Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DARAJA LA KISASA KUJENGWA BAHARINI ENEO LA AGHA KHAN HADI BARABARA YA KENYATA

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha sehemu ambazo daraja hilo jipya litakapojengwa pembezoni mwa daraja la Selander kuanzia hospitali ya Aghakan hadi barabara Kenyata. Sehemu ya Daraja hilo pekee litakuwa na urefu wa km 1.03Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Serikali ya Korea Kusini pamoja na Wizara ya Ujenzi mara baada ya kusaini Mkataba wa Muhtasari wa Majadiliano leo jijini Dar es Salaam.Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

DARAJA LIKIENDELEA KUJENGWA BARABARA KUU YA DODOMA NA MOROGORO

   Kazi ya Kutengeneza Daraja Lililokatika Barabara Kuu ya Dodoma- Morogoro Inaendelea Vizuri....Barabara Hiyo Itafunguliwa muda wowote kuanzia sasa  Usiku huu

 

11 years ago

Mwananchi

Barabara ya Moshi Baa hadi Mombasa kujengwa - Silaa

Manispaa ya Ilala inatarajiwa kutumia zaidi ya Sh91.5 milioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya kilomita tatu ya Moshi Baa hadi Mombasa.

 

10 years ago

Vijimambo

Agha Khan University Hospital Import Pakistani Labourers and SACK 400 Kenyans

Agha Khan UHTension is growing at Agha Khan University Hospital as the Ismaili community which runs the hospital now relaces Kenyans with foreigners from Iran and Pakistan. The building tension has raised the tentacles of leading security, immigration and labour officials in the government that it might only be a matter of time before the conflict becomes and all out diplomatic standoff.

According to sources inside the hospital and a letter available, the university is saying that it is retrenching 447...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha sehemu ambazo daraja hilo jipya litakapojengwa pembezoni mwa daraja Selander kuanzia hospitali ya Aghakan hadi barabara Kenyata. Sehemu ya Daraja hilo pekee litakuwa na urefu wa km 1.03 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Serikali ya Korea Kusini pamoja na Wizara ya Ujenzi mara baada ya kusaini Mkataba wa Muhtasari wa Majadiliano leo jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA BAGAMOYO — MAKOFIA — MSATA (KM 64) PAMOJA NA MIZANI YA KISASA ILIYOPO ENEO LA VIGWAZA

Wajumbe wa kamati ya Bunge ya Miundombinu wamefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Bagamoyo – Makofia – Msata (km 64), inayojengwa kwa kiwango cha lami. Barabara hii inaunganika na barabara kuu ya Dar es salaa – Chalinze – Arusha katika eneo la Msata. Hivyo ni njia mbadala ya kutoka Dar es Salaam kwenda mikoa ya kanda ya Kaskazini na nchi jirani ya Kenya.
Barabara hii inayojengwa na kampuni ya Estim Construction ltd, na kusimamiwa na mhandisi mshauri kampuni ya JBG Gauff...

 

11 years ago

GPL

UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO

 Hii dimbwi ambalo maji yametuama na kutunza uchafu.  Barabara iendayo kutokea uwanja wa zamani wa ndege mbeya ukiwa umejaa maji.…

 

11 years ago

Habarileo

Daraja la Wami kujengwa upya

WIZARA ya Ujenzi imetangaza kujenga daraja jipya la Wami mkoani Pwani, ambalo ni kiungo kikubwa katika usafiri wa barabara kati ya mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania na nchi jirani.

 

10 years ago

GPL

DARAJA JINGINE LA SELANDA KUJENGWA JIJINI DAR

Waziri Magufuli  (kulia) akisisistiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani)  …Akisikiliza maswali ya wanahabari.  Kushoto ni  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Nchini (Tanroads) Injinia Patrick Mfugale.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani