Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DARAJA JINGINE LA SELANDA KUJENGWA JIJINI DAR

Waziri Magufuli  (kulia) akisisistiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani)  …Akisikiliza maswali ya wanahabari.  Kushoto ni  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Nchini (Tanroads) Injinia Patrick Mfugale.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Daraja la Wami kujengwa upya

WIZARA ya Ujenzi imetangaza kujenga daraja jipya la Wami mkoani Pwani, ambalo ni kiungo kikubwa katika usafiri wa barabara kati ya mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania na nchi jirani.

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA ZAIDI ZA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI KUENDELEA KUJENGWA JIJINI DAR

Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (aliyenyoosha mikono) akitoa taarifa kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa ujenzi wa barabara za kupunguza msongamano katika jiji la Dar es Salaam wakati alipokutana na Kamati ya Bunge ya Miundombinu. Kulia kwa Waziri Magufuli ni Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Eng. Gerson Lwenge na anayefuata ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Joseph Nyamhanga. Kushoto kwa Waziri ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Mhe. Peter Serukamba na...

 

5 years ago

CCM Blog

DARAJA LIKIENDELEA KUJENGWA BARABARA KUU YA DODOMA NA MOROGORO

   Kazi ya Kutengeneza Daraja Lililokatika Barabara Kuu ya Dodoma- Morogoro Inaendelea Vizuri....Barabara Hiyo Itafunguliwa muda wowote kuanzia sasa  Usiku huu

 

10 years ago

Vijimambo

DARAJA LA KISASA KUJENGWA BAHARINI ENEO LA AGHA KHAN HADI BARABARA YA KENYATA

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha sehemu ambazo daraja hilo jipya litakapojengwa pembezoni mwa daraja la Selander kuanzia hospitali ya Aghakan hadi barabara Kenyata. Sehemu ya Daraja hilo pekee litakuwa na urefu wa km 1.03Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Serikali ya Korea Kusini pamoja na Wizara ya Ujenzi mara baada ya kusaini Mkataba wa Muhtasari wa Majadiliano leo jijini Dar es Salaam.Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius...

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA KUVUNJIKA DARAJA LA KINYEREZI JIJINI DAR

Daraja linalounganisha Kinyerezi na Majumba Sita jijini Dar es Salaam likiwa limevunjika tena baada ya kudaiwa kupita lori lililokuwa limebeba zege. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715…

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA YA DARAJA LA MANZESE JIJINI DAR WAKATI WA JIONI

Wakazi wengi wa maeneo mbali mbali ya jiji la Dar wakiwa wamepozi huku wengine wakipiga soga juu ya Daraja la kuvukia watembea kwa miguu Manzese,Eneo hili limekuwa likipendwa sana na watu hao hasa katika nyakati za sikukuu au mapumziko ya mwisho wa wiki kama walivyonaswa na Mwanalibeneke Othman Michuzi.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI JIJINI DAR

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa na Menaja Mradi wa NSSF Mhandisi Karim Mattaka kulia yake na afisa wa Mfuko huo Bibi Maryam Muhaji wakikagua ujenzi wa Daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam unaoendelea hivi sasa. Balozi Seif akipata maelezo ya ujenzi wa daraja la Kigambnoni kutoka kwa wahandisi wa ujenzi huo wakati alipotembelea mradi huo. Muonekano wa daraja la kigamboni unavyoonekana ukiendelea ya ujenzi wake chini ya wahandisi kutoka Kampuni ya Kimataifa ya...

 

10 years ago

Vijimambo

IGP MANGU AFUNGA RASMI MAFUNZO YA UONGOZI WA MAGEREZA DARAJA LA PILI JIJINI DAR

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu akikagua Gwaride Maalum lililoandaliwa na Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi wa Magereza Daraja la Pili ambayo yamefungwa rasmi leo Juni 22, 2015 katika Chuo cha Maafisa Magereza Ukonga, Jijini Dar es Salaam.Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu akimvisha cheo cha Mkaguzi Msaidizi wa Magereza Mhitimu wa Mafunzo ya Uongozi wa Magereza Daraja la Pili ambaye amefanya vizuri kwa upande wa Gwaride, Stafu Sajini Boniphace Felix. Mhitimu huyo...

 

10 years ago

Michuzi

HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA DARAJA LINALOUNGANISHA ENEO LA TANDALE NA MWANANYAMALA JIJINI DAR

 Hivi ndivyo hali ilivyo katika hili ni Daraja lilalounganisha eneo la Tandale na Mwananyamala jijini Dar es Salaam, ambapo wananchi wanaokaa maeneo ya jirani na Daraja hilo waliamua kukusanya viroba vilivyosheheni taka ngumu na kuwevilundika kwenye kingo za Daraja hilo ili kudhibiti maji yasiendelee kuchimba njia hiyo. Hali hii imekuja kutokana na mafuriko ya maji yaliyotokea hivi karibuni katika maeneo mengi hapa jijini kutokana na Mvua kubwa zilizokuwa zikinyesha.
Hali ilivyo katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani