Kampasi mpya MUHAS kukamilika Juni 2016
UJENZI wa Kampasi Mpya ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) unaoendelea katika eneo la Mloganzila sambamba na ujenzi wa hospitali ya kutoa huduma na kufundishia kwa vitendo unaotarajiwa kukamilika Juni mwaka 2016.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo07 Dec
MUHAS waomba kuajiri watumishi kampasi kuu
CHUO Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili (MUHAS) kimeiomba serikali kutoa kibali kianze kuajiri watumishi wa Kampasi Kuu ya Mloganzila nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam katika mwaka huu wa fedha.
10 years ago
Habarileo05 Mar
Mtambo wa Kinyerezi kukamilika Juni
MENEJA wa Miradi ya Umeme ya Kinyerezi, Simon Jilima amesema mtambo wa Kinyerezi 1 unaojengwa na kampuni ya Yakobsen Elektro ya Norway, unatarajia kukamilika mapema Juni mwaka huu.
11 years ago
Habarileo09 Aug
Daraja la Kigamboni kukamilika Juni mwakani
UJENZI wa Daraja la Kigamboni katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam umekamilika kwa asilimia 60 na linatarajiwa kuanza kutumika Juni mwakani.
11 years ago
Mwananchi21 May
Meli ya Kikwete kukamilika 2016
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--DwKhcaB_YI/Xm4Xs76pvaI/AAAAAAALjvk/zbpUP0jI8fUG8MrhQL1OSSX-zbXMHIfJACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-2.-2048x1365.jpg)
Kituo cha Polisi Mkokotoni kukamilika Mwezi Juni
![](https://1.bp.blogspot.com/--DwKhcaB_YI/Xm4Xs76pvaI/AAAAAAALjvk/zbpUP0jI8fUG8MrhQL1OSSX-zbXMHIfJACLcBGAsYHQ/s640/PIX-2.-2048x1365.jpg)
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje ,Ulinzi na Usalama, Prosper Mbena, akikagua ukuta wa Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Kituo cha Polisi Mkokotoni, kilichopo Kaskazini Unguja, Zanzibar.Kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni. Kamati hiyo imefika kukagua mradi huo baada ya kituo cha awali kuungua katika ajali ya moto iliyosababishwa na hitilafu za umeme.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-1.-scaled.jpg)
10 years ago
Habarileo29 Sep
Muhongo: Ujenzi njia ya umeme kilovoti 400 kukamilika 2016
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji umeme wa msongo mkubwa, kilovoti 400 itakamilika pasipo shaka ifikapo June 2016.
5 years ago
MichuziMRADI WA UMEME RUFIJI WAVUKA MATARAJIO, WAFIKIA ASILIMIA 11, KUKAMILIKA JUNI MWAKA 2022
Hayo yameelezwa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO), Dkt. Tito Mwinuka wakati wa utoaji taarifa za Mradi huo kwa Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali wanaotembelea miradi ya maendeleo hapa nchini inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya...
9 years ago
Michuzi01 Jan
Dar Live na Shangwe za Kuukaribisha Mwaka Mpya 2016, Christian Bella Aweka Rekodi Mpya!
![bella (69)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-69.jpg)
![bella (71)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-71.jpg)
![bella (73)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-73.jpg)
![bella (74)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-74.jpg)
![bella (75)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-75.jpg)
10 years ago
Mwananchi02 Apr
KATIBA MPYA: Hakuna kura ya maoni Aprili 30, uboreshaji daftari kukamilika Julai