ni P 77 Mwitongo na P 78 Msoga na kusema huo ni mwanzo wa kutokomeza uharamia na wizi wa rasilimali katika eneo la Bahari ya Hindi.
Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa meli hizo jana katika kambi ya Jeshi la Wanamaji (NAVY), iliyopo Kigamboni jijini Dar es Salaam, Rais Kikwete alisema zimepatikana wakati mwafaka ambapo...

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete apokea meli mbili za kivita kutoka China

 Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amepokea meli mbili za kivita kutoka China kwa ajili ya Jeshi la Wanamaji (Navy), huku akiahidi kuongeza nyingine kabla ya kumaliza muda wake wa uongozi.

 

10 years ago

Michuzi

AMIRI JESHI MKUU NA RAIS WA TANZANIA DKT. JAKAYA KIKWETE AZINDUA MELI VITA ZA JESHI LA WANAMAJI


1Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa amri kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 20152Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mara baada ya kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 201534Amiri Jeshi...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AZINDUA MELI VITA MBILI ZA KIKOSI CHA WANAMAJI CHA JWTZ JIJINI DAR ES SALAAM LEO


Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa amri kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mara baada ya kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015
Amiri Jeshi...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AZINDUA MELI VITA MBILI ZA KIKOSI CHA WANAMAJI CHA JWTZ JIJINI DAR ES SALAAM LEO‏

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa amri kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mara baada ya kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi… ...

 

9 years ago

Dewji Blog

TEEP 2016 – 2nd Annual Tony Elumelu Entrepreneurship Programme Round Launches 1st January 2016

0E1A0836

Mr. Tony Elumelu (in red tie) addresses the 2015 TEEP Participants during the three day boot camp in Ota Nigeria 11th July 2015.

0E1A0996

2015 TEEP entrepreneurs from all over Africa take a group picture with Mr. Tony Elumelu (in Red tie) during the boot camp in Ota Nigeria.

Entrepreneurs send off 2

Some of the TEEP participants from Tanzania having dinner organized for them by United Bank for Africa as send off to the boot camp in Ota Nigeria.

IMG_1740

Happy 2015 TEEP entrepreneurs who represented Tanzania as they head for the...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani