DARAJA LIKIENDELEA KUJENGWA BARABARA KUU YA DODOMA NA MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8DMbW-zPDQE/Xl6LDXYwEOI/AAAAAAACz_g/4rqMe-_FzaUeETZ164AzkOU7BFTMcIfMACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Kazi ya Kutengeneza Daraja Lililokatika Barabara Kuu ya Dodoma- Morogoro Inaendelea Vizuri....Barabara Hiyo Itafunguliwa muda wowote kuanzia sasa Usiku huu
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mIjTrk-6oy0/Xl2IhB5q8kI/AAAAAAACz4Y/1oEeGnIYUpY2owUTczOzkXzJSzWvTDhIQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200303_011516.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-icyyVhUNGRo/Xm-wUP2y8UI/AAAAAAALj80/H5piA3fHWjEc8JMKtaIM71_TaoL4N9HhACLcBGAsYHQ/s72-c/d1.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI ATEMBELEA DARAJA LA KIEGEYA LILILOSOMBWA NA MAJI NA KUKATA MAWASILIANO BARABARA YA DODOMA-MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-icyyVhUNGRo/Xm-wUP2y8UI/AAAAAAALj80/H5piA3fHWjEc8JMKtaIM71_TaoL4N9HhACLcBGAsYHQ/s1600/d1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xds39QOBh28/Xm-wWNr9rPI/AAAAAAALj88/Z07ktgvety8Qq1EVR0lF5aikmRFlMvObACLcBGAsYHQ/s1600/d2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-icyyVhUNGRo/Xm-wUP2y8UI/AAAAAAALj80/H5piA3fHWjEc8JMKtaIM71_TaoL4N9HhACLcBGAsYHQ/s72-c/d1.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI ATEMBELEA DARAJA LA KIEGEYA LILILOSOMBWA NA MAJI NA KUKATA MAWASILIANO BARABARA YA DODOMA-MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-icyyVhUNGRo/Xm-wUP2y8UI/AAAAAAALj80/H5piA3fHWjEc8JMKtaIM71_TaoL4N9HhACLcBGAsYHQ/s1600/d1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xds39QOBh28/Xm-wWNr9rPI/AAAAAAALj88/Z07ktgvety8Qq1EVR0lF5aikmRFlMvObACLcBGAsYHQ/s1600/d2.jpg)
10 years ago
VijimamboDARAJA LA KISASA KUJENGWA BAHARINI ENEO LA AGHA KHAN HADI BARABARA YA KENYATA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-liyv1ZFUVqc/XnihoC7_mDI/AAAAAAALkxU/QAfq7-iCdMAGJICMBSgAObq7a0ZiWcr1QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Kilomita 39 za Barabara za Lami Zaanza Kujengwa Mji wa Serikali Mtumba Dodoma
Ujenzi wa barabara za lami katika mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma waanza kwa kasi ili kuimarisha mawasiliano na huduma kwa wananchi.
Akizungumza leo Machi 20, 2020 katika mahojiano maalum, Katibu wa Kikosi Kazi cha Taifa cha Kuratibu Mpango wa Serikali kuhamia Dodoma Bw. Meshack Bandawe amesema kuwa ujenzi huo unahusisha barabara zenye urefu wa kilomita 39 ndani ya mji huo.
“Serikali inaimarisha miundombinu ndani ya mji wa Serikali ikiwemo ujenzi wa barabara za njia mbili zenye urefu...
Akizungumza leo Machi 20, 2020 katika mahojiano maalum, Katibu wa Kikosi Kazi cha Taifa cha Kuratibu Mpango wa Serikali kuhamia Dodoma Bw. Meshack Bandawe amesema kuwa ujenzi huo unahusisha barabara zenye urefu wa kilomita 39 ndani ya mji huo.
“Serikali inaimarisha miundombinu ndani ya mji wa Serikali ikiwemo ujenzi wa barabara za njia mbili zenye urefu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HKwT7c0gnSo/Xl8iMzrxxDI/AAAAAAALg00/YDDNDox1yVMPt1kNoKJWJHuXNvUcqVt0ACLcBGAsYHQ/s72-c/dc375b75-97f0-4f03-8cfe-e8e0f88ad008.jpg)
Barabara ya Morogoro – Dodoma kukamilika usiku
Na Farida Saidy, Morogoro
Waziri wa Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amesema daraja la Mto Mkange lililopo Wilayani Kilosa lililovunjilka Machi 2 mwaka huu, linatarajiwa kukamilika usiku wa kuamkia Machi 4 mwaka huu.
Waziri Kamwelwe amesema hayo akiwa katika eneo la tukio, mara baada ya Karavati moja kati ya mawili yanayohitajika kushushwa sehemum lilipokatika daraja na kutoa matumaini kuwa ujenzi wa daraja hilo la muda utakamilika usiku wa kuamkia Machi 4 Mwaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZP22H4c41Rw/Xl_3JYHviCI/AAAAAAALhEI/lRWKFJ8wUXc8uee3_ClAhQ7C6CkDyRVHACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_2620-2AA-768x468.jpg)
MAJALIWA AKAGUA UKARABATI WA DARAJA LILILOSOMBWA NA MAJI NA KUKATA MAWASILIANO KATI YA MOROGORO NA DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZP22H4c41Rw/Xl_3JYHviCI/AAAAAAALhEI/lRWKFJ8wUXc8uee3_ClAhQ7C6CkDyRVHACLcBGAsYHQ/s640/PMO_2620-2AA-768x468.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kazi ya ukarabati wa daraja la Kiyegeya lililopo eneo la Gairo ambalo limesombwa na maji na kusababisha kukatika kwa mawasiliano kati ya Morogoro na Dodoma, Machi 4, 2020. Wa pili kulia ni Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_2671AA-667x1024.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kazi ya ukarabati wa daraja la Kiyegeya lililopo eno la Gairo ambalo limesombwa na maji na kusababisha kukatika kwa mawasiliano ya barabara kati ya...
11 years ago
Habarileo22 May
Daraja la Wami kujengwa upya
WIZARA ya Ujenzi imetangaza kujenga daraja jipya la Wami mkoani Pwani, ambalo ni kiungo kikubwa katika usafiri wa barabara kati ya mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania na nchi jirani.
10 years ago
GPLDARAJA JINGINE LA SELANDA KUJENGWA JIJINI DAR
Waziri Magufuli  (kulia) akisisistiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani)  …Akisikiliza maswali ya wanahabari. Kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Nchini (Tanroads) Injinia Patrick Mfugale.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania