Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA ZA KUVUNJIKA DARAJA LA KINYEREZI JIJINI DAR

Daraja linalounganisha Kinyerezi na Majumba Sita jijini Dar es Salaam likiwa limevunjika tena baada ya kudaiwa kupita lori lililokuwa limebeba zege. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TASWIRA YA DARAJA LA MANZESE JIJINI DAR WAKATI WA JIONI

Wakazi wengi wa maeneo mbali mbali ya jiji la Dar wakiwa wamepozi huku wengine wakipiga soga juu ya Daraja la kuvukia watembea kwa miguu Manzese,Eneo hili limekuwa likipendwa sana na watu hao hasa katika nyakati za sikukuu au mapumziko ya mwisho wa wiki kama walivyonaswa na Mwanalibeneke Othman Michuzi.

 

10 years ago

Michuzi

SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR YANUFAIKA NA KOMPYUTA 24 KUPITIA MRADI WA VODACOM FOUNDATION

Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Kinyerezi Tabata jijini Dar es Salaam, Judith Chalamila akiwaonesha moja ya kompyuta mpakao kati ya(24)wanafunzi wa kidato cha Nne baada ya kukabidhiwa msaada wa kompyuta hizo zilizotolewa na Taasisi ya Vodacom Foundation. Mradi huo unaoendeshwa na Learning In Sync ni kwa ajili ya wanafunzi wa shule za sekondari kupata mafunzo ya masomo mbalimbali kupitia kompyuta hizo mashuleni. Wanafunzi wa kidato cha Nne wa Shule ya Sekondari ya Kinyerezi Tabata...

 

10 years ago

GPL

SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR YANUFAIKA NA KOMPYUTA 24 KUPITIA MRADI WA VODACOM FOUNDATION‏

Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Kinyerezi Tabata jijini Dar es Salaam, Judith Chalamila akiwaonesha moja ya kompyuta mpakato kati ya (24) wanafunzi wa kidato cha Nne baada ya kukabidhiwa msaada wa kompyuta hizo zilizotolewa naTaasisiyaVodacom Foundation.Mradi huo unaoendeshwa na Learning In Sync ni kwa ajili ya wanafunzi wa shule za sekondari kupata mafunzo ya masomo mbalimbali kupitia kompyuta hizo mashuleni. Wanafunzi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mafuriko yaikumba dumila, kilosa, mamia waathirika na daraja kuvunjika

Mafuriko makubwa yametokea katika Kata ya Dumila, Kilosa mkoani Morogoro na kusababisha mamia ya watu kupoteza makazi huku daraja la Mto Mkundi linaloziunganisha Wilaya za Kilosa na Mvomero likivunjika.

 

10 years ago

GPL

SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR ES SALAAM YAUNGANISHIWA VIFAA MAALUM VYA KUJIFUNZIA MASOMO KUPITIA KOMPYUTA

Mkuu wa taasisi ya Vodacom Foundation, Renatus Rwehikiza (kushoto) akishirikiana na wasimamizi wa mradi wa kompyuta mashuleni Meelis Kuuskler (katikati) pamoja na Julius Giabe kuunganisha kifaa cha kujifunzia masomo  kupitia kompyuta  katika shule ya sekondari Kinyerezi  ya Tabata jijini Dar es Salaam.  Mradi huo unaendeshwa na Learning In Sync  chini ya Vodacom Foundation.… ...

 

10 years ago

GPL

DARAJA JINGINE LA SELANDA KUJENGWA JIJINI DAR

Waziri Magufuli  (kulia) akisisistiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani)  …Akisikiliza maswali ya wanahabari.  Kushoto ni  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Nchini (Tanroads) Injinia Patrick Mfugale.…

 

9 years ago

Michuzi

Taswira za mitaani jijini Dar

 Ajali ya Pikipiki na Taxi kama ilivyonaswa na Kamera yetu ya Mtaa kwa Mtaa jijini Dar es Salaam. Ohoooooo.......Ajali ya pikipiki na Tax katika barabara ya  Samora (Askari Moment) kama walivyonaswa na Kamera ya Mtaa kwa Mtaa jijini Dar es Salaam.Picha Zote na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALIMBALI JIJINI DAR

Hizi ni baadhi ya Taswira mbalimbali ndani ya jiji la Dar es Salaam.BOFYA HAPA KUONA TASWIRA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani