Meli ya Kikwete kukamilika 2016
Siku kama ya leo mwaka 1996, ilikuwa ni vilio kila kona ya nchi, lakini Kanda ya Ziwa iliathirika zaidi na kuzama kwa meli ya Mv Bukoba na kuteketeza mamia ya wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 Dec
Kampasi mpya MUHAS kukamilika Juni 2016
UJENZI wa Kampasi Mpya ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) unaoendelea katika eneo la Mloganzila sambamba na ujenzi wa hospitali ya kutoa huduma na kufundishia kwa vitendo unaotarajiwa kukamilika Juni mwaka 2016.
10 years ago
Habarileo29 Sep
Muhongo: Ujenzi njia ya umeme kilovoti 400 kukamilika 2016
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji umeme wa msongo mkubwa, kilovoti 400 itakamilika pasipo shaka ifikapo June 2016.
10 years ago
Mwananchi08 Jun
Ahadi ya Meli ya Kikwete yamtoa jasho Kinana
10 years ago
Mtanzania29 Apr
Rais Kikwete azindua meli za vita Dar
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete, amezindua na kuidhinisha rasmi matumizi ya meli mbili za vita ambazo ni P 77 Mwitongo na P 78 Msoga na kusema huo ni mwanzo wa kutokomeza uharamia na wizi wa rasilimali katika eneo la Bahari ya Hindi.
Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa meli hizo jana katika kambi ya Jeshi la Wanamaji (NAVY), iliyopo Kigamboni jijini Dar es Salaam, Rais Kikwete alisema zimepatikana wakati mwafaka ambapo...
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Kikwete apokea meli mbili za kivita kutoka China
10 years ago
Michuzi28 Apr
AMIRI JESHI MKUU NA RAIS WA TANZANIA DKT. JAKAYA KIKWETE AZINDUA MELI VITA ZA JESHI LA WANAMAJI
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/176.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/255.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/351.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/446.jpg)
10 years ago
Vijimambo28 Apr
RAIS KIKWETE AZINDUA MELI VITA MBILI ZA KIKOSI CHA WANAMAJI CHA JWTZ JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-4Fm9Bj1YBOk%2FVT_eqIVEHQI%2FAAAAAAADles%2FnnkciGsQ1qs%2Fs1600%2Fn1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa amri kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-uo8Nllk4AqQ%2FVT_eqYAa92I%2FAAAAAAADleo%2Fy_RG-XCUw2A%2Fs1600%2Fn2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mara baada ya kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-KwhSi5MxjhE%2FVT_eqv6C8WI%2FAAAAAAADlew%2Fzck9EKdCM8A%2Fs1600%2Fn3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-129JWutGlK0%2FVT_esQmufBI%2FAAAAAAADlfA%2FfnOp8nCSkS4%2Fs1600%2Fn4.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Amiri Jeshi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3Oi3bgpT98CqwZPeK1PrGeeQqsl1cKr7ncL3y1X8Pr-e79b6EvGcB0Rw95jqQ9kidiy5MKKEox8Z3YcFgBYQd2-/n1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AZINDUA MELI VITA MBILI ZA KIKOSI CHA WANAMAJI CHA JWTZ JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
TEEP 2016 – 2nd Annual Tony Elumelu Entrepreneurship Programme Round Launches 1st January 2016
Mr. Tony Elumelu (in red tie) addresses the 2015 TEEP Participants during the three day boot camp in Ota Nigeria 11th July 2015.
2015 TEEP entrepreneurs from all over Africa take a group picture with Mr. Tony Elumelu (in Red tie) during the boot camp in Ota Nigeria.
Some of the TEEP participants from Tanzania having dinner organized for them by United Bank for Africa as send off to the boot camp in Ota Nigeria.
Happy 2015 TEEP entrepreneurs who represented Tanzania as they head for the...