Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ahadi ya Pinda yavunja mkutano wa Kinana

Ahadi ya chakula iliyotolewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa jamii ya wafugaji wa Kimasai, juzi iliharibu mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana baada ya vilio vya wazee kutawala mkutanoni na kumlazimu kiongozi huyo kuamuru uahirishwe hadi majibu yapatikane.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ahadi ya Meli ya Kikwete yamtoa jasho Kinana

>Ahadi ya Meli mpya katika Ziwa Victoria iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete imegeuka mwiba kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ambaye aliulizwa maswali magumu na wananchi yaliyomfanya ashindwe kuyatolea majibu ya uhakika.

 

11 years ago

Mwananchi

Sheikh: Ahadi ya Pinda ‘kitanzi’ cha CCM

Suala la Mahakama ya Kadhi jana liliibuka wakati wa maadhimisho ya Sikukuu ya Idd el Haji wakati naibu Imamu wa Msikiti wa Shafii, Sheikh Othman Amani aliposema kuwa ahadi ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuhusu Mahakama ya Kadhi ndiyo itakayoamua kura za Waislamu dhidi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Mwananchi

Ahadi ya Pinda Mahakama ya Kadhi hatarini kukwama

Ahadi ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda ya kuwasilisha suala la Mahakama ya Kadhi kwenye kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano cha Januari ili chombo hicho kitambuliwe kisheria, iko hatarini kukwama baada ya kubainika kasoro mbalimbali katika sheria ya kuanzishwa kwake.

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda atimiza ahadi yake kwa kukabidhi mizinga 600 Singida

DSC04011

Afisa mwanadamizi wa mamlaka ya misitu kanda ya kati, Joyce akizungumza kwenye sherehe ya kukabidhi mizinga 600 iliyotolewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyoahidi mwaka 2013.

DSC04013

Katibu Tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, akizungumza kwenye sherehe ya kukabidhi Mizinga 600 iliyotolewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyoahidi mwaka 2013. Aliyeketi ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utallii, Mahamoud Mgimwa.

DSC04023

Naibu Waziri wa Mali asili na utalii, Mahamoud Mgimwa (kulia) akimkabidhi mbunge wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Wananchi wamshtaki Pinda kwa Kinana

Mizengo-PindaNA ELIYA MBONEA, NGORONGORO

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, anadaiwa kutoa ahadi hewa ya magunia 10 ya mahindi kwa kila kaya kwa mwaka kama njia mbadala ya kilimo cha kujikimu kwa wananchi wanaoishi ndani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, mkoani Arusha.
Ahadi hiyo aliitoa Septemba 19, mwaka juzi, akiwa Endulen wilayani hapa, bila kuwapo kwa maandishi ya Serikali, hatua inayoligharimu Baraza la Wafugaji la Wilaya ya Ngorongoro kwa sasa mbele ya wananchi.
Akizungumza kwa niaba ya wananchi wa...

 

11 years ago

GPL

MKUTANO WA KINANA ZANZIBAR

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi kwenye Viwanja vya Kibanda Maiti, mjini Zanzibar, Mei 4, 2014 kueleza kwa nini CCM inawataka Watanzania kuiunga mkono kuhusu msimamo wake wa kutaka Tanzania iendelee kuwa katika mfumo wa serikali mbili ndani ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar baada ya mchakato wa Katiba mpya. Mjane wa Muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar,… ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana wilaya ya Mulele, akutana na Mama mzazi wa Pinda

-Atembelea kata ya Kibaoni, asalimiana na wananchi na kukagua mradi wa maji, akutana na Mama Mzazi wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda .

-Ajionea mradi wa ufugaji Nyuki katika shamba la Waziri Mkuu

Untitled

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipeana mkono na Wazee wa kijiji cha Majimoto kata ya Majimoto baada ya kupewa heshima ya kuwa Mzee wa Kijiji hicho kwenye viwanja vya michezo vya Majimoto sehemu ambayo mkutano wa hadhara ulifanyika na kuhudhuriwa na umati mkubwa.

Katibu Mkuu wa CCM...

 

10 years ago

StarTV

Mbunge amchongea Waziri Mkuu Pinda kwa Kinana.

Na Joseph Mpangala, Mtwara.

 

Mbunge wa Mtwara Mjini Hasnain Murji amemlalamikia Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa kushindwa kutoa kibali cha kuruhusu ulipaji wa fidia katika viwanja vya wakazi wa Mtwara ambavyo tayari vimepimwa na pesa kutoka Manispaa hiyo ipo tayari kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

 

Murji amesema amekutana na Waziri Mkuu mara tano lakini amekuwa akizungushwa kupata kibali jambo linalochangia ucheleweshwaji wa maendeleo ya ujenzi wa nyumba kwa wakazi wa maeneo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa Kinana mjini Mafinga

5

 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia mkono wananchi wa Mafinga wakati akiwasili kwenye uwanja wa Mashujaa .

 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana na Bi.Mwigavillo Ngole ambaye amesafiri mwendo mrefu kuja kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM

 Wazee wa Kimila wakiwa uwanjani kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo walimpa Uchifu na kumtambua kwa jina la  Galiendela Matuga .

 Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mufindi Johanes Kaguo akifungua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani