Mtambo wa Kinyerezi kukamilika Juni
MENEJA wa Miradi ya Umeme ya Kinyerezi, Simon Jilima amesema mtambo wa Kinyerezi 1 unaojengwa na kampuni ya Yakobsen Elektro ya Norway, unatarajia kukamilika mapema Juni mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKinyerezi I kukamilika mwaka huu
Hayo yalisemwa na Meneja Mradi wa Kinyerezi I kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Mhandisi Simon Jilima akiwatembeza katika kituo hicho wanajopo la ukaguzi wa miradi kutoka Ofisi ya Raisi Tume ya Mipango walipotembelea mradi huo.
“Kazi zinazoendelea kwa sasa ni ufungaji wa mifumo katika mitambo; na njia za kusafirisha umeme...
11 years ago
Habarileo09 Aug
Daraja la Kigamboni kukamilika Juni mwakani
UJENZI wa Daraja la Kigamboni katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam umekamilika kwa asilimia 60 na linatarajiwa kuanza kutumika Juni mwakani.
10 years ago
Habarileo12 Dec
Kampasi mpya MUHAS kukamilika Juni 2016
UJENZI wa Kampasi Mpya ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) unaoendelea katika eneo la Mloganzila sambamba na ujenzi wa hospitali ya kutoa huduma na kufundishia kwa vitendo unaotarajiwa kukamilika Juni mwaka 2016.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--DwKhcaB_YI/Xm4Xs76pvaI/AAAAAAALjvk/zbpUP0jI8fUG8MrhQL1OSSX-zbXMHIfJACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-2.-2048x1365.jpg)
Kituo cha Polisi Mkokotoni kukamilika Mwezi Juni
![](https://1.bp.blogspot.com/--DwKhcaB_YI/Xm4Xs76pvaI/AAAAAAALjvk/zbpUP0jI8fUG8MrhQL1OSSX-zbXMHIfJACLcBGAsYHQ/s640/PIX-2.-2048x1365.jpg)
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje ,Ulinzi na Usalama, Prosper Mbena, akikagua ukuta wa Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Kituo cha Polisi Mkokotoni, kilichopo Kaskazini Unguja, Zanzibar.Kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni. Kamati hiyo imefika kukagua mradi huo baada ya kituo cha awali kuungua katika ajali ya moto iliyosababishwa na hitilafu za umeme.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-1.-scaled.jpg)
5 years ago
MichuziMRADI WA UMEME RUFIJI WAVUKA MATARAJIO, WAFIKIA ASILIMIA 11, KUKAMILIKA JUNI MWAKA 2022
Hayo yameelezwa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO), Dkt. Tito Mwinuka wakati wa utoaji taarifa za Mradi huo kwa Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali wanaotembelea miradi ya maendeleo hapa nchini inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya...
10 years ago
Habarileo18 Dec
Tanesco wajivunia mradi wa Kinyerezi II
SHIRIKA la Umeme Nchini (TANESCO) limesema ifikapo mwishoni mwa mwaka 2016 Tanzania suala la mgawo wa umeme litabaki kuwa historia.
10 years ago
GPLWASHIRIKA WA MAENDELEO WARIDHISHWA NA MRADI WA UMEME KINYEREZI
10 years ago
MichuziWASHIRIKA WA MAENDELEO WARIDHISHWA MRADI WA UMEME KINYEREZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosYDi9Llv6SVk7biExPiXhNbJP61oXgrxcB3*yURSYSrWSSwOmd-Uo7W*O7PvA5*dSjKMjrdL3qEj9cmylJdRBsm/daraja2.jpg?width=650)
TASWIRA ZA KUVUNJIKA DARAJA LA KINYEREZI JIJINI DAR