Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUTANO WA KINANA ZANZIBAR

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi kwenye Viwanja vya Kibanda Maiti, mjini Zanzibar, Mei 4, 2014 kueleza kwa nini CCM inawataka Watanzania kuiunga mkono kuhusu msimamo wake wa kutaka Tanzania iendelee kuwa katika mfumo wa serikali mbili ndani ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar baada ya mchakato wa Katiba mpya. Mjane wa Muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar,… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MKUTANO WA WADAU WA MADAWA ZANZIBAR WAFANYIKA ZANZIBAR BEACH RESORT

 Mrajisi Bodi ya Chakula, Dwa na Vipodozi  Zanzibar Dkt. Burhani Othman Simai  akizungumza na wadau wa madawa  Zanzibar katika mkutano wa uwiano wa udhibiti wa bidhaa hizo kwa Nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni.
NA RAMADHANI ALI/MAELEZO ZANZIBAR     BODI ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDB) imeandaa miongozo ya utoaji huduma bora katika kufanikisha  Mpango wa uwiano wa Itifaki ya pamoja kwa Nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS WA ZANZIBAR DKT.SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA JUKWAA LA KUMI LA BIASHARA ZANZIBAR

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati akilifungua Jukwaa la Kumi la Biashara Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar, na kuwashirikisha Wadau wa Sekta Binafsi na za Umma  na Wafanyabiashara Zanzibar . KATIBU Mkuu Kingozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi. Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Jukwaa la kumi (10) la Biashara...

 

9 years ago

Michuzi

Mkutano wa Kampeni Mgombea Urais wa CCM Zanzibar Dk Shein, Viwanja vya Bungi Zanzibar


Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dk Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya mkutano Bungi akiwapungia mkono Wananchi waliohudhuria mkutano huo wa Kampeni katika viwanja vya mpira Bungi akiongozana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndg Vuai Ali Vuai . Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakimsikiliza Mgombea Urais wa Zanzibar  kupitia CCM Dk Ali Mohamed Shein. uliofanyika katika viwanja vya bungi.Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa Kinana mjini Mafinga

5

 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia mkono wananchi wa Mafinga wakati akiwasili kwenye uwanja wa Mashujaa .

 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana na Bi.Mwigavillo Ngole ambaye amesafiri mwendo mrefu kuja kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM

 Wazee wa Kimila wakiwa uwanjani kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo walimpa Uchifu na kumtambua kwa jina la  Galiendela Matuga .

 Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mufindi Johanes Kaguo akifungua...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA KINANA WAUTEKA JIJI LA MWANZA


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  akihutubia wakazi wa Mwanza  kwenye uwanja wa Furahisha.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Mwanza mjini waliofurika kwenye uwanja wa Furahisha.
 Umati wa watu walifurika kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kwenye uwanja wa Furahisha.
 Malkia wa Mipasho akiongoza kundi la TOT kwenye uwanja wa Furahisha.
 Kila mtu alihudhuria mkutano.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwaga wananchi...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA KINANA BUKOBA MJINI LEO

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia Mkutan wa hadhara leo, kwenye Uwanja wa Mashujaa mjini Bukoba, akiwa katika ziara ya kukagua uhai wa Chama na ilani ya Uchaguzi ya CCM. (Picha na Bashir Nkoromo)Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mashujaa mjini Bukoba leo, akiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana mkoani Kagera. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimpongeza Mbunge wa Bukoba mjini, Hamis...

 

10 years ago

Mwananchi

Ahadi ya Pinda yavunja mkutano wa Kinana

Ahadi ya chakula iliyotolewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa jamii ya wafugaji wa Kimasai, juzi iliharibu mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana baada ya vilio vya wazee kutawala mkutanoni na kumlazimu kiongozi huyo kuamuru uahirishwe hadi majibu yapatikane.

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MTENDAJI BARAZA LA BIASHARA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA WANAHABARI KUHUSU MKUTANO WA NANE WA BARAZA HILO UTAKAOFANYIKA DESEMBA 16 ZANZIBAR

 Katibu Mtendaji Baraza la Biashara Zanzibar Bw. Ali Haji Vuai wa kwanza (kulia) akizungumza na wandishi wa Habari kuhusu Mkutano wa nane wa Baraza hilo, utakaofanyika Disemba 16 Hoteli ya Bwawani Mjini Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar. Wandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali wakimsikiliza Katibu Mtendaji Baraza la Biashara Zanzibar Bw. Ali Haji Vuai ofisini kwake Kinazini Mjini Zanzibar.Mwandishi wa Habari wa Radio Coconat Fm Tabia Makame akiuliza swali kuhusu Mkutano wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani