Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheikh: Ahadi ya Pinda ‘kitanzi’ cha CCM

Suala la Mahakama ya Kadhi jana liliibuka wakati wa maadhimisho ya Sikukuu ya Idd el Haji wakati naibu Imamu wa Msikiti wa Shafii, Sheikh Othman Amani aliposema kuwa ahadi ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuhusu Mahakama ya Kadhi ndiyo itakayoamua kura za Waislamu dhidi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Miswada hii ya habari ni kitanzi kingine kwa CCM

Uhuru wa habari ni kati ya haki muhimu za binadamu ambazo zinatambuliwa na dunia nzima kikatiba. Watu wa habari tunaamini kwamba ‘hakuna maendeleo bila habari.’

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wamepigwa kitanzi cha umeme

KILA siku maisha ya Mtanzania yanazidi kuwa mabovu, yasiyoelezeka wala kutamanika machoni mwa watu wanaoifahamu vema Tanzania ilivyo. Licha ya ukweli kuwa Tanzania imejaliwa kila aina ya baraka kutoka kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aomboleza kifo cha Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Sheikh Issa Bin Shaaban Simba

Rais-Kikwete-na-Sheikh-Simba-620x328

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mkono na marehemu Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Sheikh Issa Bin Shaaban Simba (kushoto) enzi za uhai wake.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Waislamu wote nchini na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania  (BAKWATA)) kufuatia kifo cha Sheikh Mkuu wa Tanzania  Mufti Sheikh  Issa Bin Shaaban Simba.

Marehemu Mufti amefariki  leo 15/6/2015 asubuhi katika hospitali ya TMJ – DSM alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa sukari na shinikizo...

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Uhuru kwenye kitanzi cha kulipa deni la Anglo Leasing

>Rais Uhuru Kenyatta amekuwa akijaribu kuzima mioto juma lote lililopita kutokana na hatua mbalimbali za serikali  zinazoathiri kwa njia moja au nyingine maisha na hatima ya watu wa Kenya sasa na katika siku za usoni.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mitambo ya kisasa ya video serikalini, kitanzi cha posho kwa watendaji’

Zanzibar. Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa amesema kuwa baadhi ya watendaji wa Serikali na idara zake wamekuwa wakipiga chenga kutumia mitambo ya video katika mikutano ya kiutendaji na mafunzo kwa kuhofia kukosa posho za kujikimu na safari, wakati mitambo hiyo imewekwa ili kusaidia kupunguza matumizi ya uendeshaji wa shughuli za Serikali.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AMETUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA WAISLAMU WOTE NA BAKWATA KUFUATIA KIFO CHA SHEIKH MKUU WA TANZANIA MUFTI SHEIKH ISSA BIN SHAABAN SIMBA


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz               Fax: 255-22-2113425

PRESIDENT’S OFFICE,      STATE HOUSE,               1 BARACK OBAMA ROAD,   11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.  TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Waislamu wote nchini na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania  (BAKWATA)) kufuatia kifo...

 

10 years ago

Mwananchi

Ahadi ya Pinda yavunja mkutano wa Kinana

Ahadi ya chakula iliyotolewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa jamii ya wafugaji wa Kimasai, juzi iliharibu mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana baada ya vilio vya wazee kutawala mkutanoni na kumlazimu kiongozi huyo kuamuru uahirishwe hadi majibu yapatikane.

 

10 years ago

Mwananchi

Ahadi ya Pinda Mahakama ya Kadhi hatarini kukwama

Ahadi ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda ya kuwasilisha suala la Mahakama ya Kadhi kwenye kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano cha Januari ili chombo hicho kitambuliwe kisheria, iko hatarini kukwama baada ya kubainika kasoro mbalimbali katika sheria ya kuanzishwa kwake.

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda atimiza ahadi yake kwa kukabidhi mizinga 600 Singida

DSC04011

Afisa mwanadamizi wa mamlaka ya misitu kanda ya kati, Joyce akizungumza kwenye sherehe ya kukabidhi mizinga 600 iliyotolewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyoahidi mwaka 2013.

DSC04013

Katibu Tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, akizungumza kwenye sherehe ya kukabidhi Mizinga 600 iliyotolewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyoahidi mwaka 2013. Aliyeketi ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utallii, Mahamoud Mgimwa.

DSC04023

Naibu Waziri wa Mali asili na utalii, Mahamoud Mgimwa (kulia) akimkabidhi mbunge wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani