Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ahadi ya Meli ya Kikwete yamtoa jasho Kinana

>Ahadi ya Meli mpya katika Ziwa Victoria iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete imegeuka mwiba kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ambaye aliulizwa maswali magumu na wananchi yaliyomfanya ashindwe kuyatolea majibu ya uhakika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Jk utatekeleza lini ahadi ya meli Ziwa Victoria

Wiki moja iliyopita abiria 381 waliokuwa katika meli ya Mv Victoria walinusurika kufa baada ya chombo hicho kilichokuwa kikifanya safari kutoka Bukoba kwenda Mwanza kuzimika ghafla.

 

10 years ago

Mwananchi

Ahadi ya Pinda yavunja mkutano wa Kinana

Ahadi ya chakula iliyotolewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa jamii ya wafugaji wa Kimasai, juzi iliharibu mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana baada ya vilio vya wazee kutawala mkutanoni na kumlazimu kiongozi huyo kuamuru uahirishwe hadi majibu yapatikane.

 

11 years ago

Mwananchi

Meli ya Kikwete kukamilika 2016

Siku kama ya leo mwaka 1996, ilikuwa ni vilio kila kona ya nchi, lakini Kanda ya Ziwa iliathirika zaidi na kuzama kwa meli ya Mv Bukoba na kuteketeza mamia ya wananchi.

 

10 years ago

Mtanzania

Rais Kikwete azindua meli za vita Dar

Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete, amezindua na kuidhinisha rasmi matumizi ya meli mbili za vita ambazo ni P 77 Mwitongo na P 78 Msoga na kusema huo ni mwanzo wa kutokomeza uharamia na wizi wa rasilimali katika eneo la Bahari ya Hindi.
Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa meli hizo jana katika kambi ya Jeshi la Wanamaji (NAVY), iliyopo Kigamboni jijini Dar es Salaam, Rais Kikwete alisema zimepatikana wakati mwafaka ambapo...

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete apokea meli mbili za kivita kutoka China

 Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amepokea meli mbili za kivita kutoka China kwa ajili ya Jeshi la Wanamaji (Navy), huku akiahidi kuongeza nyingine kabla ya kumaliza muda wake wa uongozi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stupid Father yamtoa machozi prodyuza

FILAMU mpya ya ‘Stupid Father’ aliyoicheza marehemu Adam Kuambiana, inamtoa machozi mtayarishaji wa Kampuni ya 5 Effects Movies Ltd, Denis Ngakongwa, ambaye aliihariri kwa ajili ya kuiingiza sokoni hivi karibuni....

 

10 years ago

BBCSwahili

Chupi inayobana yamtoa m'bunge bungeni

Mbunge mmoja wa Canada alitoa sababu ambayo haijawahi kusikika iliomlazimu kutoka bungeni kwa haraka.

 

10 years ago

Mwananchi

Wahoji utekelezaji wa ahadi ya Rais Kikwete

Wadau wa maendeleo mkoani Iringa, wameitaka Serikali itekeleza ahadi ya Rais Jakaya Kikwete ya kutengeneza Barabara ya Iringa-Msembe (Hifadhi ya Taifa ya Ruaha) yenye urefu wa kilomita 114 kwa kiwango cha lami ikiwa ni jitihada za kukuza uchumi wa mikoa ya Kusini.

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete: Nimetimiza ahadi kwa asilimia 80

Rais Jakaya Kikwete amesema zaidi ya asilimia 80 ya ahadi alizotoa wakati anaingia madarakani zimetimizwa na zilizobakia atazimaliza kabla ya kuondoka madarakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani